Nimefikiria sana kabla ya kuandika singa hii, kwa vile wengi wameshaandika juu ya maudhui. Lakini, kama mfuatiaji wa karibu wa yale yanayoendelea Burkina Fasso, wivu, uchungu na tafrani...
Dada #cherry_hollister na mumewe hawajulikani walipo kwa zaidi ya wiki moja sasa. Nyumba yao ilivamiwa na watu waliofunika nyuso zao ambao walivunja geti na kuingia ndani kisha kung'oa CCTV...
Nauliza tu nijue, mshauri wa Rais analipwa na nani? Au hawalipwi wanakula posho TU? Kwa Nini alimpiga chini kassimu Majaliwa na Leo anamsogeza Tena? Au anamwonea wivu alivyonawili?
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Agnes Amos Liku, Miaka 35, Mkazi wa Mwanzongumu, Kata ya Msimbu, Wilaya ya Kisarawe kwa kutoa taarifa za uongo kuwa amejifungua mtoto katika Zahanati ya...
Ndugu zangu waislam na wakristo
Watu wa mungu hawaogopi kufa wala kutekwa kwasababu ya kusimamia ukweli na hao ndio walio changia nchi kupata uhuru hapo awali.
Mungu ataki waoga anataka...
Tangu Nicolás Maduro achukue hatamu za uongozi mwaka 2013, Venezuela imepitia misukosuko mikubwa ya kisiasa na kijamii ambayo imesababisha shutuma nzito za ukiukwaji wa haki za binadamu...
KUWA MWEMA ISIKUFANYE USITUMIE AKILI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.
1. Wema usio na akili ni uovu. Ni upumbavu.
2. Unapomfundisha mtoto wako mambo Mema yaani kuwa Mwema usiache kumfundisha...
Na ninapo sema jiandaeni namaanisha mjiandae kwa mengi yaani, mateso,dhihaka kejeli na mengine mengi na hamta kuwa na la kufanya kwa sababu hayupo aliye upande wenu kwa sasa na hayupo wakuwasaidia...
Ni zaidi ya siku 90 toka aliyekuwa Balozi wa Cuba na mwana CCM aliyewahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo Ukatibu Uenezi 'adaiwe kutekwa' na 'watu wasiojulikana' October 6, 2025.
Ungetegemea...
AARIFA KWA UMMA
UCHUNGUZI WA MATUKIO MATATU YA VIFO
Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi wa matukio matatu ya vifo vilivyotokea kwa nyakati tofauti Tarime/Rorya, Jijini Arusha na Rufiji.
Tukio la...
Iran kuna Baraza la maulamaa la Ayatollah linaloitwa Guardian Council na masheikh viongozi mbalimbali wa kidini ila mpaka sasa hakuna masheikh wowote waliothubutu kujitokeza kuwasomea watu...
Kwanza nawasalimu kwa jina la Jamhuri, pili nawasalimu kwa jina la CCM, tatu karibu sana brother, nakutana mara tatu Makonda, Makonda, Makonda, nchi ili kosa mtu mwenye neno lenye maamuzi, na...
Lazima tujiulize je china kutoa tamko la kupinga Tanzania kuingiliwa je kuna rasilimali wamepewa tayari ili waseme hivyo ?
Tunaviongozi wajinga sana aisee
Angalia vi
Director kakosea igizo halafu kokosea tena😂😂😂😂.
Huyo dada na genge lake naona bado hawajatosheka na uhuni wao. Cha kusikitisha media kama ITV inashadadia upumbavu kama huu.
Kwa nini...
Habari wanajamvi,
Kwanza kabisa naomba nianze kwa kudeclare my interest. Katika maisha yangu yote sijawahi hata siku moja kujihusisha na siasa kwa namna yoyote ile. Sijawahi kuwa mwanachama wa...
Wanabodi,
Makala za Kwa Maslahi ya Taifa na Pascal Mayalla
Naendelea na Makala zangu ziitwazo Kwa Maslahi ya Taifa, ambazo huchapishwa kwenye gazeti la Raia Mwema toleo la kila siku za Jumatatu...
Na. M. M. Mwanakijiji
Tanzania tuliyoijua kabla ya Oktoba 29, 2025 haipo tena, haiwezi kuwepo tena, na hata tukiitaka kwa machozi hatuwezi kuipata tena. Tanzania iliyojivunia “umoja na...
Baada ya kuanza kutambuliwa mmoja baada ya mwingine , hatimae wale wakatoliki feki wameanza kukumbana na mob justice..Na wakwanza kabisa kukutana na hasira ya wananchi ni yule msemaji wao mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.