Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Ndugu wana JF
Toka rais wetu alipomaliza muda wake kuna manno mengi ambayo amekuwa akiyasema kuhusu shutuma zinazoelekezwa kwake au kwa viongozi waliokuwa kwenye serikali yake. Alipokuwa kule Ntwara aliwahi kusema yanayosemwa na vyombo vya habari ni uongo, ni wivu tu umewajaa. Hivi karibuni hako Iringa ameruda maneno kama hayo na mengi ambayo amekuwa akiyasema kuwa hakuna baya alilofanya ila ni wivu tu ambao unatokana na uvivu wetu wa kufikiri.
Kama kuna anayejua msingi wa maneno ya Mkapa WIVU, CHUKI, FITNA na ujinga wa kufikiri? Kwanini hakuyashughulikia alipokuwa madarakani na sasa kulalamika kila siku kuhusu wivu, wivu wivu. Au haya yameibuka baada ya JK kuingia madarakani?? Ni nani hasa anayemuonea wivu na kwa nini amuonee wivu, na kwa nini yeye Ben aonewe wivu na sio JK, au Mbowe au Bakhressa??? Kila nikifikiri sielewi maana hasa ya Mzee Mkapa, na kila nikijaribu kuondoa uvivu wa kufikiri naishia njia panda.
Toka rais wetu alipomaliza muda wake kuna manno mengi ambayo amekuwa akiyasema kuhusu shutuma zinazoelekezwa kwake au kwa viongozi waliokuwa kwenye serikali yake. Alipokuwa kule Ntwara aliwahi kusema yanayosemwa na vyombo vya habari ni uongo, ni wivu tu umewajaa. Hivi karibuni hako Iringa ameruda maneno kama hayo na mengi ambayo amekuwa akiyasema kuwa hakuna baya alilofanya ila ni wivu tu ambao unatokana na uvivu wetu wa kufikiri.
Kama kuna anayejua msingi wa maneno ya Mkapa WIVU, CHUKI, FITNA na ujinga wa kufikiri? Kwanini hakuyashughulikia alipokuwa madarakani na sasa kulalamika kila siku kuhusu wivu, wivu wivu. Au haya yameibuka baada ya JK kuingia madarakani?? Ni nani hasa anayemuonea wivu na kwa nini amuonee wivu, na kwa nini yeye Ben aonewe wivu na sio JK, au Mbowe au Bakhressa??? Kila nikifikiri sielewi maana hasa ya Mzee Mkapa, na kila nikijaribu kuondoa uvivu wa kufikiri naishia njia panda.