Hata maDED wote wakiwa ni Makamanda wa CHADEMA bado CCM itashinda Uchaguzi. CHADEMA hawawezi kulinda Kura zao kama walivyofundishwa na Lowassa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,000
142,028
Ushindi wa Chama chichote cha Siasa duniani unaanzia kwenye Ulinzi wa kura kitu ambacho Chadema wamepungukiwa

Mzee Lowasa aliwafundisha Chadema 2015 mbinu mbalimbali za Kulinda Kura zao lakin iliwasaidia mwaka Ule tu sasa wameshasahau

Usidhani kwamba Chadema hawapendi kuiba Kura la hasha CCM wako vizuri sana kwenye Kulinda kura zao na zile za Vyama rafiki

Jumaa Mubarak 😀🌟
 
Kwanza kwanini watu walinde kura?

Yaani mtu atimize haki yake kikatiba kuchagua kiongozi amtakaye badala aondoke kuendelea na shughuli zake mnataka alinde kura?

Kwahiyo ni dalili tosha CCM mmekiri kuwa ni majizi ya kura kila uchaguzi.
 
Kwa nn wanaiba licha ya kutumia mabilioni kwenye kampeni kulipa wasanii,kofia,kanga,skafu,vitenge, tshirt,gongo,mbege,chimpumu,ngono?
 
Ushindi wa Chama chichote cha Siasa duniani unaanzia kwenye Ulinzi wa kura kitu ambacho Chadema wamepungukiwa

Mzee Lowasa aliwafundisha Chadema 2015 mbinu mbalimbali za Kulinda Kura zao lakin iliwasaidia mwaka Ule tu sasa wameshasahau

Usidhani kwamba Chadema hawapendi kuiba Kura la hasha CCM wako vizuri sana kwenye Kulinda kura zao na zile za Vyama rafiki

Jumaa Mubarak 😀🌟
Unadhan ni kwann umesema kura lazima zilindwe??
 
Ushindi wa Chama chichote cha Siasa duniani unaanzia kwenye Ulinzi wa kura kitu ambacho Chadema wamepungukiwa

Mzee Lowasa aliwafundisha Chadema 2015 mbinu mbalimbali za Kulinda Kura zao lakin iliwasaidia mwaka Ule tu sasa wameshasahau

Usidhani kwamba Chadema hawapendi kuiba Kura la hasha CCM wako vizuri sana kwenye Kulinda kura zao na zile za Vyama rafiki

Jumaa Mubarak 😀🌟

Kama CCM ni manguli hivyo kulikoni wasikubali tu uchaguzi wenye katiba mpya na tume huru hadi kama ikibidi hata damu imwagike tu?
 
Ushindi wa Chama chichote cha Siasa duniani unaanzia kwenye Ulinzi wa kura kitu ambacho Chadema wamepungukiwa

Mzee Lowasa aliwafundisha Chadema 2015 mbinu mbalimbali za Kulinda Kura zao lakin iliwasaidia mwaka Ule tu sasa wameshasahau

Usidhani kwamba Chadema hawapendi kuiba Kura la hasha CCM wako vizuri sana kwenye Kulinda kura zao na zile za Vyama rafiki

Jumaa Mubarak
Imbecile!!!
 
Back
Top Bottom