Katika video hii yuko Rais wa Kwanza wa Zanzibar Bwana John Gidion Okello "Field Marshal" (Katikati), Pia yupo Abdulahman Babu kulia (Mkalimani) na yupo Abeid Karume (Kiongozi wa ASP).
Hapa Rais...
Watakapoamka watakuja counter revolution will be complete. Watch carefully, as long as there is the union the revolution of January 12, 1964 will be defended. Outside the union the revolution will...
Kama ni kweli ''wakoloni '' walikuwa ni wabaya kiihivyo kama communists walivyotuminisha, how is that elimu ambayo ilitolewa kwetu ndiyo ile ile iliyotolewa ulaya kwao wazungu waliotutawala? i...
Wizara ya Ndani, aliyekuwepo kaondolewa kwa sababu pale Kuna manunuzi ya upigaji, na alionekana ni mtu ambaye hapendi upigaji katika manunuzi hayo ndiyo maana kawekwa Bwana Mdogo asiyebweka...
Wanabodi,
Tumezoa kusikia neno "Matukufu" kila yanapotajwa Mapinduzi ya Zanzibar ya January 1964, Jee neno hili, Matukufu, lilitokea wapi na lina maana gani kwenye Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar...
Wanabodi,
Zanzibar inajiandaa kusheherekea miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 1964 yalioufuta ule uhuru bandia wa mwaka 1963 chini ya serikali ya vibaraka ya Sultani Jamseed...
Leo hii Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amekutana na muwakilishi wa Rais wa China XI JI PING ambaye ni waziri wa mambo ya nje wa Jamhuri ya watu wa china ndugu WANG YI.
Mambo muhimu...
Kama hatufuati katiba ni kajitabu tu, inamaana hakuna raisi, hakuna polisi wala hakuna nchi wala serikali kila mtu kivyake katiba ndio msingi.
Watu wasio na akili waambieni katiba ndio msingi...
Ili kuepuka kuundwa kwa vyama mamluki venye kutumikia mataifa ya nje na kuzalisha vibaraka wa mabeberu ni vyema bunge likajadili na kuweka muundo rasmi wa vyama vya siasa nchini ambapo ndani yake...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye Nipashe ya leo.
Hii ni Makala yangu ya kwanza kwa mwaka huu, 2026, hivyo naomba kuanza kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kuturehemia kwa...
Ameandika John Heche kwenye akaunti yake ya mtandao wa Instagram leo Januari 12, 2025 "Chuo kikuu cha Dar es Salaam kwasasa kimegeuka kuwa kama shule ya msingi. Wakati UDASA wana kongamano lao...
Wana bodi, japo tuko kwenye harakati za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge, kuna swali linanitatiza kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ambapo majibu yake sahihi, pia yanaweza kuwa ni...
Wana JF.
Usiku wa tarehe 12 Januari 1964 kundi la watu 300 walikitwaa kisiwa cha Unguja wakiongozwa na mtu asiyekuwa maarufu kipindi hicho, aliyekuwa akiitwa John Okello, John Okello alikuwa...
Majaliwa na mipango kuwekwa washauri wa rais ni kuwapumbaza walidaiwa kumpinga nyuma ya pazia hizo nafasi ni hewa tu huwezi kumshauri samia chochote.
Samia hashauriki chochote amewaweka hapo...
Tamko la waziri wa China ni la unafki nchi kuingiliwa na mataifa mengine ikiwa na wauwaji sio kosa huo ndio urafiki wa kweli.
Nchi kuingiliwa ikiwa na demokrasia na hakuna utekaji wala mauwaji...
UCHUMI TANZANIA 2026
Januari 2026 unaonyesha kuwa uchumi wa Tanzania upo katika kipindi muhimu cha mpito, ambapo ukuaji wa jumla wa uchumi ni imara, lakini kuna changamoto za kimuundo katika...
Rais Samia sidhani kama hata course ya Umumugambo anayo lakini analaumiwa.
Nchi kila sehemu Ina vijitu vinatwa usalama wa taifa Nyerere aliviwekega mpaka barabarani na vilifanya KAZI nzuri sana ...
Serikali haramu iache upumbavu usituite tuna amani wakati mnateka na kuuwa watu kila siku amani ya nyoko mme teka mpaka maiti mlizouwa.
Mpaka maiti zilizo uwawa zimeshikiliwa mateka mnasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.