World Bank yapendekeza Serikali iongeze kodi zaidi kwa matajiri ili kuleta usawa wa kiuchumi nchini

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,785
Benki ya Dunia wametoka ripoti Yao kuhusu Haki ya uchumi wa Tanzania na Maendelea ya watu

Pamoja na mambo mengine wamesifu uimara wa uchumi wa Tanzania wakisema licha ya mitikosiko ya uchumi wa Dunia Bado uko imara na wanakisia Ukuaji utakuwa 5.1% mwaka 2023 kabla ya kufikia 6% mwaka 2024.

Kuhusu Maendelea ya watu wamedai kwamba kuongezeka Kwa uwekezaji wa Serikali(Public Spending) kwenye Huduma za jamii kumepunguza umaskini zaidi kuliko Nchi zingine walizolinganisha.Na Ili kupunguza umaskini zaidi wakapendekeza Kodi ziongezwe hasa Kwa matajiri na mashirika.

View: https://www.instagram.com/p/CxfHBgIINoz/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

My Take
Binafsi napingana kabisa na dhana ya Kodi,Kodi,Kodi kwamba ndio njia ya kupunguza income inequality na kuondoa umaskini badala yake Serikali iwekeze kwenye kuongeza utajiri Kwa watu wa chini (Wealth creation).

Kwa maana ukiwabana matajiri na mashirika watashindwa kuwekeza na Kuajiri hao maskini.

Serikali msikubali huo Ushauri badala yake rahisisheni mazingira ya biashara Kwa kuondoa vikwazo Kwa watu wa chini vinavyokula mapato Yao ndio itasaidia kuwaondoa kwenye umaskini.

Pili anzisheni mfuko wa dhamana ya bila ya mazao Ili kunapotokea bei kuanguka au majanga yanayoharibu mazao ya watu waweze kufidiwa walau Kwa kuwarejeshea mtaji waliotumia.

View: https://www.instagram.com/p/CxZ2Cd4tGi7/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Huu ushauri umfikishie bosi wako Mwigulu. Maana kila siku anawaza kuongeza tozo tu kwa wananchi masikini. Mwambie yeye na matajiri wenzake, ndiyo wanatakiwa kulipa kodi kubwa zaidi.
 
Waziri wa fedha akitoa paper kali kuhusu sera ya uthibiti wa fedha, kodi na hali ya uchumi wa Tanzania kwa ujumla

19 Sept2023
Dar es Salaam


Dr. Mwigulu Nchemba : presentation Theme : The Efficiency and Effectiveness of Fiscal Policy in Tanzania

View: https://m.youtube.com/watch?v=QS4biRxRW1c


Wanaongea lugha moja, Tanzania na Benki ya Dunia WB kuhusu kwenda mbele, vyanzo vya ndani vya kodi vitafutwe kwa udi na uvumba kuongeza idadi ya walipa kodi ili kuweza kutengeneza bajeti inayofaa miaka ya fedha ijayo.

Pia mambo sita mazito yaangaziwa kuwa yakitendeka basi uhimilivu wa kulipa deni la taifa utafikiwa, miradi itapewa pesa kwa wakati, uzalishaji kuongezeka, miradi mikubwa ya kimkakati kama SGR, JNHPP kupata mikopo yenye riba na masharti rafiki n.k

YSEPTEMBER 19, 2023

Tanzania Economic Update: Enhancing Fiscal Efficiency and Effectiveness for a More Inclusive Future​


Tanzania


STORY HIGHLIGHTS​

  • Tanzania has gradually expanded tax collection, but it needs to further enhance its domestic revenue mobilization to adequately finance priority expenditures.
  • Broadening the tax base and strengthening tax administration is critical in the efforts to close the compliance gap, increase revenues, and increase spending on priority social sectors.
  • Tanzania’s total public spending increased to 18.2 percent of GDP in 2020/21, but this remains below the average for an LMIC country.

DAR ES SALAAM, September 19, 2023—Over the past decade, Tanzania has made strides in broadening its tax collection efforts, and its fiscal policy has played a vital role in supporting inclusive and sustainable growth. The 19th Tanzania Economic Update highlights these efforts and the country's solid macroeconomic footing, which has underpinned its recent shift to lower middle-income status. This foundation sets the stage for a robust, inclusive, and sustainable long-term growth trajectory, with a focus on advancing a more ambitious human capital development agenda. In addition to a fiscal position that remains relatively strong and stable, Tanzania stands out as one of the few economies in the region that avoided contraction in 2020.

Moreover, its moderate risk of debt distress provides room for judicious use of debt financing. Nonetheless, there remains room for the enhancement in domestic revenue mobilization. This improvement can enable a more substantial allocation of public funds to bolster social services, thereby enhancing the nation's human capital outcomes and reducing poverty.
According to the just published 19th Tanzania Economic Update: Enhancing the Efficiency and Effectiveness of Fiscal Policy in Tanzania, the country’s tax-to-GDP ratio increased from 10% in 2004/05 to 11.8% in 2022/23, with a peak of 13.3% in 2015/16.

This ratio is closer to that of low-income countries (LICs), while Tanzania is already a lower-middle-income country (LMIC).
Low domestic revenue mobilization has led to low overall public expenditure. While public spending is low across all expenditure categories compared to comparable countries, the most pronounced gap is observed in social spending.

To illustrate, Tanzania's public spending on education and healthcare amounts to only 3.3% and 1.2% of GDP in 2021/22, respectively. These figures fall below the average spending levels of 4.4% and 2.3% for LMICs.
While additional resources are needed to close the service delivery gaps in both sectors, there is scope to improve the efficiency of spending within the current systems. For example, if the healthcare system were to operate at its utmost efficiency, Tanzania could enhance critical health outcomes by 11% without necessitating additional resources.,” said Nathan Belete, World Bank Country Director.

To compound the picture, budget execution rates have consistently lagged, with the execution rate for the development budget averaging 67% over the past four years through 2020/21. The execution rate for domestically financed projects rose from 60% in 2017/18 to 85% in 2020/21, but the rate for foreign-financed projects averaged just 58%.

Low budget execution rates suggest that there are opportunities for improvement in strategic planning, budget preparation, and procurement processes,” said Emmanuel Mungunasi, World Bank Senior Economist and co-author of the Update.

“Additionally, there’s need to address delays in contracting non-concessional loans as well as delays in project preparation and implementation, as these are linked to the under-disbursement of concessional funds.”

Against this background, the Update authors recommend the efficient deployment of fiscal policy to address income and wealth inequalities. Tanzania's fiscal policy is already reducing income inequality by distributing revenue and spending money on important social services.

To ensure that everyone pays their fair share of taxes, the Update authors recommend improving the way income and wealth are taxed to help reinforce the social contract between citizens and the government and also benefit the overall economy.

Tanzania-economic-update Open Infographic

“Because Tanzania relies chiefly on fiscal policy to achieve its growth and stabilization objectives, it must adopt a policy pathway that allows greater expenditure predictability for increased physical and human capital investments, which is critical for inclusive and sustainable economic growth over the long term,” said Jaffar Rikabi, World Bank Senior Economist, and co-author of the report.

Improved tax collection helped narrow the tax gap from 8% of GDP in 2000 to 5.6% of GDP in 2017. To close the policy and compliance gaps further and increase revenue collection for improved public spending, the report authors recommend:
  1. Boosting the productivity of progressive taxes: Tanzania’s direct taxes, like personal income tax and corporate income tax, are highly progressive, and VAT also appears to be moderately progressive, unlike VATs in many comparable countries. The government can benefit by rationalizing tax expenditures, lowering the VAT threshold, leveraging digital technologies, and reducing tax compliance gaps.
  2. Improving administration capacities: There is a need for systemic reforms to build the capacity of the revenue administration that will help to expand collection efficiently and equitably, including addressing VAT refund arrears.
  3. Improving budget implementation: There is a need to improve the execution of budgets at all government levels, with a particular focus on development projects and non-salary expenditures.
  4. Focusing on priority sectors: As domestic revenue mobilization improves and budget execution becomes efficient, there is a need to increase expenditures for social sectors (education, health, and social protection) to improve human capital outcomes and reduce inequality.
  5. Reducing income inequality and poverty: There is a need to strengthen the distributional impacts of fiscal policy by broadening the tax base and making more use of conditional cash transfers and support for public primary education, which have been demonstrated to be pro-poor over time
Source: Tanzania Economic Update: Enhancing Fiscal Efficiency and Effectiveness for a More Inclusive Future
 
It's applicable huko kwa wenzetu, the wealthy are taxed more and more.

Huku ukifanya namna hiyo tegemea hao ma-alligators kutuminya huku chini hadi tukome.
 
It's applicable huko kwa wenzetu, the wealthy are taxed more and more.

Huku ukifanya namna hiyo tegemea hao ma-alligators kutuminya huku chini hadi tukome.
Shida kubwa ni ufuatiaji was ukusanyaji wa kodii na uwepo wa kodii,too,na ushuru ambao sio centralized(tra)mfano Kodi ya ardhi inakusanywa na wizara ya ardhi na je Iko kwenye hessbu za tra ?na je Kodi hukusanwa kwa asilimia ngapi ?na ziko Kodi nyingi za namna hii.pia viwango vya Kodi vinaonekana ni vidogo lakini kutokana na mienendo ya biashara zilivvyo havilipiki na kupelekkea asilimia kubwa kukwepa kulipa.ukiangalia utaona tra wanapanga viwango bila kwenda site kuona mienendo ya biashara.kwa mfano kama mfanya biashara hauzi 10,000/=kwa siku(mtaji+faida)inakuwaje umwambiee alipe k odi ya 43,000/=kwa mwezi?ukienda site utaona vilio hivi,kingine ni Kodi nyingi kulipwa na wachache hebu fikiria mwenye nyumba alipe Kodi ardhi,Kodi ya nyumba,Kodi ya mapato,ushuru wa huduma,ushuru wa taka,leseni ya biashara,Kodi nyingine za Halmadhauri,latra,na VAT na...,,.Mamlaka zione you namna ya regulate Kodi hizi zilizopo zinatosha.
 
Pamoja na VAT kuwa kubwa kuzidi nchi yoyote, na tozo zikaendelea kulundikwa..........mzigo wote huu unaenda kwa wananchi wa kawaida huku matajiri na mafisadi yakiendelea kula maisha kiulaini.
 
Tajiri akizidiahiwa Kodi na yeye anapunguza rate ya mishahara au kupunguza wafanyakazi. Hili pia waliangalie.. kuongeza Kodi kuna madhara gani ambayo hayategemewi kuwepo?
 
Tajiri akizidiahiwa Kodi na yeye anapunguza rate ya mishahara au kupunguza wafanyakazi. Hili pia waliangalie.. kuongeza Kodi kuna madhara gani ambayo hayategemewi kuwepo?
Hakufai kwenye Nchi zonazoendelea na fragile kama za Africa.

Hao wanatakiwa kupewa incentives kwenye productive sectors waingize pesa zaidi.
 
vyanzo vya ndani vya kodi vitafutwe kwa udi na uvumba kuongeza idadi ya walipa kodi ili kuweza kutengeneza bajeti inayofaa miaka ya fedha ijayo.

Kenya inawalipa kodi 7, 000,000

Tanzania ina walipa kodi idadi inayokaribia 3,000,000 tu hii imethibitishwa na kauli ya Mwigulu Nchemba waziri wa Fedha na Mipango Tanzania na pia takwimu za ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS Tanzania : source :

Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk Albina Chuwa amesema takwimu za Taifa lazima ziheshimiwe ..... idadi ya walipa kodi Tanzania ambao kwa sasa ni milioni 2.5 kati ya vijana 21 milioni wenye nguvu za kufanya kazi, kwa mujibu wa NBS Source : Takwimu za Taifa ziheshimiwe -NBS
 
Back
Top Bottom