Waziri Mchengerwa amsimamisha kazi Mkurugenzi wa Busega, kupisha Uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,812
11,989
IMG_8553.jpeg

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Mohamed O. Mchengerwa (Mb), amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega moani Simiyu, ndugu Veronica Vicent Sayore, kuanzia leo tarehe 22 Septemba, 2023 ili kupisha chunguzi.

Mheshimiwa Mchengerwa, amechukua hatua hiyo baada ya kupokea malalamiko kuhusu utendaji kazi usioridhisha, kutokuwa na ushirikiano na viongozi wenzake pamoja na kutowashirikisha watendaji katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kutokana na tuhuma hizo, Mheshimiwa Waziri Mchengerwa amemwelekeza Katibu Muu, Ofisi ya Rais - TAMISEMI kunda timu ya uchunguzi wa mwenendo wa utendaji kazi wa Mkurugenzi huyo pamoja na matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo iliyotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Busega.

Aidha, Mheshimiwa Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, kusimamia dhana ya ushirikishwaji wa viongozi, watendaji na wananchi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kuimarisha mahusiano mazuri baina ya viongozi na watendaji ili kujenga timu yenye umoja katika kutekeleza jukumu la kuwahudumia wananchi.
 
Mafisadi na wazembe wanakiona Cha moto lakini naamini CHADEMA hawatapenda hilo maana watakosa pa kufanyia propaganda
 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Mohamed O. Mchengerwa (Mb), amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega moani Simiyu, ndugu Veronica Vicent Sayore, kuanzia leo tarehe 22 Septemba, 2023 ili kupisha chunguzi.

Mheshimiwa Mchengerwa, amechukua hatua hiyo baada ya kupokea malalamiko kuhusu utendaji kazi usioridhisha, kutokuwa na ushirikiano na viongozi wenzake pamoja na kutowashirikisha watendaji katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kutokana na tuhuma hizo, Mheshimiwa Waziri Mchengerwa amemwelekeza Katibu Muu, Ofisi ya Rais - TAMISEMI kunda timu ya uchunguzi wa mwenendo wa utendaji kazi wa Mkurugenzi huyo pamoja na matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo iliyotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Busega.

Aidha, Mheshimiwa Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, kusimamia dhana ya ushirikishwaji wa viongozi, watendaji na wananchi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kuimarisha mahusiano mazuri baina ya viongozi na watendaji ili kujenga timu yenye umoja katika kutekeleza jukumu la kuwahudumia wananchi.
Huyu mkurugenzi alituhumiwa na mwenyekiti wa UWT taifa hivi karibuni. Huyu waziri anapaswa kuwa makini maana baadhi ya wanasiasa wakigomewa kupitisha mambo yao ya ovyo, ukimbilia kuwachongea wakurugenzi.
 
Mchengelwa ni HAZINA ya nchi. Yuko vizuri sana kiutendaji. Utaibadilisha sana TAMMISEMI. Ninamkubali sana huyu lawyer mwenzangu.
Kumbe ni mwanasheria. Nimekuwa nikijiuliza huyu jamaa atakuwa kasomea utawala au management? Anashusha nondo sana
 
Huyu mkurugenzi alituhumiwa na mwenyekiti wa UWT taifa hivi karibuni. Huyu waziri anapaswa kuwa makini maana baadhi ya wanasiasa wakigomewa kupitisha mambo yao ya ovyo, ukimbilia kuwachongea wakurugenzi.
Ni fitina tupu huyu mama simjui lakini ni majungu ya UWT
 
Huyu mkurugenzi alituhumiwa na mwenyekiti wa UWT taifa hivi karibuni. Huyu waziri anapaswa kuwa makini maana baadhi ya wanasiasa wakigomewa kupitisha mambo yao ya ovyo, ukimbilia kuwachongea wakurugenzi.
Wakurugenzi ni ccm na ccm ni wakurugenzi
 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Mohamed O. Mchengerwa (Mb), amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega moani Simiyu, ndugu Veronica Vicent Sayore, kuanzia leo tarehe 22 Septemba, 2023 ili kupisha chunguzi.

Mheshimiwa Mchengerwa, amechukua hatua hiyo baada ya kupokea malalamiko kuhusu utendaji kazi usioridhisha, kutokuwa na ushirikiano na viongozi wenzake pamoja na kutowashirikisha watendaji katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kutokana na tuhuma hizo, Mheshimiwa Waziri Mchengerwa amemwelekeza Katibu Muu, Ofisi ya Rais - TAMISEMI kunda timu ya uchunguzi wa mwenendo wa utendaji kazi wa Mkurugenzi huyo pamoja na matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo iliyotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Busega.

Aidha, Mheshimiwa Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, kusimamia dhana ya ushirikishwaji wa viongozi, watendaji na wananchi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo pamoja na kuimarisha mahusiano mazuri baina ya viongozi na watendaji ili kujenga timu yenye umoja katika kutekeleza jukumu la kuwahudumia wananchi.
Mchengerwa safi sana sana. Kazi unaiweza sana, hawa wezi siyo wa kuwachekea hata kidogo
 
Wakurugenzi ni ccm na ccm ni wakurugenzi
Kw
Huyu mkurugenzi alituhumiwa na mwenyekiti wa UWT taifa hivi karibuni. Huyu waziri anapaswa kuwa makini maana baadhi ya wanasiasa wakigomewa kupitisha mambo yao ya ovyo, ukimbilia kuwachongea wakurugenzi.
Kutuhumiwa tu kunatosha kuelezea uchafu wako, wakurugenzi wa halmashauri wapo 184 nchi nzima na hapo Simiyu pekee kuna halmashauri 6, Kwa Nini kama ni aonekane mmoja mwenye matatizo?
 
Mchengelwa ni HAZINA ya nchi. Yuko vizuri sana kiutendaji. Utaibadilisha sana TAMMISEMI. Ninamkubali sana huyu lawyer mwenzangu.
Labda ataibadisha sana familia yako!
Na pia labda ni Hazina kwako na ukoo wenu!

Ebu tupe kitu hata kimoja cha kumfanya Mchengerwa kuwa hazina ya tsifa hili la watanzania mimioni 62?
 
Chatanda kamuwashia moto, indirectly.Yawezekana kuna mambo,huyo mkurugenzi,hakutoa ushirikiano katika ziara yake ya hivi karibuni.Mchengerwa,ameona amsinamishe kwa muda,ili amfurahishe Mary Chatanda.Sidhani kama si mshikishaji.
 
Tembea taratibu,huyu mama aliwahi nitishia kuwa hawezi nipa ukuu wa shule kisa nimetofautiana naye kimtazamo,hatari sana yaani
 
Huyu mkurugenzi alituhumiwa na mwenyekiti wa UWT taifa hivi karibuni. Huyu waziri anapaswa kuwa makini maana baadhi ya wanasiasa wakigomewa kupitisha mambo yao ya ovyo, ukimbilia kuwachongea wakurugenzi.
Huu ndio ukweli!
 
Kw

Kutuhumiwa tu kunatosha kuelezea uchafu wako, wakurugenzi wa halmashauri wapo 184 nchi nzima na hapo Simiyu pekee kuna halmashauri 6, Kwa Nini kama ni aonekane mmoja mwenye matatizo?
Inaelekea unataka makosa yaleyale aliyokuwa akifanya jpm yajirudie, mtu akituhumiwa tu bila kuthibitisha kosa unatumbua siyo? Hivi unawajua waheshimiwa wa CCM na vikampuni vyao vya mfukoni uko kwenye halmashauri wanavyowasumbua wakurugenzi wenye misimamo?
 
Back
Top Bottom