Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naona wanaendelea kutoa ya moyo! =========== Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Sera, Uratibu, Bunge na Walemavu...
2 Reactions
4 Replies
141 Views
Wakuu, Akizungumza wakati anatoa Semina kwenye Mafungo ya WAWATA Jimbo Katoliki Bagamoyo, ambayo yaliyofanyika Jumamosi ya Tarehe 14/03/2026 katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria Padre...
5 Reactions
20 Replies
498 Views
Nini hasa sababu za wana CCM kutotakiwa kutaka, kujipanga au kuonyesha nia ya kuutaka au kugombea urais 2030?
1 Reactions
1 Replies
101 Views
Nimemsikia Waziri mkuu Mwigulu Nchemba akisema huwa akipita mitandaoni huwa anakutana na komenti zinazosikitisha hasa inapotolea misiba ya wanaCCM Nimepata picha kumbe na wao huwa wanaumia. Sasa...
9 Reactions
21 Replies
437 Views
GHATI CHOMETE AUNGANA NA WAOMBOLEZAJI KATIKA IBADA YA KUAGA MWILI WA MHE. LUKUVI, BUNGENI DODOMA Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Ghati Zephania Chomete, tarehe 27 Machi 2026 ameungana na...
2 Reactions
3 Replies
233 Views
Kila anaye soma hilo neno hapo anapata shida kuelewa kwanini muandishi ameandika maneno hayo hapo juu, ila kwa mwenye macho ya ndani atagunduwa taifa hili bendera yake ktk macho yakawaida...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nobert Hongoli na Wolter John Mbaga (Mhariri) Lumen Radio ya Karatu wamekamatwa na kuwekwa rumande Kwa AMRI ya DC Lameck Karanga na wamekamatwa leo March 27,2026 asubuhi baada ya agizo la Mkuu...
3 Reactions
8 Replies
267 Views
Kufuatia kusambaa kwa video kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha kijana anayedaiwa kuwa Mtanzania akishambuliwa nchini Afrika Kusini, Balozi wa Tanzania nchini humo, James Bwana, amesema...
1 Reactions
1 Replies
212 Views
Mwigulu alisema akipendwa na wanasingida imetosha na kwa muda mrefu amejitambulisha kama Mnyiramba. Sina tatizo na kuongea kisukuma ila yasije kuwa ya Kamala Harris kabla ya kugombea urais...
1 Reactions
5 Replies
216 Views
Hamjambo Wote! 1. Sijui kama naeleweka. Yaani nikuumize, nikutese, nikuharibie maisha alafu Siku yamenipata ulete ngonjera za ajabuajabu. Sijui UTU. Sijui Imani! 2. Aiseeh! Hakuna cha utu kwa...
4 Reactions
11 Replies
231 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli ninamuamini na kumkubali sana Rais Samia . Ni kiongozi Ambaye naamini ni mtu sahihi kuendelea kuliongoza Taifa letu. Nina Mwamini kuliko Mtu mwingine yeyote yule...
0 Reactions
12 Replies
334 Views
Kwenu waheshomiwa Naona mikwara ya viroja inaendelea juu ya wale wanaomboleza visivyo wapendeza wenye mamlaka bandia. Wengine wanatoka maandiko, wengine wanatishia kufungia mitandao na ujinga...
6 Reactions
8 Replies
209 Views
Kuna chemba ya maji taka inayotiririsha uchafu kando ya Soko jipya la Kariakoo, ambalo limezinduliwa hivi karibuni na Rais Samia Suluhu Hassan. Chemba hiyo ipo kwenye kona ambapo daladala za...
1 Reactions
4 Replies
248 Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania kuwa makini na matumizi ya mitandao ya kijamii, akisema baadhi ya watu wanaposhiriki mitandaoni...
3 Reactions
27 Replies
721 Views
Helolloooo Hizi off target hatuzipendi tunataka malaika watoa roho wapige panapostahili. Tutamaliza bia zote hadi tutaenda kunywea kwenye masufuria ya viwandani.
9 Reactions
11 Replies
463 Views
Wakuu, Mossy Lukuvi, ambaye ni mdogo wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratıbu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi, amewaomba msamaha...
1 Reactions
7 Replies
273 Views
Habari wakuu Nimepita mitandaoni nimekutana na clip ya mzee Wasira akikemea kuhusu watu kujiandaa na 2030, toka uchaguzi mkuu ulipokishwa mpaka sasa hata mwaka haijatumia. Hii kitaalamu imekaaje...
3 Reactions
18 Replies
352 Views
Huo ndio ukweli na bila katiba mpya wengi watapoteza maisha maana bila kuondoa haya majanga yaliyopo ya katiba mbaya tusubiri mabaya tu
4 Reactions
17 Replies
226 Views
Wakuu, nimejawa na hasira tu na hii foleni kuanzia Mikocheni mpaka Mbezi Beach, kumeshona balaa, ukisogea hatua moja ndo unalala hapo hapo mpaka unasahau kama upo kwenye chombo cha usafiri Yote...
5 Reactions
17 Replies
560 Views
Rais Samia kuwaongoza waombolezaji kuaga mwili wa William Lukuvi, Viwanja vya Karimjee, leo Machi 28, 2026. Hadi mauti yanamkuta Lukuvi alikuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge...
3 Reactions
4 Replies
263 Views
Back
Top Bottom