Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chama ambacho kimewapeleka wapiga kura wake kuzimu kwa kuwahadaa mengi ya uongo: Chama ambacho kimeruhusu raslimali za Nchi ziuzwe na kugawiwa hovyo kwa wageni bila utaratibu na wakati mwingine...
7 Reactions
40 Replies
2K Views
Kama nilivyowahi kusema Freeman Mbowe Ndiye Mwenyekiti wa chama cha upinzani mwenye mafanikio zaidi hapa nchini Lakini pamoja na mafanikio hayo mh Mbowe alijikwaa kwenye maeneo matatu kama...
2 Reactions
6 Replies
663 Views
Mungu, Watanzania wamepigika na wamechoka kweli kweli. Wakati Watanzania wanahangaika kila siku kutafuta angalau mlo wa siku, Mawaziri, Wabunge na waandamizi wengine wa serikali wanaishi maisha ya...
15 Reactions
20 Replies
1K Views
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la reli nchini (TRC) amesema asilimia 70 ya ujenzi wa reli ya kisasa umefanywa na awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kwa mantiki hiyo, awamu ya tano chini...
7 Reactions
65 Replies
4K Views
Kama hujagundua hili bado wewe hufikirii sawasawa. Watu wote hupenda kuwa CCM na kupigania kupata nafasi zaidi na zaidi kama sehemu salama ya kujifichia maovu na haramu. Hii inahusu viongozi wote...
15 Reactions
47 Replies
2K Views
Ni nadra kabisa au hata tuseme haiwezekani kabisa, kuwe na uovu mkubwa kabisa kama vile wizi wa pesa ya umma, CCM isihusike. Na wengi ndani ya CCM, umoja wao umejengeka katika uovu. Na waovu wengi...
1 Reactions
9 Replies
705 Views
Waziri Nape Afanya Mazungumzo na Balozi wa Finland Tanzania Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa...
0 Reactions
1 Replies
439 Views
Kuna Mahindi ambayo Marekani imetoa msaada kwa Tanzania. Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kawa na wasiwasi nayo. Amedai yamewekewa Virutubisho ambavyo havijulikani. Pia Waziri kasema Tanzania tuna...
20 Reactions
82 Replies
5K Views
MHANDISI - UWANJA WA NDEGE MWANZA UMEKOSEWA, VIGEZO HAVIKUZINGATIWA UWE WA KIMATAIFA Hayo yameelezwa na mhandisi wakati mkuu wa mkoa wa Mwanza Mh. Amos Makala alipofika kuangalia ujenzi...
4 Reactions
43 Replies
6K Views
Wahenga walishaonya kuwa kusikia kwa kenge ni mpaka damu masikioni, inasikitisha sana genge la CHADEMA liliongoza kumtukana na kumchafua hayati Edward Lowasa bila ushahidi wowote ndiyo hilo hilo...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
CCM, kiasili ni chama cha waovu, hata kwa mtu binafsi ni vigumu sana, kuiacha asili yake. Hivyo tusitegemee ni rahisi CCM kuuacha uovu. Ukisikia mafisadi, wapo CCM: Uthibitisho: marehemu Magufuli...
6 Reactions
18 Replies
886 Views
Tangu Rais Samia aingie madarakani amefanya teuzi nyingi tu na katika teuzi hizo wapo watu wamekaa standby kuangalia majina ya Kizungu (isomeke Kikristo) na Kiarabu (isomeke Kiislamu) ili waone...
53 Reactions
509 Replies
28K Views
Natoa tu angalizo kwa Wananchi wasije wakajichanganya wakadhani ni rahisi hapa Tanzania kutenda kama Senegal Siasa za Tanzania ni za Kuchumia Tumbo hivyo Harakati zote za kisiasa zimeelekezwa kwa...
2 Reactions
4 Replies
579 Views
Huyu kada wa CHADEMA na mnufaika wa michango ya Join The Chain, Godbless Lema, kaandika kitu cha maana sana huko Twitter (X). Ninamuunga mkono 100% kww maslahi mapana ya taifa. Kaandika hivi...
11 Reactions
42 Replies
4K Views
Paul Makonda ni mbunifu ,mchapakazi asiyeogopa kitu chochote linapokuja swala la kuwahudumia wananchi. Ndani ya miaka mitano ya uongozi wa Makonda jiji la Dares salaam lilibadilika na kuwa mfano...
2 Reactions
6 Replies
818 Views
Waziri wa afya mh Ummy Mwalimu ameswma ujenzi wa jengo la mama na mtoto Chato kuanza ndani ya mwaka huu wa fedha 2022/2023 na fedha zipo tayari. Wananchi waendelee kuchukua tahadhari kutokana na...
0 Reactions
2 Replies
615 Views
Gambo amesema tangu amekuwa mbunge amefanya mikutano mingi ya kuhamasisha maendeleo tofauti na miaka 10 ya uongozi wa Lema aliyedai alikuwa anahimiza ujasiri wa kuitukana Serikali. “Fikisheni...
2 Reactions
56 Replies
3K Views
Waziri wa Tamisemi Mh Mchengerwa amesema alishangazwa baada ya kuletewa bajeti ya manunuzi ya dola laki 5 kwa basi moja la mwendokasi. Mchengerwa aliifutilia mbali hiyo bajeti baada ya kubaini ni...
19 Reactions
59 Replies
5K Views
WanaJF, Heri ya Mwaka Mpya 2023! Kwa wapenzi wa siasa nchini niambieni Jimbo gani liko hatarini kupotea mwaka 2025. Kwa mtizamo wangu naona wabunge wote waliochaguliwa majimboni 2020 wako...
3 Reactions
102 Replies
5K Views
25 March 2024 Muheza, Tanga Bi Yosefa Komba wa CHADEMA jimbo la Muheza azungumza mazito ktk mkutano mkubwa CHADEMA YAONGEA KUPITIA MKUTANO NA WANANCHI WA MUHEZA Kamanda Yosefa Komba aitisha...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…