Ni nani mwenye maamuzi ya mwisho (final say) hapa Tanzania?

Ulimbo

JF-Expert Member
Aug 14, 2009
3,767
4,035
Kutokana na hali hilivyo kwa sasa hapa Tanzania, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi ni nani mwenye maamuzi ya mwisho (Final say) hapa tanzania kutokana na maovu mwengi yaliyoifunika nchi hii yakiwepo hasa yakiwepo hasa haya UFISADI ambayo yamesababisha nchi kuyumba katika maeneo mengi yakiwepo ya kiuchumi, kiafya, Kiulinzi, kielimu, kimaadili n.k.

1: Mwanzoni nilifikiri ni Rais; Lakini sijaona walakusikia maamuzi anayo toa yakifanyiwa kazi ipasavyo, lazima maamhuzi yake yakutane na vipingamizi vingi tu, na inapofikia hapo, basin aye ananyamaza.

2: Nikafikiri kuwa ni mawaziri: Hao ndo kabisaaaa!. Wanatajwa w2azi wazi kwenye hujuma mbalimbali hapa nchini.

3: Nikafikiri kuwa ni Wabunge: Hawa wamekuwa wakilumbana wenyewe kwa wnyewe bungeni na imefikia hatua wanataka kugawanyika. Mahamuzi wanayoweka yanakoselewa waziwazi na wtuhumiwa.

4: Nikafikiri kuwa ni Jeshi la polisi: Hawa wanaendesha na wenye pesa.

5: Nikafikiri kuwa ni TAKUKURU: Nakose lugha ya kuielezea kwani ni aibu tupu.

6:

7: n.k, n.k

Wana JF naombeni msaada wenu, ni nani mwenye mamlaka ya mwisho katika nchi hii ambaye akitoa amri, ni lazima hilo jambo litekelezwe?.
 
Kardinal MIMI ndiye mwenye maamuzi ya mwisho,kama hutaki kuamini wewe vuta subira utaona,te te tehhh
 
Kardinal MIMI ndiye mwenye maamuzi ya mwisho,kama hutaki kuamini wewe vuta subira utaona,te te tehhh

Nisubiri mpaka lini wakati nchi inaelekea pabaya. Mbona hyaweza kuwachukulia hatua MAFISADI na viongozi wanaokiuka maadili ya uongozi?

Kama ni wewe, Kanisa lilitoa waraka, baadhi ya viongozi wakaupinga, ukuchukua hatua yeyote.
Waislamu nao wakatoa waraka,
SWALI ninabaki palepale ni nani mwenye maamuzi ya mwisho? Serekali au viongozi wa Dini?
 
Acha kututania,mimi najua siku zote mwemye maamuzi ya mwisho ni REFA iweje leo uwe wewe?

Heh!!!!!!!: Refa tena? Kwani siasa imesha kuwa mpira? Sasa ni nani refa katika jambo hili?
 
Mwananchi ,mvuja jasho,mnyonge na mlipa kodi ndiye mwenye maamuzi ya mwisho kwa kuitumia KURA yake kwa busara.Tumia haki yako ya Kura kwa kumchagua unayedhani ataweza kutetea maslahi yako,kuanzia ngazi ya serikali za mtaa hadi uraisi.
 
Nisubiri mpaka lini wakati nchi inaelekea pabaya. Mbona hyaweza kuwachukulia hatua MAFISADI na viongozi wanaokiuka maadili ya uongozi?

Kama ni wewe, Kanisa lilitoa waraka, baadhi ya viongozi wakaupinga, ukuchukua hatua yeyote.
Waislamu nao wakatoa waraka,
SWALI ninabaki palepale ni nani mwenye maamuzi ya mwisho? Serekali au viongozi wa Dini?
Nipo na baraza letu tunatafakari jinsi ya kumkomboa mtanzania kutokana na hali hii ngumu,wewe vumilia kwani hata katika bible imeandikwa"atakayevumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka",sasa wasiwasi wako nini?
 
Kutokana na hali hilivyo kwa sasa hapa Tanzania, nimekuwa nikijiuliza mara nyingi ni nani mwenye maamuzi ya mwisho (Final say) hapa tanzania kutokana na maovu mwengi yaliyoifunika nchi hii yakiwepo hasa yakiwepo hasa haya UFISADI ambayo yamesababisha nchi kuyumba katika maeneo mengi yakiwepo ya kiuchumi, kiafya, Kiulinzi, kielimu, kimaadili n.k.

1: Mwanzoni nilifikiri ni Rais; Lakini sijaona walakusikia maamuzi anayo toa yakifanyiwa kazi ipasavyo, lazima maamhuzi yake yakutane na vipingamizi vingi tu, na inapofikia hapo, basin aye ananyamaza.

2: Nikafikiri kuwa ni mawaziri: Hao ndo kabisaaaa!. Wanatajwa w2azi wazi kwenye hujuma mbalimbali hapa nchini.

3: Nikafikiri kuwa ni Wabunge: Hawa wamekuwa wakilumbana wenyewe kwa wnyewe bungeni na imefikia hatua wanataka kugawanyika. Mahamuzi wanayoweka yanakoselewa waziwazi na wtuhumiwa.

4: Nikafikiri kuwa ni Jeshi la polisi: Hawa wanaendesha na wenye pesa.

5: Nikafikiri kuwa ni TAKUKURU: Nakose lugha ya kuielezea kwani ni aibu tupu.

6:

7: n.k, n.k

Wana JF naombeni msaada wenu, ni nani mwenye mamlaka ya mwisho katika nchi hii ambaye akitoa amri, ni lazima hilo jambo litekelezwe?.

Kwa kweli nionavyo mimi mwenye maamuzi ya mwisho ni vikao! Just angalia mambo yote makubwa yanayotokea utakuta maamuzi yake yanasukumwa kwenye vikao, kwa vile hakuna jasiri wa kuyatoa!
 
Mwananchi ,mvuja jasho,mnyonge na mlipa kodi ndiye mwenye maamuzi ya mwisho kwa kuitumia KURA yake kwa busara.Tumia haki yako ya Kura kwa kumchagua unayedhani ataweza kutetea maslahi yako,kuanzia ngazi ya serikali za mtaa hadi uraisi.

Zion daughter, nashukru sana kwa jibu lako. Mbado utata upo maana hata kama tuna piga kura, bado wanaiba hizo kra na wanamweka yule wanaye mtaka. Swali ninabaki palepale, je ni nani wenye mahamuzi ya mwisho kuwa kura ziibwe ni nani?
 
Nipo na baraza letu tunatafakari jinsi ya kumkomboa mtanzania kutokana na hali hii ngumu,wewe vumilia kwani hata katika bible imeandikwa"atakayevumilia hadi mwisho ndiye atakayeokoka",sasa wasiwasi wako nini?

Wasiwasi wangu ni kwamba rasilimali zinaendelea kwisha na wananchi bado wanataabika. Naona mwisho utakapofika haitakuwa kuokoka bali kuwa mtumwa
 
Baba ktk familia ndo wenye final say BUT ni familia ngapi wanawake ndo wenye final say?
Usishangae kuona yapo ktk uongozi wa nnji hii.....lol
 
Ni mh.Rais wa Jamhuri ya muungano Tanzania

Nakubaliana na wewe100%. Kinachonishangaza ni kwanini hachukui hatua/maamuzi katika mambo nyeti kama ya UFISADI/mikataba mibovu na mambo mengine?Yeye amenyamaza kimya na akiona vipi, anapanga ziara ili tu asihusike katika maamuzi.

INABOA SANA
 
Back
Top Bottom