Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Watanzania, Tuseme ukweli tu ndugu zangu kuwa Mchengerwa ni mchapa kazi sana, Ni Jembe kwelikweli, Ni hadhina kwa Taifa ,Ni Nyota inayong'aa kwa kasi, Ni kiongozi mwenye kiu ya kutaka...
-2 Reactions
102 Replies
6K Views
Mhe. Doto Biteko , Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Tangazo la serikali kuhusu mgao wa umeme unaoendelea limekuja wakati ambapo kuna maswali mengi juu ya "upungufu wa umeme" pamoja na...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Mara zote wadau wa siasa wamehoji malengo na dhamira halisi ya ACT WAZALENDO kwenye siasa za Tanzania , mpaka sasa bado majibu yanatafutwa . Sasa tunaomba aliyemuelewa kiongozi wao huyu atusaidie...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Mohamed O. Mchengerwa (Mb), amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega moani Simiyu, ndugu Veronica...
3 Reactions
37 Replies
4K Views
Rais Mwanamke wa kwanza Tanzania lakini cha ajabu wakati Dunia nzima mpaka hata ikijitahidi kuongeza quota za Wanawake kisheria kwenye nafasi za Uongozi huku wengine hata wakiweka kwenye Katiba...
0 Reactions
5 Replies
821 Views
Kuna mambo yanachukiza sana, unawadhulumu watu haki zao Kwa matamko ya ajabu ajabu. Tuendelee na Maombi. Wengine sio waandishi wazuri, soma hapa, kama kusoma huwezi angalia hata picha...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibu nchi nzima, maeneo tofauti tofauti yanakatika katika umeme kila siku hususani kwa siku za karibuni pasipo kutolewa taarifa na Tanesco, na jambo hilo linaathiri sana maisha ya watu na...
5 Reactions
32 Replies
4K Views
Sisi ukoo wa manyani tuwabebao chawa milini mwetu na kuwahudumia kwa chakula na malazi, mbona tunatendwa mabaya tena? Tumekosea wapi? Tumemkosea nani? Kama tatizo ni kujitangaza kwa uwazi kwamba...
9 Reactions
44 Replies
2K Views
MILIONI 700 ZA RAIS SAMIA ZAMALIZA UJENZI WA DARAJA KOROFI LA KISERU WILAYANI KITETO-MBUNGE OLE LEKAITA Na Mathias Canal, Kiteto-Manyara Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya...
3 Reactions
16 Replies
911 Views
Wadau nawasabahi, Kuna awamu fulani ya utawala serikali ilikuwa haina fedha kabisa na fedha nyingi zilikuwa mifukoni mwa watu binafsi. Watu hao binafsi huzipata fedha hizo kutoka serikalini...
1 Reactions
6 Replies
594 Views
Benki ya Dunia wametoka ripoti Yao kuhusu Haki ya uchumi wa Tanzania na Maendelea ya watu Pamoja na mambo mengine wamesifu uimara wa uchumi wa Tanzania wakisema licha ya mitikosiko ya uchumi wa...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Dunia Kwa sasa inaeleza Nguvu kwenye Nishati jadidifu yaani umeme usiotoa gas za kuchafua Hali ya hewa na kuleta majanga Duniani. Hapo Sasa Ile dhana ya Baba yenu wa Taifa Kambarage Kuacha...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Wakuu napenda kujulishwa ni mgombea yupi kutoka vyama vya upinzani aliyewahi kuichachafya CCM vibaya sana katika chaguzi kuu zilizopita tangu mfumo wa vyama vingi ulipoasisiwa 1st July,1992 kati...
0 Reactions
11 Replies
669 Views
Niko nafwatilia speech za viongozi wa afrika huko UN lakini mpaka sasa sijaona jina la rais wetu Samia. Je nini tatizo? NB: Mara ya mwisho nilimuona juzi akiwa jukwaani huko mtwara na akina...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Kuratibu na kulinda misafara ya viongozi si jambo jepesi kama watu wengi wanavyodhani. Kuwa na mazingira wezeshi ya kulinda misafara hiyo pia si jambo la Polimi lai!! Naona watu wengi pamoja na...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!!!! Napenda kuchukua fursa hii kwa furaha kubwa kuwaaga wana Moshi na viunga vyake niwashukuru sana kwa muda wa miezi mitatu kasoro...
0 Reactions
6 Replies
616 Views
................, (Salamu kwa kilugha chenu) Ndugu zangu wa Tz, naomba niweke wazi msimamo wangu, mm naunga mkono uwekezaji katika bandari na nyanja nyingine zote katika nchi hii ENDAPO kutakuwa...
0 Reactions
8 Replies
806 Views
MBUNGE LUCY SABU NA USHIRIKI WA ZIARA YA UONGOZI WA UWT TAIFA MKOA WA SIMIYU Mbunge wa Viti Maalum (Vijana Taifa) Mkoa wa Simiyu, Mhe. Lucy John Sabu ameshiriki katika ziara ya viongozi wa...
0 Reactions
3 Replies
810 Views
Mahojiano kabambe kuhusu utawala wetu kwa kina: Mazungumzo na Rakesh Rajani Juu ya Demokrasia |Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S08 https://m.youtube.com/watch?v=T6cmRer8qjo Umuhimu...
1 Reactions
4 Replies
527 Views
Walikuwa wakihojiwa na waandishi wa habari na wamesema inawalazimu kuvuka mpaka kufata Mafuta ya bei rahisi Tanzania Mjadala unaendelea Citizen TV Karibu sana πŸ˜ƒπŸ˜ƒ Mlale Unono πŸ˜ƒ
5 Reactions
55 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…