Kikwete anapoteua mawaziri wake ...
2009-02-08 11:02:06
Na Simon Mhina
Baadhi ya wasomi na wanasiasa wa kambi ya upinzani, wamemtaka Rais Jakaya Kikwete, kuwa makini anapoteua mawaziri...
It's just a matter of time
Australia's Key Petroleum upbeat on Tanzania
DAR ES SALAAM, Feb 5 (Reuters) - [b]Australia's Key Petroleum Ltd said on Thursday its West Songo Songo licence in...
Makala yake imekuwa attached hapo Chini jisomee kwauangalifu.
0.1 Katika gazeti la Rai (Toleo Na.667 (ISSN 0856-4973) la 11/5/ 2006 ) muliandikwa makala ndefu sana ya Mhe. Hussein Siyovelwa...
..hii ni habari ya kwanza kuhusu kesi ya kina Zombe ambayo imeandikwa bila ushabiki wa upande wowote.
..kuna tabia miongoni mwa waandishi wa habari kuandika habari toka mahakamani ktk hali ya...
What does it feel like to have elections that are widely hailed as being democratic? We wouldn't know since we haven't had anything like that in Tanzania.
International Observers at the 1995...
Polisi kutumia mamilioni ya fedha kukabili mauaji ya albino
Na Paulina David, Mwanza
JESHI la Polisi nchini, limetenga Sh20milioni kwa ajili ya kuwazawadia watu watakaotoa taarifa...
We have got only one year kuelekea uchaguzi mkuu wa 2010,binafsi nafikiri ni wazo zuri kama tufanya analysis ya wagombea wetu hasa upande wa ngazi ya President ,at least wapinga kura ambo ni sisi...
Over 5000 Tanzanian applicants got US visas last year
2009-02-05 10:47:31
By Angel Navuri
Over 5000 Tanzanians got US visas last year, the highest since America opened its embassy in the...
Yaani ile kuingia tu adai wazo lake lifanyiwe kazi na kuanzisha USA ,kwa maana ya United States of Africa,ingawa kuna upinzani mkali.
Nampa hongera kwa kuonyesha msimamo na pengine huyu...
Heshima Mbele,
Kwa taarifa nilizonazo ambazo nimepewa toka kwa mkulu mmoja wa shirika la Bima ni Kwamba Serikali imeagiza shirika hilo lifungwe wakati serikali ikiamua ni nini kifanyike...
Katika kuonyesha hali ya masikitiko inayoendelea kuikumba chama cha mapinduzi, hivi majuzi viongozi wa chama cha mapinduzi walishikana mashati katika kugombania pikipiki zilizotolewa na yule...
*Akumbushia machungu ya kutemwa kwa Dk Bilali
Na Salma Said, Zanzibar
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad amemtaka Rais Jakaya Kikwete kuacha kutamka maneno ya...
This is a seer perspective:
I am trying to look at the time when C.C.M will no longer be a ruling party.
A time when wananchi and the new regime will be faced with the dilemma of prosecuting...
Ndugu wana JF
Toka rais wetu alipomaliza muda wake kuna manno mengi ambayo amekuwa akiyasema kuhusu shutuma zinazoelekezwa kwake au kwa viongozi waliokuwa kwenye serikali yake. Alipokuwa kule...
Wadau,
Hii sijui kama inafit kwenye jukwaa la siasa, lakini naona imekaa kisiasa zaidi na inagusa maslahi ya umma.
Kuna huu utaratibu wa kampuni nyingi za umma kuwauzia wananchi vifaa...
KLHN International
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Shamsa Mwangunga amekuwa Waziri mwingine wa serikali ya Rais Kikwete kuomba radhi Bungeni kufuatia kile ambacho kimeelezewa kuwa ni kudharau...
BAADA ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kushinda uchaguzi mdogo wa Jimbo la Mbeya Vijijini, Katibu Mkuu wake, Yusuph Makamba amesema muungano wa vyama vya upinzani hauna mwelekeo sawa paka wanne...
Reckless drivers face manslaughter charges
ABDULWAKIL SAIBOKO
Daily News; Monday,February 02, 2009 @21:15
Drivers who knock to death pedestrians will face manslaughter charges instead of...