Sasa ni rasmi Wawekezaji wa sekta ya nyumba na ardhi (real sector investors) kutoka nje ya nchi wataruhusiwa kumiliki ardhi na nyumba kwa minajiri ya biashara ndani ya Tanzania kwa masharti...
NAIBU WAZIRI: HAKUNA MADARAJA KATIKA BIMA YA NHIF
Mbunge Aida Joseph Khenani alitoa hoja kuwa Wananchi wanapokata Bima za Afya za NHIF wanawekewa ukomo wa baadhi ya huduma na dawa wanapofika...
Naamini tunafanyiwa hujuma kwa sababu nishati ya umeme ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi.
Tanzania ina kila kitu cha kulifanya Taifa hili kuwa moja ya Mataifa makubwa kiuchumi baada ya...
Tangu Tundu Lissu tangu arudi nchini hii nadhani itakuwa ni mara ya pili sasa kuondoka tena nchini bila kusema sababu yoyote hali hii sidhani kama inaleta afya kwa chama chake ukizingatia TL ni...
Wakuu,
Waziri Nape alitoa kauli hivi karibuni akisema watu waliokuwa kwenye mitandao ya kijamii wanapiga kelele tu na kwamba wapiga kura na wale wanaojielewa wanafanya mambo mengiine mtandaoni...
Rais wa jamhuri ya Muungano mama Samia, alitengua uteuzi wa aliyekuwa Mkurugenzi wa TTCL Maharage Chande ,muda mfupi tu baada ya kuteuliwa .
Pamoja na Track Record safi , uzalendo na uchapakazi...
Umekuwa mstali wa mbele ukimpigia chapuo kijana Mkemwa ambaye ni wakwenu huko jimboni Kibakwe ili eti awe Mbunge wa Mpwapwa kwa sababu huyu aliyopo ameshindwa kabisa ku-crick. Huoni kamaa...
Kuna tabia moja imekuwa inanishangaza sana kwa muda mrefu kuhusu uongozi wetu wa hii nchi. Sijui kwanini tupo hivi ila unakuta kiongozi wa serikali mfano amefanya mambo ya ajabu wizara flani baada...
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake Tanzania UWT Mary Chatanda amefurahishwa na Utekelezaji wa Ilani ya CCM wilayani Chato Mkoani Geita alipotembelea Miradi mbalimbali ya Maendeleo katika wilaya hiyo...
Hususani kwenye chaguzi za kisiasa na kesi mahakamani, kwamba ukishinda wewe uchaguzi kwenye sanduku la kura au ukishinda kesi mahakamani, basi hapo haki imetendeka na uchaguzi ulikua wa wazi...
Kamati ya Uchaguzi wa Taifa (NEC), inatakiwa ishirikiane na mamlaka ya utambulisho wa utaifa (NIDA) katika mchakato wa upigaji kura.
NIDA wanatumia finger print sambamba, na wanachukua taarifa...
Wanajukwaa kuna mtindo wa mtandao wa TIGO kukata/kutwaa balance za wateja bila maelezo.
Ukiingiza vocha kwenye laini yako na ukachelewa kuunga kifirushi, bila maelezo utakatwa hela yako mpakà...
Ushindi wa Chama chichote cha Siasa duniani unaanzia kwenye Ulinzi wa kura kitu ambacho Chadema wamepungukiwa
Mzee Lowasa aliwafundisha Chadema 2015 mbinu mbalimbali za Kulinda Kura zao lakin...
Wanabodi,
Naomba nianze kwa kufanya rejea Bandiko la Mkuu, Ben Saanane kuhusu Tuhuma dhidi ya Balozi wa UK: Uhusiano wa Kidiplomasia
Kiukweli tuhuma za Balozi wa Uingereza kuhusika na Ujasusi...
Juzi Mhe. Rais Rais alimteua Prof. Kennedy Gaston kuwa Katibu Mkuu wizara ya mambo ya nje (anayeshughulikia ushirikiano wa Afrika Mashariki). Ijumaa tar. 1 akaapishwa huko Zanzibar. Jumamosi...
Katika kile kinachoonekana kama mapinduzi ya mafanikio ya nssf, Mkurugenzi Mkuu Ametoa salute Kwa Uongozi wa Rais Samia Kwa kuwawesesha kurekodi Ukuaji wa Asilimia 55% ndani ya miaka 2 ya Rais...
Kupitia Observation.
Ziara nyingi za Awamu ya tano zilikuwa za kuweka majiwe ya msingi na uzinduzi wa miradi.
Ziara nyingi za Awamu ya sita ni mikutano na matamasha.
Au nyie bado hamjagundua...
Wadau nawasabahi. Naomba tuambizane ukweli.
Toka vifo vya mwalimu Julius Nyerere na Edward Sokoine nchi yetu imekosa kabisa viongozi wenye uzalendo na nchi hii. Hayati Nyerere na sokoine...
Hakuna ubishi kwamba asilimia 90 ya Taasisi za Serikali hazipokei simu, na wala ukiandika emaila hutakaa ujibiwe milele,
Kenya wao wame under go Digital Service lasimi na hakuna Huduma ya...
Haya mambo yanatia hasira sana, yani waziri na tai yake anasimama bungeni anasema watanzania tumeshindwa kusimamia bandari mizigo inakaa muda mrefu hivyo tuwape bandari watu wa nje waisimamie...