Hawa ni viongozi wastaafu wa jeshi la polisi ambao walitenda wajibu wao kwa weledi mkubwa kwa kuitumia sheria ipasavyo, kuitambua katiba ya nchi na demokrasia kwa ujumla pamoja kutumia hofu ya...
Wizara ya Kilimo na Wizara ya Viwanda na Biashara zaanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba kuhusu marufuku ya Lumbesa
📍Nsimbo-Katavi
🗓️Machi 15, 2026
Viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa pamoja na wadau wa demokrasia nchini wamekutana katika iftari maalumu iliyoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) leo Machi 13, 2026 katika Ukumbi...
Tunaweza kuwa na tofauti zetu lakini kuna mstari ukivukwa lazima utauona umoja wa watanzania hata wanaotofautiana
Trump akithubutu kutuletea mambo yake aliyofanya Vendezuela na sasa Iran...
WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA SEKONDARI MGOMBE YENYE MKONDO WA AMALI YA KIHANDISI, KATAVI
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 15, 2026 ameweka jiwe la msingi la Shule ya...
Kwa sababu ukiangalia kwa makini, kuna masuala mengi sana ambayo wananchi wanayapeleka kwa Waziri Mkuu lakini kiutaratibu hayahitaji kufika kwenye ofisi hiyo kabisa.
Kwa mujibu wa muundo wa...
Nimekuja na salamu za upendo kutoka kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye anatambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika kudumisha amani...
Hatimaye chama kikongwe, sikivu na kinachotatua matatizo ya wananchi kwa wakati, wameanza kutoa huduma ya kutatua matatizo ya ndoa. Kama mke wako anakunyima unyumba, mchumba wako anakunyanyasa...
Siku moja niliwahi kuwaza, hivi pamoja na matatizo ya muundo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, inawezekana kwamba muundo huu huu unaweza kufaa maeneo kama Middle East katika kupata suluhisho...
Wanabodi,
Jana tulishitushwa na habari ya kufilisika kwa kampuni ya Sahara Media Group, ambayo kampuni wamiliki ni wa kituo cha T cha Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM, hivyo na mimi japo sio...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amefanya ziara mkoani Katavi kukagua miradi mbalimbali iliyotekelezwa mkoani humo ikiwemo ujenzi wa shule na hospitali na kuelezea mafanikio yaliyofanyika katika...
Wakuu,
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza mkoani Tanga Februari 27, 2026 limeazimia kwa pamoja kutokuwa na imani na Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri hiyo kufuatia tuhuma za...
Afya ni Mtaji wa kwanza katika shughuli za maendeleo-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba.
📍Songambele (Nsimbo)-Katavi
🗓️Machi 15, 2026
————————————
Amesema hayo alipozungumza na wananchi wa kata ya...
WAZIRI MKUU AAGIZA UCHUNGUZI WA MFUMO WA UPATIKANAJI WA DAWA HOSPITALINI
▪️Akemea watumishi wanaowaelekeza wananchi kununua dawa nje ya hospitali
▪️Aonya utapeli wa ardhi za vijiji
▪️Akemea...
Haya sasa wale wachambuzi wa hii vita wanaodai ni ya kidini kati ya wayahudi-Israel na Waislam upande wa Iran,
Kwa upande wangu naunga kauli hii ya askofu. Hii vita tuache kabisa kuihusisha na...
Akiwa katika Ziara yake Nsimbo Katavi, Waziri Mkuu ameagiza wakandarasi wote wanaopewa miradi ya serikali waliolipwa fedha zao zote kisha wao hawawalipi mafundi (sub contractors) wasakwe, wawekwe...
Tanzania imefungua vizuizi vya utafutaji wa mafuta ndani ya Ziwa Tanganyika, mojawapo ya maziwa makubwa zaidi ya maji safi duniani yaliyyo kati ya Tanzania, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo...
Akiwa katika Ziara yake Nsimbo Katavi, Waziri Mkuu ameonya tabia ya vituo vya afya kuwaagiza wanaanchi wakanunue dawa nje ingali nchi una utoshelevu wa dawa katika maeneo ya kutolea huduma za...
Wanabodi
Leo tumemuaga mwana tasnia ya habari, Dennis Busulwa kwa jina maarufu la Ssebo
Hii ni Tribute yangu to Dennis Busulwa (Ssebo), aliiheshimu sana TCRA na kuiita Baba!. Alitamani TCRA...
Wakuu,
Akizungumza jana kwenye kipindi cha Jambo Asubuhi cha Jambo TV Peter Madeleka alisema kwamba Katiba inayotumika sasa ilitegnenezwa ndani ya wiki 2 tu na ilitengenezwa na watu 20 pekee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.