johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Shujaa Magufuli hakuwa Mwanasiasa lakini mbinu na swaga zake mitaani ziliwafurahisha wengi
Naona mapema Kabisa Wanasiasa wa Chadema wameanza kutumia mbinu za Shujaa Magufuli
Yeye mwenyewe alisema Mtanikumbuka kwa Mazuri siyo Mabaya
Ramadan Kareem
Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu 😄😄🔥
Naona mapema Kabisa Wanasiasa wa Chadema wameanza kutumia mbinu za Shujaa Magufuli
Yeye mwenyewe alisema Mtanikumbuka kwa Mazuri siyo Mabaya
Ramadan Kareem
Mungu wa mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu 😄😄🔥