Jamani huu ni muda muafaka wa kujipanga vizuri ýaani kama daladala anatoka mtu anaingia mtu! Inaonyesha baadhi ya vijana wana ndoto za madaraka tu! Wakishindwa kuyapata basi wana-quit!
Kwani kila mtu kaandikiwa kuwa kiongozi?, basi wengine tuwe washauri sio kukosa madaraka unaamua kujivua uanachama ukisemwa kudogo unaamua kujivua uanachama tusiwe na roho ndogo ya kuzira.
Lwakatare = Kufulila..maana ni watu wa kuhamahama vyama kama kawaida..lol..do you still believe thins kind of people...chadema mmeishiwa kwelikweli..hakuna mwanachama mwingine ajabu..?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.