Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,340
Mara zote wadau wa siasa wamehoji malengo na dhamira halisi ya ACT WAZALENDO kwenye siasa za Tanzania , mpaka sasa bado majibu yanatafutwa .
Sasa tunaomba aliyemuelewa kiongozi wao huyu atusaidie kuelewesha wengine
Mkubwa huyo amedai kwamba Wawekezaji Waje nchini Tanzania , maana hali ya kisiasa ni Tulivu , cha kushangaza Mwanachama wao ametekwa na kuteswa juzi tu huko Mbarali (hii ni kwa taarifa ya chama chake) , au kwa vile aliyeteswa ni Mtanganyika ndio maana hali inadaiwa ni shwari , angetekwa wa Mchambawima au Chake chake angepuuza ?
Sasa tunaomba aliyemuelewa kiongozi wao huyu atusaidie kuelewesha wengine
Mkubwa huyo amedai kwamba Wawekezaji Waje nchini Tanzania , maana hali ya kisiasa ni Tulivu , cha kushangaza Mwanachama wao ametekwa na kuteswa juzi tu huko Mbarali (hii ni kwa taarifa ya chama chake) , au kwa vile aliyeteswa ni Mtanganyika ndio maana hali inadaiwa ni shwari , angetekwa wa Mchambawima au Chake chake angepuuza ?