Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, amesema hajui kama Tanzania itaweza kuondokana na tatizo la rushwa na ufisadi, licha ya juhudi mbalimbali zinazochukuliwa na serikali kukabiliana na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tulitakiwa tuwe na barabara kama hizi tangu uhuru,Dar-Dodoma,Dar-Iringa maana roads zetu ni chinjachinja
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Parliamentarians and Bunge employees to pocket almost Sh37 billion By The Citizen Reporter 2009-11-19 The Office of the President and Cabinet Secretariat receives the highest the allocation...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Wapendwa wanaJF naomba kujua abc's za Ripoti ya Kupitia Mikataba ya Madini! Kama kuna soft copy pls naomba iwekwe kama atachment humu JF! Nawasilisha tafadhali!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ujamaa na ukoministi umetufanya vibaya sana.Tunaabudu sana viongozi wetu na wao kujion kama Mungu Mtu.Hata media zetu zinachangia sana. Hata our favourite JF is facing the same from its...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Let me call ‘it a spade a spade’ No priories, every time crisscrossing the world while ignoring the most important issues facing ordinary wananchi. For instance Save a trip and build a referral...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
ROSTAM AZIZ AT least three companies owned by Igunga Member of Parliament Rostam Abdulrasul Aziz are amongst particularly outstanding defaulters in the massive 180bn/- fraud linked to the...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Date::11/19/2009Wahisani waiweka njia panda serikali wasema ufisadi unaitafuna nchi Tausi Mbowe na Leon Bahati Mwananchi MZIMU wa ufisadi umezidi kuikosesha raha serikali baada ya mabalozi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika nchi ambayo watu huthamini pesa kuliko ukweli, Kama mtu huna Nguvu ya pesa , huwezi kuwa na NGUVu ya kisiasa. Kwa hiyo, kama kuna yeyote anahitaji sera za siasa zake kuwa na nguvu, sharti...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Rais Jakaya Kikwete. Rais Jakaya Kikwete amesema kwamba idadi kubwa ya Watanzania wanapinga kufutwa kwa adhabu ya kifo na wanataka iendelee kuwapo katika...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mod, najua kabisa kuwa maudhui ya hii post yalishajadiliwa sana hapa, hata hivyo naomba uniruhusu nirudie tena kwani wahenga walisema si vibaya kujikumbusha mambo ya muhimu. Nilikuwa natafuta...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tukiwa tunaingia mitamboni, tumepata habari kuwa wale wabunge wa CUF waliokuwa wamefunga ndoa kwa ujanja ujanja, wameachiwa huru, hata hivyo muda mfupi wamekamatwa tena, sababu za kukamatwa tena...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kama vilivyo vyama vingine bila ya shaka kimekuwa na mipango ya vitega uchumi ili kiweze kujiendesha na kufadhili shughuli zake mbalimbali bila ya kutegemea sana...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
Wakuu list ya most corrupt countries kwa mwaka 2009 imetolewa tayari na TRANSPARENCY INTERNATIONAL. Angalia http://www.transparency.org/policy_research/surveys_indices/cpi/2009/cpi_2009_table...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimechoka na vigezo vinavyotumika kupima uwezo na mafanikio ya rais wetu kwa muda wote katika JF forums je 1. Si halali kupima uwezo wa rais kwa kigezo kimoja tu cha kuzibiti ufisadi ..yaani EPA...
0 Reactions
62 Replies
7K Views
Jamani huu ni muda muafaka wa kujipanga vizuri ýaani kama daladala anatoka mtu anaingia mtu! Inaonyesha baadhi ya vijana wana ndoto za madaraka tu! Wakishindwa kuyapata basi wana-quit!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zisizodhibitika zinasema Kafulila yuko mbioni kuhamia CUF! Je huu ni mwanzo wa ku-poach members kuelekea 2010?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ahadi ya JK kwa vijana yashtukiwa Wednesday, 18 November 2009 08:23 *Ni ile ya kuwateua kuwa mawaziri 2010 *Lipumba asema ni kampeni, haiaminiki *Nape: Suala si ujana bali uwezo, uzalendo Na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kutokana na hali hilivyo kwa sasa hapa Tanzania, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi ni nani mwenye maamuzi ya mwisho (Final say) hapa tanzania kutokana na maovu mwengi yaliyoifunika nchi hii...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Bei ya mafunta yapanda laandika gazeti la leo 'The Guardian". Bei ya mafuta nchi nzima imepanda ghafla na sasa inauzwa kati ya Tshs. 1,600/= mpaka 1,800/= kwa lita moja ya mafuta aina ya petroli...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom