Mbunge Ruhoro: Wakaguzi wa ndani nao ni wezi wanashiriki kwenye dili za kuiba. Iundwe taasisi ya Wakaguzi wa ndani inayojitegemea

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Jul 24, 2021
576
1,625
Mbunge Ndaisaba Ruhoro akiwa anachangia hoja amesema; Mkaguzi mkuu wa ndani wa serikali anapewa fedha kutoka wizara ya fedha na anapewa fedha na katibu Mkuu Wizara ya fedha, na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha ndiye anaetoa fedha kwenye halmashauri na mamlaka zote za serikali za mitaa na kwenye taaisisi za serikali.

Lakini Wakaguzi wa ndani ambao wapo kwenye taasisi wanaripoti kwa maafisa Masuuli ambao na wenyewe wanapewa fedha kutoka kwa katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, hili linafanya Wakaguzi wa Ndani wafungwe kamba.


Akiendelea kufafanua amesema, hakuna siku hata moja wakaguzi hawa wa ndani watakuja kufanya ukaguzi ambao hauiliwe na mtu na kuibua madudu yaweze kushughulikiwa, kwa sababu ya jinsi mfumo wa Ukaguzi wa Ndani ulivyotengenezwa nchini, na kupendekeza kuwa iundwe taasisi ya ukaguzi wa ndani inayojitegemea ambayo haiingiliani na afisa masuuli, akisema huu ndio mwarobaini pekee utakaowezesha ofisi ya wakaguzi wa ndani kuweza kufanya kazi kwa uhuru bila kuingiliwa na watu.

Kitendo cha kutofanya hivyo kimesababisha mpaka wakaguzi hao wa ndani kushiriki kwenye dili za kuiba. Akisema haiwezekani mkaguzi wa ndani yupo Halmashauri anaripoti kwa Mkurugenzi watu wanacheza dili halafu yeye wakamtoa mswaki, lazima na yeye apewe mgao!

Hivyo lazima taasisi hii ya Wakaguzi wa ndani ihuishwe, ifumuliwe na kutengenezwa upya, iwe huru na iweze kufanya kazi yake ya ukaguzi kisawasawa, vinginevyo wizi utaendelea!
 
Mbunge Ndaisaba Ruhoro akiwa anachangia hoja amesema; Mkaguzi mkuu wa ndani wa serikali anapewa fedha kutoka wizara ya fedha na anapewa fedha na katibu Mkuu Wizara ya fedha, na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha ndiye anaetoa fedha kwenye halmashauri na mamlaka zote za serikali za mitaa na kwenye taaisisi za serikali.

Lakini Wakaguzi wa ndani ambao wapo kwenye taasisi wanaripoti kwa maafisa Masuuli ambao na wenyewe wanapewa fedha kutoka kwa katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, hili linafanya Wakaguzi wa Ndani wafungwe kamba.


Akiendelea kufafanua amesema, hakuna siku hata moja wakaguzi hawa wa ndani watakuja kufanya ukaguzi ambao hauiliwe na mtu na kuibua madudu yaweze kushughulikiwa, kwa sababu ya jinsi mfumo wa Ukaguzi wa Ndani ulivyotengenezwa nchini, na kupendekeza kuwa iundwe taasisi ya ukaguzi wa ndani inayojitegemea ambayo haiingiliani na afisa masuuli, akisema huu ndio mwarobaini pekee utakaowezesha ofisi ya wakaguzi wa ndani kuweza kufanya kazi kwa uhuru bila kuingiliwa na watu.

Kitendo cha kutofanya hivyo kimesababisha mpaka wakaguzi hao wa ndani kushiriki kwenye dili za kuiba. Akisema haiwezekani mkaguzi wa ndani yupo Halmashauri anaripoti kwa Mkurugenzi watu wanacheza dili halafu yeye wakamtoa mswaki, lazima na yeye apewe mgao!

Hivyo lazima taasisi hii ya Wakaguzi wa ndani ihuishwe, ifumuliwe na kutengenezwa upya, iwe huru na iweze kufanya kazi yake ya ukaguzi kisawasawa, vinginevyo wizi utaendelea!
True
 
Mbunge Ndaisaba Ruhoro akiwa anachangia hoja amesema; Mkaguzi mkuu wa ndani wa serikali anapewa fedha kutoka wizara ya fedha na anapewa fedha na katibu Mkuu Wizara ya fedha, na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha ndiye anaetoa fedha kwenye halmashauri na mamlaka zote za serikali za mitaa na kwenye taaisisi za serikali.

Lakini Wakaguzi wa ndani ambao wapo kwenye taasisi wanaripoti kwa maafisa Masuuli ambao na wenyewe wanapewa fedha kutoka kwa katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, hili linafanya Wakaguzi wa Ndani wafungwe kamba.


Akiendelea kufafanua amesema, hakuna siku hata moja wakaguzi hawa wa ndani watakuja kufanya ukaguzi ambao hauiliwe na mtu na kuibua madudu yaweze kushughulikiwa, kwa sababu ya jinsi mfumo wa Ukaguzi wa Ndani ulivyotengenezwa nchini, na kupendekeza kuwa iundwe taasisi ya ukaguzi wa ndani inayojitegemea ambayo haiingiliani na afisa masuuli, akisema huu ndio mwarobaini pekee utakaowezesha ofisi ya wakaguzi wa ndani kuweza kufanya kazi kwa uhuru bila kuingiliwa na watu.

Kitendo cha kutofanya hivyo kimesababisha mpaka wakaguzi hao wa ndani kushiriki kwenye dili za kuiba. Akisema haiwezekani mkaguzi wa ndani yupo Halmashauri anaripoti kwa Mkurugenzi watu wanacheza dili halafu yeye wakamtoa mswaki, lazima na yeye apewe mgao!

Hivyo lazima taasisi hii ya Wakaguzi wa ndani ihuishwe, ifumuliwe na kutengenezwa upya, iwe huru na iweze kufanya kazi yake ya ukaguzi kisawasawa, vinginevyo wizi utaendelea!
Ni kweli. Lkn sasa si itakuwa kama CAG tu?
 
Mbunge Ndaisaba Ruhoro akiwa anachangia hoja amesema; Mkaguzi mkuu wa ndani wa serikali anapewa fedha kutoka wizara ya fedha na anapewa fedha na katibu Mkuu Wizara ya fedha, na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha ndiye anaetoa fedha kwenye halmashauri na mamlaka zote za serikali za mitaa na kwenye taaisisi za serikali.

Lakini Wakaguzi wa ndani ambao wapo kwenye taasisi wanaripoti kwa maafisa Masuuli ambao na wenyewe wanapewa fedha kutoka kwa katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, hili linafanya Wakaguzi wa Ndani wafungwe kamba.


Akiendelea kufafanua amesema, hakuna siku hata moja wakaguzi hawa wa ndani watakuja kufanya ukaguzi ambao hauiliwe na mtu na kuibua madudu yaweze kushughulikiwa, kwa sababu ya jinsi mfumo wa Ukaguzi wa Ndani ulivyotengenezwa nchini, na kupendekeza kuwa iundwe taasisi ya ukaguzi wa ndani inayojitegemea ambayo haiingiliani na afisa masuuli, akisema huu ndio mwarobaini pekee utakaowezesha ofisi ya wakaguzi wa ndani kuweza kufanya kazi kwa uhuru bila kuingiliwa na watu.

Kitendo cha kutofanya hivyo kimesababisha mpaka wakaguzi hao wa ndani kushiriki kwenye dili za kuiba. Akisema haiwezekani mkaguzi wa ndani yupo Halmashauri anaripoti kwa Mkurugenzi watu wanacheza dili halafu yeye wakamtoa mswaki, lazima na yeye apewe mgao!

Hivyo lazima taasisi hii ya Wakaguzi wa ndani ihuishwe, ifumuliwe na kutengenezwa upya, iwe huru na iweze kufanya kazi yake ya ukaguzi kisawasawa, vinginevyo wizi utaendelea!
Ukimfanya Mkaguzi wa ndani asiwe sehemu ya Taasisi anayoikagua tayari anakuwa Mkaguzi wa nje.
 
Hakuna Siku Mkaguzi wa Ndani anaweza isaliti taasisi yake. Hutumiwa kuweka mambo Sawa kabla ya Mkaguzi wa Nje kuingia
 
Mkaguzi wa Ndani anatakiwa awezeshwe na IAG Ili apate uhuru wa kukagua maana kama ataendelea kuwezeshwa na Afisa Masuuli(DED) Hawezi kuwa huru na taarifa zake zitamfavour Mkurugenzi Zaidi badala ya Serikali

Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
 
kwaninavyoifahamu hii Tanzania, hiyo taasisi nayenyewe yatakuwa yaleyale tutaamua pia kuiundia taasisi...

Suluhu ya Matatizo ya Tanzania ni kuibinafsisha tu Tanzania yenyewe kwa Taifa moja la ulaya au Marekani na wengine wote tuwe wakaazi tu.. ila uongozi wote wa nchi na mifumo uwe chini ya Wazungu.
 
Back
Top Bottom