Salaam, Shalom!!
Tunapoelekea katika kumbukumbu ya kukumbuka miaka 3 ya Mzalendo Magufuli,
Tujikumbushe misimamo yake iliyolivusha Taifa huku akiwaacha mbali viongozi wa Dini na Viongozi wa Vyama vya siasa na Dunia Kwa ujumla.
Sisi tusiokuwa na vyama tulikaa katikati na kupima upi Hasa ulikuwa ushauri wenye maslah ya Wananchi.
Viongozi wa Dini walikuwa tayari KUFUNGA nyumba za Ibada kuogopa corona, Magu akasema HAPANA msifunge, twendeni tukamwombe Mungu atatusaidia, na Kweli tukavuka salama.
Wanasiasa wa Upinzani walishauri tupigwe LOCKDOWN, Magu akagoma, akatoa HOJA kuwa wananchi wengi ni deiwaka, wasipotoka, familia haijala, na huo ndio ulikuwa UKWELI, maana Nchi zingine, watu walivunja Sheria ya lockdown Ili wakatafute chakula wakidai ni Afadhali kufa Kwa korona Ukiwa umeshiba, kuliko kufa Ukifa njaa umefungiwa.
Mwanasiasa mmoja, Mwenyekiti wa chama Cha upinzani akatoa wazo na kutaka wanaokaidi Chanjo, wakamatwe, wapingwe pingu na kuchanjwa Kwa lazima.
Wazo la kuhamisha IKULU Toka Dar Magogoni kwenda Dodoma, yalikuwa ni maono makubwa.
Kuanza mradi wa JNHP pia yalikuwa ni maono mema Kwa Taifa.
Kwa uchache, Itoshe kusema, Kwa Muda Mchache Mungu aliompa Magu kuwa Rais, Kweli alifanya KAZI iliyotukuka, mapungufu yake kama mwanadamu tuhakikishe hatuyafuati.
Ahsante Mungu Kwa zawadi ya Nabii Magufuli.
Amen
Tunapoelekea katika kumbukumbu ya kukumbuka miaka 3 ya Mzalendo Magufuli,
Tujikumbushe misimamo yake iliyolivusha Taifa huku akiwaacha mbali viongozi wa Dini na Viongozi wa Vyama vya siasa na Dunia Kwa ujumla.
Sisi tusiokuwa na vyama tulikaa katikati na kupima upi Hasa ulikuwa ushauri wenye maslah ya Wananchi.
Viongozi wa Dini walikuwa tayari KUFUNGA nyumba za Ibada kuogopa corona, Magu akasema HAPANA msifunge, twendeni tukamwombe Mungu atatusaidia, na Kweli tukavuka salama.
Wanasiasa wa Upinzani walishauri tupigwe LOCKDOWN, Magu akagoma, akatoa HOJA kuwa wananchi wengi ni deiwaka, wasipotoka, familia haijala, na huo ndio ulikuwa UKWELI, maana Nchi zingine, watu walivunja Sheria ya lockdown Ili wakatafute chakula wakidai ni Afadhali kufa Kwa korona Ukiwa umeshiba, kuliko kufa Ukifa njaa umefungiwa.
Mwanasiasa mmoja, Mwenyekiti wa chama Cha upinzani akatoa wazo na kutaka wanaokaidi Chanjo, wakamatwe, wapingwe pingu na kuchanjwa Kwa lazima.
Wazo la kuhamisha IKULU Toka Dar Magogoni kwenda Dodoma, yalikuwa ni maono makubwa.
Kuanza mradi wa JNHP pia yalikuwa ni maono mema Kwa Taifa.
Kwa uchache, Itoshe kusema, Kwa Muda Mchache Mungu aliompa Magu kuwa Rais, Kweli alifanya KAZI iliyotukuka, mapungufu yake kama mwanadamu tuhakikishe hatuyafuati.
Ahsante Mungu Kwa zawadi ya Nabii Magufuli.
Amen