Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Maalim Seif amsifu Balozi Karume kuhusu hatima ya Zanzibar Na Mkinga Mkinga SIKU chache baada ya Balozi wa Tanzania nchini Italia, Ali Karume, kutangaza azma yake ya kutaka kugombea urais wa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari za kawaida Posted Date::2/2/2008 Shule zenye majina ya viongozi hoi mtihani kidato cha nne Na Joyce Mmasi SHULE za sekondari zenye majina ya viongozi, zimeonekana kufanya vibaya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzania... my beloved motherland.. How I long for you! I weep for you. To see your demise saddens me, enrages others and leads to many outcomes. Everytime I log onto JF the word I am most likely...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mzimu wa ufisadi wawafuata makandarasi na Mwandishi Wetu Tanzania Daima SAKATA la ufisadi katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), linaonekana kuibua tuhuma nyingine kadhaa baada ya waliokuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mie naona kwa jinsi hali ilivyo na ambavyo watawala wetu wanavyolindana. Hakika kwa njia ya Ballot mafisadi wa tz kamwe hawataondoka badala yake watarithishana uongozi leo baba,kesho mwana...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tunasubiri kuona utekelezaji wa hiliJK: Fedha zote zilizoibwa BoT zitarejeshwa 2008-02-01 08:50:57 Na Joseph Mwendapole Rais Jakaya Kikwete, amewahakikishia Watanzania kuwa, fedha zote...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon amempongeza Rais Jakaya Kikwete, kwa kuchaguliwa kuongoza Umoja wa Afrika (AU) katika kipindi cha mwaka mmoja. Pongezi hizo alizitoa juzi usiku...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
EASY FRIDAY: No big fish wants Ballali back SIMONI MKINA DAR ES SALAAM THE Tanzanian skies are filled with cries. Adam’s sons and daughters are crying every minute because they are...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilikuwa napitia kwenye website ya UDSM na nimejikuta nakumbana na butwaa kubwa pale nilipokutana na tangazo la watawala kuwa wanafunzi wote wanapaswa kujilipia sh.laki moja kila mwaka kwa ajili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ana nia kweli ya kulifanya hili au ni usanii mwingine? Karamagi, Mkono na mawaziri na wabunge wengine wengi wa CCM mpo? Posted Date::1/31/2008 Wabunge, mawaziri Tanzania kuchagua uongozi au...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Bi Anna Makinda yuko hwani anasoma kanuni mpya ya kumweka Waziri mkuu kitomoto lakini naona wanajenga hoja ya kumlinda ipasavyo. Wanasema maswali binafsi hayatakiwi ,maswali ya kusikia hayatakiwi...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
WATATAJANA TU MSIMU HUU Mafisadi, sasa waanza kuumbuana SOURCE: ALASIRI 2008-01-31 15:37:37 Na Mwandishi Wetu, Jijini Kama Waswahili wasemavyo kwamba Waarabu wa Pemba hujuana kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
...Ama kweli ukistaajabu ya hayawani utaona ya taahira! sijui anataka kumdanganya nani huyu? bora apelekwe Mirembe Posted Date::1/30/2008 CCM yadai hoja ya ufisadi Benki Kuu Tanzania ni yao...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Hapa ambazo zimenifikai hapa Dodoma humu ndani , zinasema JK sasa aukwaa Urais wa AU. Mwenye habari zaidi atutapatie .
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Posted Date::1/31/2008 Tanzania yapokea toka Ghana uenyekiti mpya Umoja wa Afrika Na Dennis Msacky, Addis Ababa, Ethiopia Mwananchi RAIS wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete jana jioni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mil. 142.9/- zatumika kutangaza bajeti MBUNGE VITI MAALUM na Irene Mark, Dodoma SERIKALI ilitumia jumla ya sh milioni 142.96 kugharamia safari za mawaziri na wasaidizi wao mwaka...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
kwa masikitiko na majonzi makubwa naleta mbele zenu yangu machache kuhusu hili kampuni la umeme Tz. kuna dhana ya customer care ,yaani kwa kifupi huduma bora kwa mteja.lakini wenzetu Tanesco...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
WABUNGE kadhaa wameonyesha wasiwasi wao kuhusu utaratibu wa kutenganisha shughuli za uendeshaji mashitaka na kazi ya upelelezi wa kesi. Wamebainisha kuwa ingawa utaratibu huo ni mzuri, lakini...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Amini usiamini, endapo Kikwete ataendelea kuwakumbatia mafisadi wenzake, muda si mrefu familia za mafisadi zitakuwa zikitekwa nyara - Niger Delta style.Kurejesha nidhamu ya matumizi ya mali za...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
..Wanalinda maslahi ya nchi kwa kufanya hivi!? :confused: Vigogo wawatisha mashahidi kashfa BoT Mwandishi Wetu Januari 30, 2008 Raia Mwema Lengo ni kumwokoa mhusika mkuu WAKUU wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…