Muda Unayoyoma Kabla ya Mamilioni ya Tani za Makaa ya Mawe ya Tanzania Kugeuka "Useless" Tusipoangalia Hata Gas Itatudodea

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,125
49,846
Dunia Kwa sasa inaeleza Nguvu kwenye Nishati jadidifu yaani umeme usiotoa gas za kuchafua Hali ya hewa na kuleta majanga Duniani.

Hapo Sasa Ile dhana ya Baba yenu wa Taifa Kambarage Kuacha kutumia Madini Kwa kualika Wawekezaji wachimbe Kwa faida ya pande zote mbili inaenda kutokea puani kwenye Madini ya Makaa ya Mawe.

Ukweli ni kwamba mda Unayoyoma kabla ya tarehe ya mwisho ya marufuku ya matumizi ya Makaa ya mawe kuwadia mnamo mwaka 2030.

Huku mda ukizidi kukimbia Tanzania Bado Ina Mamilioni ya Tani za Makaa ya mawe yamelala ardhini bila kuchimbwa Kwa kuwa tulikosea hesabu hapo Mwanzo huku demand yake ya Sasa ikiwa ndogo hata kama tukisema watu wachimbe Bure.

Ndio kusema kilichoitwa Mali kinaenda Kugeuka hasara kubwa na kuua matarajio ya uchumi wa Mikoa ya Mbeya,Songwe,Rukwa,Njombe na Ruvuma kupata Kwa kutegemea Makaa ya mawe.


View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1704803169702760485?t=piRlts23sk1g4S1xcY5bUQ&s=19

My Take
Tusipokuwa makini na kuendelea kujivuta vita kutaka faida ya 50/50 hata gas inaenda kutufia hivyo kupata hasara mara 2.

Nilimsikia Rais akiwa Mtwara anasema tuombe mazungimzo na wawekezaji yafanikiwe haraka Ili usindikaji wa LNG uanze mara Moja.

Aisha Serikali iharakishe mazungimzo na Kenya,Uganda na Zambia Ili tujenge Mabomba na kuanza kuwausia hiyo gas kabla ya kutudodea kama makaa ya mawe.
 
Dunia Kwa sasa inaeleza Nguvu kwenye Nishati jadidifu yaani umeme usiotoa gas za kuchafua Hali ya hewa na kuleta majanga Duniani.

Hapo Sasa Ile dhana ya Baba yenu wa Taifa Kambarage Kuacha kutumia Madini Kwa kualika Wawekezaji wachimbe Kwa faida ya pande zote mbili inaenda kutokea puani kwenye Madini ya Makaa ya Mawe.

Ukweli ni kwamba mda Unayoyoma kabla ya tarehe ya mwisho ya marufuku ya matumizi ya Makaa ya mawe kuwadia mnamo mwaka 2030.

Huku mda ukizidi kukimbia Tanzania Bado Ina Mamilioni ya Tani za Makaa ya mawe yamelala ardhini bila kuchimbwa Kwa kuwa tulikosea hesabu hapo Mwanzo huku demand yake ya Sasa ikiwa ndogo hata kama tukisema watu wachimbe Bure.

Ndio kusema kilichoitwa Mali kinaenda Kugeuka hasara kubwa na kuua matarajio ya uchumi wa Mikoa ya Mbeya,Songwe,Rukwa,Njombe na Ruvuma kupata Kwa kutegemea Makaa ya mawe.


View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1704803169702760485?t=piRlts23sk1g4S1xcY5bUQ&s=19

My Take
Tusipokuwa makini na kuendelea kujivuta vita kutaka faida ya 50/50 hata gas inaenda kutufia hivyo kupata hasara mara 2.

Nilimsikia Rais akiwa Mtwara anasema tuombe mazungimzo na wawekezaji yafanikiwe haraka Ili usindikaji wa LNG uanze mara Moja.

Aisha Serikali iharakishe mazungimzo na Kenya,Uganda na Zambia Ili tujenge Mabomba na kuanza kuwausia hiyo gas kabla ya kutudodea kama makaa ya mawe.

Yaacheni mbele miaka ijayo yatakuwa na bei kuliko ya sasa , hakuna kitu hakina backup, leo mpaka mali za mjerumani zinatafutwa, twendako bado inaweza kuja ugunduzi ambao bado utahitaji rasimali kama tulizo nazo , na wakati huo ni tz pekee tutakua nazo na kushangaza Dunia

Nani alijua k/ koo ingekua hivi ilivyo katika miaka 60 iliyopita , hakuna cha kukurupuka , kwani tunazilisha chakula ?

Hacha zikae
 
Dunia Kwa sasa inaeleza Nguvu kwenye Nishati jadidifu yaani umeme usiotoa gas za kuchafua Hali ya hewa na kuleta majanga Duniani.

Hapo Sasa Ile dhana ya Baba yenu wa Taifa Kambarage Kuacha kutumia Madini Kwa kualika Wawekezaji wachimbe Kwa faida ya pande zote mbili inaenda kutokea puani kwenye Madini ya Makaa ya Mawe.

Ukweli ni kwamba mda Unayoyoma kabla ya tarehe ya mwisho ya marufuku ya matumizi ya Makaa ya mawe kuwadia mnamo mwaka 2030.

Huku mda ukizidi kukimbia Tanzania Bado Ina Mamilioni ya Tani za Makaa ya mawe yamelala ardhini bila kuchimbwa Kwa kuwa tulikosea hesabu hapo Mwanzo huku demand yake ya Sasa ikiwa ndogo hata kama tukisema watu wachimbe Bure.

Ndio kusema kilichoitwa Mali kinaenda Kugeuka hasara kubwa na kuua matarajio ya uchumi wa Mikoa ya Mbeya,Songwe,Rukwa,Njombe na Ruvuma kupata Kwa kutegemea Makaa ya mawe.


View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1704803169702760485?t=piRlts23sk1g4S1xcY5bUQ&s=19

My Take
Tusipokuwa makini na kuendelea kujivuta vita kutaka faida ya 50/50 hata gas inaenda kutufia hivyo kupata hasara mara 2.

Nilimsikia Rais akiwa Mtwara anasema tuombe mazungimzo na wawekezaji yafanikiwe haraka Ili usindikaji wa LNG uanze mara Moja.

Aisha Serikali iharakishe mazungimzo na Kenya,Uganda na Zambia Ili tujenge Mabomba na kuanza kuwausia hiyo gas kabla ya kutudodea kama makaa ya mawe.

Tuna makaa ya mawe
Tuna gesi

Bado tunapapasa gizani hatuna umeme.

Tatizo ni CCM
 
Tanesco hakuna Watalaam huko wazalishe umeme kupitia makaa ya Umeme niliwahi ona kwenye mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira walikua wanazalisha umeme mwingi sana kipindi hicho ni Siasa mbovu ndio zilifanya Mbeya wasipate umeme kupitia Kiwira Coal mine..
 
Tanesco hakuna Watalaam huko wazalishe umeme kupitia makaa ya Umeme niliwahi ona kwenye mgodi wa Makaa ya Mawe Kiwira walikua wanazalisha umeme mwingi sana kipindi hicho ni Siasa mbovu ndio zilifanya Mbeya wasipate umeme kupitia Kiwira Coal mine..
Capital intensive ,high gas emissions
 
Restricted by who???

Hizo ni ndoto za Globalist na Climate enthusiasts na agenda zao... Bdo dunia haipo tayari kuacha kutumia Coal na Fossil... bado sanaa mkuu...
 
Unaelewa maana ya deadline? Utakuja kumuizia nani labda?
Lengo si kuyauza bali tutayatumia wenyewe kutengenezea chuma cha Mchuchuma na mengineyo. Hicho chuma ndicho tutakachouza ndani na nje ya nchi.

Hiyo deadline yao wala isikutie wasi wasi. Umeona nchi za ulaya zilipoanza kutumia kwa wingi nishati ya makaa ya mawe baada ya Urusi kuwabania gesi yake waliyokuwa wanaitegemea. Hawa jamaa ni wapuuzi tu, walishatoa deadline hata ya matumizi ya petroli na dizeli ifikapo 2030. Haitawezekana hadi kiama. Hawa jamaa bado wanatumia mkaa kwa nyama choma. Yaani nyama iliyochomwa kwa mkaa ni tamu na ya ghari kuliko iliyochomwa kwa umeme au kwa gesi.
 
Lengo si kuyauza bali tutayatumia wenyewe kutengenezea chuma cha Mchuchuma na mengineyo. Hicho chuma ndicho tutakachouza ndani na nje ya nchi.

Hiyo deadline yao wala isikutie wasi wasi. Umeona nchi za ulaya zilipoanza kutumia kwa wingi nishati ya makaa ya mawe baada ya Urusi kuwabania gesi yake waliyokuwa wanaitegemea. Hawa jamaa ni wapuuzi tu, walishatoa deadline hata ya matumizi ya petroli na dizeli ifikapo 2030. Haitawezekana hadi kiama. Hawa jamaa bado wanatumia mkaa kwa nyama choma. Yaani nyama iliyochomwa kwa mkaa ni tamu na ya ghari kuliko iliyochomwa kwa umeme au kwa gesi.
Mkiwa kwenye sayari yenu tofauti na Dunia si ndio ?
 
Mkiwa kwenye sayari yenu tofauti na Dunia si ndio ?
Nadhani wewe utakuwa kati ya wale wanaoamini kuwa dunia ni USA na nchi za EU. Hao USA+EU wakisema cho chote, mnachukulia kuwa dunia imesema. Wakisema deadline ya kutumia makaa ya mawe, gesi na gasoline ni mwaka 2030, mnachukulia dunia imeamua hivyo. Putin anajitahidi kuwaondolea hizo mindsets zenu, sijui kama atafanikiwa.

Kwa taarifa ya kuelewa Dunia (Earth):
  • USA+EU ni 5% of the Earth's land area.
  • Bara la Africa ni 20% of the Earth's land area, it covers 30.37 million square miles enough to fit in the USA, China, India, Japan, Mexico and all the EU nations combined.
  • Bara la Asia ni 30% of the Earth's land area, 44.58 million square km.
  • South America ni 12% of the Earth's land area (17.84 million square km).
  • Russia ndiyo nchi kubwa kuliko zote duniani, ni 11% of the Earth's land area (16.32 million square km).

Sasa nyie hako ka 5% of the Earth's land area ndiko mnakaita Dunia? Hako ndiko kazuie dunia yote kutumia makaa yake ya mawe, gas yake na gasoline yake? Putin anaendelea kupambana nako.
 
Back
Top Bottom