Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kauli hiyo inahusu umaarufu wa vyama viwili vya kisiasa Tanzania: CCM na CHADEMA. Kile kinachojulikana kwa mujibu wa taarifa rasmi na matokeo ya uchaguzi: 1. Matokeo ya Uchaguzi Mkuu Tangu...
2 Reactions
24 Replies
405 Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Abdulazizi Chende maarufu Dogo Janja akiapa kuwa Diwani wa Kata ya Ngarenaro, Halmashauri ya Jiji la Arusha leo, Desemba 4, 2025.
1 Reactions
11 Replies
696 Views
Pamoja na mifumo sasa ni wazi kabisa maono ya serikali fake ya Tanzania na Watanzania wenyewe ni tofauti sana Serikali bado inataka mfumo wa kizamani lakini Watanzania wamebadilika na mfumo mzima...
8 Reactions
10 Replies
189 Views
Usiku wa jana Jumapili, nchi zote 2, Marekani na Iran zimetangaza kuwa zimefikia makubaliano ya kukomesha vita, na kwamba Ijumaa zitasaini MoU, nchini Switzerland. Memorandom hiyo inasema kuwa...
2 Reactions
11 Replies
208 Views
Inasemekana wanajeshi wengi wa JWTZ wameuawa kwenye misitu ya Minembwe inayokaliwa na watu wenye asili ya banyamulenge uko nchini Congo. Baada ya wanajeshi wa JWTZ kushindwa Boma na Bukavu kwenye...
21 Reactions
107 Replies
3K Views
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)akijibu maswali bungeni leo Juni 15, 2026, amesema Serikali inafanya tathmini ili kuona kama mtu mmoja...
1 Reactions
0 Replies
175 Views
https://www.youtube.com/watch?v=gDE5eqI9Fkw
0 Reactions
1 Replies
81 Views
  • Redirect
4 Reactions
Replies
Views
Uchawa na dhulma dhidi ya Rasilimali za Tanganyika (Bandari) hazitakuacha salama. Wacha yakukute.
10 Reactions
42 Replies
2K Views
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekanusha madai yaliyotolewa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) kwamba changamoto ya upatikanaji wa maji katika baadhi ya maeneo...
1 Reactions
4 Replies
242 Views
Hii mbinu imeshapitwa na wakati, wahusika katika Dawati husika wajaribu kuumiza vichwa Kuja na mbinu zingine lakini siyo hizi mbanga. Pale panapokuwa na mambo Makubwa ya kitaifa yanayohitaji...
2 Reactions
4 Replies
213 Views
Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana Taifa wa Chama cha ACT-Wazalendo, Abdul Nondo, ameitaka serikali kuifuta mara moja kesi inayowakabili wanafunzi 17 wa vyuo vikuu wanaotuhumiwa kughushi nyaraka ili...
2 Reactions
12 Replies
304 Views
Mgeni njoo mwenyeji aponeeeee! Tetesi za maandamano tarehe 07/07/2026, wasio vaa uniform wamejaa hapa ninapo gonga nyagi wanasikilizia nyuzi,kidume nipo jamii forum nabonga na Wana uku nachati...
5 Reactions
4 Replies
253 Views
Sasa hivi upepo wa kisiasa unavyovuma ni dhahiri kiwango Cha kukubalika kwa viongozi wengi wa CCM kimeshuka miongon mwa watanzania na sijuhi kwanini hawajashutukia hili suala Tangu Chadema irudi...
6 Reactions
16 Replies
232 Views
Niko na masikitiko na huzuni kubwa sana kuona vile ambayo uislam umefanywa dodoki la kusafisha maghambi ya mwanasiasa Uislam dini ya haki Hii ndiyo falsafa ya dini yetu uislam hsuruhusu...
3 Reactions
4 Replies
165 Views
Mpasuko na mivutano ya kisiasa ndani ya kambi ya upinzani nchini Tanzania umezidi kushika kasi kufuatia mfululizo wa shutuma na majibu makali hadharani kati ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
0 Reactions
6 Replies
313 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo kwa upande wa Zanzibar, Ismail Jussa, amemkosoa vikali Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, kufuatia kauli zake...
2 Reactions
9 Replies
420 Views
Ikiwa Maseneta wa Marekani watakaowahoji ujumbe wa Tanzania wataamua mahojiano hayo yawe mubashara kupitia CNN kuhusu Tanzania, kwa lugha pendwa ya Kiingereza, Wakielekeza hoja zao katika maeneo...
12 Reactions
31 Replies
762 Views
Wazanzibari hawana tofauti yo yote na Waafrika Kusini wanao wafukuza waafrika wenzao kutoka nchi zingine. Wazanzibari ni makaburu tu. Wazanzibari ni wanafiki wakubwa wanakuchekea usoni mioyoni...
3 Reactions
28 Replies
281 Views
Nilitegemea Ziara yake huko Russia na kujadili pia masuala ya mafuta!! Sote tunafahamu hali ya mafuta ni mbaya sana, na Urusi wana mafuta mengi tu mamilioni ya mapipa kiasi kwamba hawajui hata...
2 Reactions
8 Replies
201 Views
Back
Top Bottom