Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 5,122
- 17,403
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, amewavunja watu mbavu wakati akielezea kuhusu umuhimu wa mipango miji katika mkutano wake na watendaji wa mitaa, kata na wenyeviti wa serikali za mitaa uliofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC), Posta jijini Dar es Salaam.
Soma: RC Chalamila: Wanatamani kuleta chokochoko, nguvu tutakayotumia awamu hii kulinda amani, haijawahi kutokea
Chalamila amewahimiza viongozi hao kuhusu umuhimu wa kulinda amani katika mitaa yao, kudumisha usafi wa mazingira, matapeli wanaosababisha migogoro ya ardhi na mipango miji.
Soma: RC Chalamila: Wanatamani kuleta chokochoko, nguvu tutakayotumia awamu hii kulinda amani, haijawahi kutokea
Chalamila amewahimiza viongozi hao kuhusu umuhimu wa kulinda amani katika mitaa yao, kudumisha usafi wa mazingira, matapeli wanaosababisha migogoro ya ardhi na mipango miji.