Ndugu zangu Watanzania,
Tuseme ukweli tu ndugu zangu kuwa Mchengerwa ni mchapa kazi sana, Ni Jembe kwelikweli, Ni hadhina kwa Taifa ,Ni Nyota inayong'aa kwa kasi, Ni kiongozi mwenye kiu ya kutaka...
Mhe. Doto Biteko , Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati
Tangazo la serikali kuhusu mgao wa umeme unaoendelea limekuja wakati ambapo kuna maswali mengi juu ya "upungufu wa umeme" pamoja na...
Mara zote wadau wa siasa wamehoji malengo na dhamira halisi ya ACT WAZALENDO kwenye siasa za Tanzania , mpaka sasa bado majibu yanatafutwa .
Sasa tunaomba aliyemuelewa kiongozi wao huyu atusaidie...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Mohamed O. Mchengerwa (Mb), amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega moani Simiyu, ndugu Veronica...
Rais Mwanamke wa kwanza Tanzania lakini cha ajabu wakati Dunia nzima mpaka hata ikijitahidi kuongeza quota za Wanawake kisheria kwenye nafasi za Uongozi huku wengine hata wakiweka kwenye Katiba...
Kuna mambo yanachukiza sana, unawadhulumu watu haki zao Kwa matamko ya ajabu ajabu. Tuendelee na Maombi. Wengine sio waandishi wazuri, soma hapa, kama kusoma huwezi angalia hata picha...
Karibu nchi nzima, maeneo tofauti tofauti yanakatika katika umeme kila siku hususani kwa siku za karibuni pasipo kutolewa taarifa na Tanesco, na jambo hilo linaathiri sana maisha ya watu na...
Sisi ukoo wa manyani tuwabebao chawa milini mwetu na kuwahudumia kwa chakula na malazi, mbona tunatendwa mabaya tena? Tumekosea wapi? Tumemkosea nani?
Kama tatizo ni kujitangaza kwa uwazi kwamba...
MILIONI 700 ZA RAIS SAMIA ZAMALIZA UJENZI WA DARAJA KOROFI LA KISERU WILAYANI KITETO-MBUNGE OLE LEKAITA
Na Mathias Canal, Kiteto-Manyara
Daraja korofi katika barabara inayounganisha Wilaya ya...
Wadau nawasabahi,
Kuna awamu fulani ya utawala serikali ilikuwa haina fedha kabisa na fedha nyingi zilikuwa mifukoni mwa watu binafsi. Watu hao binafsi huzipata fedha hizo kutoka serikalini...
Benki ya Dunia wametoka ripoti Yao kuhusu Haki ya uchumi wa Tanzania na Maendelea ya watu
Pamoja na mambo mengine wamesifu uimara wa uchumi wa Tanzania wakisema licha ya mitikosiko ya uchumi wa...
Dunia Kwa sasa inaeleza Nguvu kwenye Nishati jadidifu yaani umeme usiotoa gas za kuchafua Hali ya hewa na kuleta majanga Duniani.
Hapo Sasa Ile dhana ya Baba yenu wa Taifa Kambarage Kuacha...
Wakuu napenda kujulishwa ni mgombea yupi kutoka vyama vya upinzani aliyewahi kuichachafya CCM vibaya sana katika chaguzi kuu zilizopita tangu mfumo wa vyama vingi ulipoasisiwa 1st July,1992 kati...
Niko nafwatilia speech za viongozi wa afrika huko UN lakini mpaka sasa sijaona jina la rais wetu Samia. Je nini tatizo?
NB: Mara ya mwisho nilimuona juzi akiwa jukwaani huko mtwara na akina...
Kuratibu na kulinda misafara ya viongozi si jambo jepesi kama watu wengi wanavyodhani. Kuwa na mazingira wezeshi ya kulinda misafara hiyo pia si jambo la Polimi lai!!
Naona watu wengi pamoja na...
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!!!!
Napenda kuchukua fursa hii kwa furaha kubwa kuwaaga wana Moshi na viunga vyake niwashukuru sana kwa muda wa miezi mitatu kasoro...
................, (Salamu kwa kilugha chenu)
Ndugu zangu wa Tz, naomba niweke wazi msimamo wangu, mm naunga mkono uwekezaji katika bandari na nyanja nyingine zote katika nchi hii ENDAPO kutakuwa...
MBUNGE LUCY SABU NA USHIRIKI WA ZIARA YA UONGOZI WA UWT TAIFA MKOA WA SIMIYU
Mbunge wa Viti Maalum (Vijana Taifa) Mkoa wa Simiyu, Mhe. Lucy John Sabu ameshiriki katika ziara ya viongozi wa...
Mahojiano kabambe kuhusu utawala wetu kwa kina:
Mazungumzo na Rakesh Rajani Juu ya Demokrasia |Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S08
https://m.youtube.com/watch?v=T6cmRer8qjo
Umuhimu...
Walikuwa wakihojiwa na waandishi wa habari na wamesema inawalazimu kuvuka mpaka kufata Mafuta ya bei rahisi Tanzania
Mjadala unaendelea Citizen TV
Karibu sana ππ
Mlale Unono π