johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,034
- 142,098
Ukiangalia mikakati ya Bananga kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utagundua CCM huwa wanashinda kihalali kabisa
Kwa sasa Wajumbe wa CCM Wanafanya uelimishaji wa Nyumba kwa Nyumba wakielezea faida za kuendelea kuichagua CCM na hasara za kuwachagua Wahuni wa upinzani
DSM ni Kijani kwa kweli
Mlale Unono 😀😀🔥🌟
Kwa sasa Wajumbe wa CCM Wanafanya uelimishaji wa Nyumba kwa Nyumba wakielezea faida za kuendelea kuichagua CCM na hasara za kuwachagua Wahuni wa upinzani
DSM ni Kijani kwa kweli
Mlale Unono 😀😀🔥🌟