CHADEMA wataifilisi hii Serikali

CHADEMA wataifilisi hii Serikali

onjwayo

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2020
Posts
1,417
Reaction score
1,393
Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa CHADEMA. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini.

Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza kuhusu ICC na bado serikali haijakaa sawa maandamano ya 7 7.

Mimi wakati mwingine nawaza tu ni kwa nini hii serikali isikubali hivi vichwa vyenye madini makubwa kuingizwa serikalini wakaisaidia nchi! Ukianza na Lissu, Heche, Mnyika, Brenda, Mahinyila, Lema nabii na wengine wengi utaona Hawa ndio wanaipeleka nchi mchamchaka. Tamko la mmoja asubuhi utakuta wale jamaa wa saluti Kila Kona.

Ila ni kwa ñini wasiseme poo Líssu akakaa pale kati wengine wapokee utàratibu namna ya kuishi bila kudokoa hazina!!
 
Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa Chadema. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini.

Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza kuhusu ICC na bado serikali haijakaa sawa maandamano ya 7 7.

Mimi wakati mwingine nawaza tu ni kwa nini hii serikali isikubali hivi vichwa vyenye madini makubwa kuingizwa serikalini wakaisaidia nchi!

Ukianza na Lissu, Heche, Mnyika, Brenda, Mahinyila, Lema nabii na wengine wengi utaona Hawa ndio wanaipeleka nchi mchamchaka. Tamko la mmoja asubuhi utakuta wale jamaa wa saluti Kila Kona.

Ila ni kwa ñini wasiseme poo Líssu akakaa pale kati wengine wapokee utàratibu namna ya kuishi bila kudokoa hazina!!
 
Dogo wanaofanya hizo vurugu wapo hhumo humo serikalini, hao chadema wanatumika kama kivuli ili wahusika wasionekane. Ila wavuruga wapo ndani na wanakomoana wenyewe kwa wenyewe, hata hio 7 saba waanzilishi ni hao hao.
 
Ibara ya 20(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977. Ibara hiyo inasema:

"Kila mtu anastahili kuwa huru, bila ya kuathiri sheria za nchi, kukutana na watu wengine kwa hiari yake na kwa amani, kuchanganyika na kushirikiana na watu wengine, kutoa mawazo hadharani..."

Hii ndiyo ibara inayotambuliwa kama msingi wa kikatiba wa uhuru wa kukusanyika na kuandamana kwa amani nchini Tanzania.
 
Dogo wanaofanya hizo vurugu wapo hhumo humo serikalini, hao chadema wanatumika kama kivuli ili wahusika wasionekane. Ila wavuruga wapo ndani na wanakomoana wenyewe kwa wenyewe, hata hio 7 saba waanzilishi ni hao hao.
Hii comment ina mantiki,logic,ukweli,uhalisia,mambo yalivyo na kilakitu.

Sasa swali ni kwamba wanafanya hivyo kwa lengo gani?
 
Dogo wanaofanya hizo vurugu wapo hhumo humo serikalini, hao chadema wanatumika kama kivuli ili wahusika wasionekane. Ila wavuruga wapo ndani na wanakomoana wenyewe kwa wenyewe, hata hio 7 saba waanzilishi ni hao hao.
Mmmhh, kama ni rahisi cdm kutumika na watu wa serekalini, kwanini hao watu wasitumie vyama vingine. Acha upotoshaji wa bei ya jioni.
 
Hii serikali Kila kukicha inawaza tu namna ya kuikomoa Chadema. Sasa Chadema nao ni Wajànja kuwapiku wote walioko serikalini. Matamko Yao Free Tundu Lissu na Kàtiba mpya ni Sasa ni pasua kichwa serikalini.
Hivi ni kweli Kuna maandamano hiyo 7 7 au ni kumtia tu mtu hasara? Kule nje wamekaza kuhusu ICC na bado serikali haijakaa sawa maandamano ya 7 7. Mimi wakati mwingine nawaza tu ni kwa nini hii serikali isikubali hivi vichwa vyenye madini makubwa kuingizwa serikalini wakaisaidia nchi! Ukianza na Lissu, Heche, Mnyika, Brenda, Mahinyila, Lema nabii na wengine wengi utaona Hawa ndio wanaipeleka nchi mchamchaka. Tamko la mmoja asubuhi utakuta wale jamaa wa saluti Kila Kona.
Ila ni kwa ñini wasiseme poo Líssu akakaa pale kati wengine wapokee utàratibu namna ya kuishi bila kudokoa hazina!!
udikteta ni gharama sana, sema ni ngumu kwa sie wa elimu mbali mbali kung'amua hilo
 
Mmmhh, kama ni rahisi cdm kutumika na watu wa serekalini, kwanini hao watu wasitumie vyama vingine. Acha upotoshaji wa bei ya jioni.
Subiri kwanza.
Utakuja kunielewa wakati mwingine. Jiandae kuandamana trh 7/7
 
Back
Top Bottom