Naam ujinga wa Watanzania na hasa walio vijijini na ambao hawana fursa ya mtandao ndio mtaji mkubwa wa CCM.
Watu wa vijijini wengi na baadhi ya walio mijini ambao hawana mtandao hawapati taarifa sahihi kwa wakati na wakati mwingine hupata taarifa za uongo au kilaghai zilizochujwa na vyombo vingi vya habari ili kuonesha wema wa serikali na CCM ili kuwadanganya wao waone Serikali na CCM wanafanya vyema na kisha wawachague.
CCM huzunguka vijijini kuwadanganya wananchi wa huko kuwa wakiwachagua vyama pinzani kutakuwa na vita mara hawatapelekewa maendeleo, wanatumia ujinga wao wa kutokuwa na taarifa sahihi kuwalisha taarifa za uongo zenye manufaa na wao.
Wananchi wote inabidi tujitahidi kwa ambao tuna ndugu vijijini tuweze kuwafumbua macho ndugu zetu waache kulaghaiwa na CCM.
Watu wa vijijini wengi na baadhi ya walio mijini ambao hawana mtandao hawapati taarifa sahihi kwa wakati na wakati mwingine hupata taarifa za uongo au kilaghai zilizochujwa na vyombo vingi vya habari ili kuonesha wema wa serikali na CCM ili kuwadanganya wao waone Serikali na CCM wanafanya vyema na kisha wawachague.
CCM huzunguka vijijini kuwadanganya wananchi wa huko kuwa wakiwachagua vyama pinzani kutakuwa na vita mara hawatapelekewa maendeleo, wanatumia ujinga wao wa kutokuwa na taarifa sahihi kuwalisha taarifa za uongo zenye manufaa na wao.
Wananchi wote inabidi tujitahidi kwa ambao tuna ndugu vijijini tuweze kuwafumbua macho ndugu zetu waache kulaghaiwa na CCM.