Salaamu kwako Lissu&waTanzania
kwa ujumla.
Ninao ushauri mdogo kwako
ndugu A.T.Lissu.
Ninajua,unaijua Tanzania,
Na unawajua watanzania walivyo.
Mosi.
Watanzania kwa asili tu,ni wanafki&wabinafsi.
(Katika hili utafiti uliwahi kufanyika,na waTZ wakaongoza duniani)
Pili
Unaowapigania,hajui unachokipigania.
Hivyo,unajitesa bure&kutesa familia yako.
Wenzako wanawaza ngono,pombe,wanawake,
starehe,kupiga pesa&kupambania watoto wao.
Hicho unachokipigania inawezekana ni maslahi yako,siyo yao.
Tatu
Hii ndiyo Tanzania ambayo watanzania wanaitaka.
Kama ni ubaya,wanafanyiana
wao kwa wao,wanaibiana wao
kwa wao n.k.
Ni furaha ya mtu kuona wengine wakitaabika.
Furaha ya tajiri,ni kuwepo
kwa maskini,furaha ya shibe ni awepo mwenye njaa.
Ukibisha,waulize wenye njaa,wamekuwaje walipopata chakula,vyeo n.k.
Hii ndiyo TZ wanayoitaka wenyewe.
Nne
Umekuwa gerezani,muda sasa.
WaTZ wameishia kubweka&kuufyata mkia.
Bado una Imani nao?
Tano
Uzalendo huanzia nyumbani
Kuwa mzalendo na familia yako,mke na watoto wako.
Patana na serikali,nenda zako ulaya kaishi na familia yako.
Saidia na ndugu zako.
Wewe siyo Mungu,waTZ waachie Mungu aliyewaumba.
Kama kweli wanateseka,
yeye ataona cha kufanya.
Ni ushauri tu.
kwa ujumla.
Ninao ushauri mdogo kwako
ndugu A.T.Lissu.
Ninajua,unaijua Tanzania,
Na unawajua watanzania walivyo.
Mosi.
Watanzania kwa asili tu,ni wanafki&wabinafsi.
(Katika hili utafiti uliwahi kufanyika,na waTZ wakaongoza duniani)
Pili
Unaowapigania,hajui unachokipigania.
Hivyo,unajitesa bure&kutesa familia yako.
Wenzako wanawaza ngono,pombe,wanawake,
starehe,kupiga pesa&kupambania watoto wao.
Hicho unachokipigania inawezekana ni maslahi yako,siyo yao.
Tatu
Hii ndiyo Tanzania ambayo watanzania wanaitaka.
Kama ni ubaya,wanafanyiana
wao kwa wao,wanaibiana wao
kwa wao n.k.
Ni furaha ya mtu kuona wengine wakitaabika.
Furaha ya tajiri,ni kuwepo
kwa maskini,furaha ya shibe ni awepo mwenye njaa.
Ukibisha,waulize wenye njaa,wamekuwaje walipopata chakula,vyeo n.k.
Hii ndiyo TZ wanayoitaka wenyewe.
Nne
Umekuwa gerezani,muda sasa.
WaTZ wameishia kubweka&kuufyata mkia.
Bado una Imani nao?
Tano
Uzalendo huanzia nyumbani
Kuwa mzalendo na familia yako,mke na watoto wako.
Patana na serikali,nenda zako ulaya kaishi na familia yako.
Saidia na ndugu zako.
Wewe siyo Mungu,waTZ waachie Mungu aliyewaumba.
Kama kweli wanateseka,
yeye ataona cha kufanya.
Ni ushauri tu.