mzeewabusara
Member
- Jun 7, 2006
- 12
- 24
Pamoja na kufurahi kumuona Rais wetu akisafiri katika mikutano ya kimataifa, nimefuatilia na kuona kuwa rais wetu anasafiri sana na kuhudhuria mikutano mingine ambayo ingeweza kuwakilishwa na makamu wake, waziri mkuu au mawaziri maalum wa wizara husika.
Mfano mkutano wa juzi wa Afrika Kusini kukutana na Bill gate angeweza kuhudhuria waziri anayehusika na technology. Hii itampa muda wa kutosha raisi kukaa ofisini kwake na kutoa mwongozo wa taifa.
Anyway ni small observation. Nahisi kuna baadhi ya watu huenda pia mmeiona.
Mfano mkutano wa juzi wa Afrika Kusini kukutana na Bill gate angeweza kuhudhuria waziri anayehusika na technology. Hii itampa muda wa kutosha raisi kukaa ofisini kwake na kutoa mwongozo wa taifa.
Anyway ni small observation. Nahisi kuna baadhi ya watu huenda pia mmeiona.