Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Nimechoka na vigezo vinavyotumika kupima uwezo na mafanikio ya rais wetu kwa muda wote katika JF forums je
1. Si halali kupima uwezo wa rais kwa kigezo kimoja tu cha kuzibiti ufisadi ..yaani EPA, Richmond..etc after all watuhumiwa wako mahakamani wengi tu..ala..
Tuangalie mambo mengine mengi anayoyafanya na kufanikiwa mfano:-
a) Kuongezeka kwa enrollment kuanzia primary mpaka university kwa miaka ya ke minne --kielimu siyo mafanikio hayo??
b) Kuna program za kujenga zahanati kila kata..kusogeza huduma za afya karibu na wananchi---siyo mafanikio??
c) Kuongezeka kwa utalii na watalii tangu ashike nchi..siyo mafanikio hayo???
d) Barabara za lami mpaka kigoma.rukwa nasikia dodoma-arusha is on track..siyo mafanikio hayo?? kwa miaka minne
e) Uhuru wa habari and tolerance of our president to the freedom of expression..zitto ameliona hili naye..
Bana ye mnyonge mnyogeni haki yake mpeni...mlitaka awafanyeje? wana JF mbona hamna shukrani hasa wewe mwanakijiji.
1. Si halali kupima uwezo wa rais kwa kigezo kimoja tu cha kuzibiti ufisadi ..yaani EPA, Richmond..etc after all watuhumiwa wako mahakamani wengi tu..ala..
Tuangalie mambo mengine mengi anayoyafanya na kufanikiwa mfano:-
a) Kuongezeka kwa enrollment kuanzia primary mpaka university kwa miaka ya ke minne --kielimu siyo mafanikio hayo??
b) Kuna program za kujenga zahanati kila kata..kusogeza huduma za afya karibu na wananchi---siyo mafanikio??
c) Kuongezeka kwa utalii na watalii tangu ashike nchi..siyo mafanikio hayo???
d) Barabara za lami mpaka kigoma.rukwa nasikia dodoma-arusha is on track..siyo mafanikio hayo?? kwa miaka minne
e) Uhuru wa habari and tolerance of our president to the freedom of expression..zitto ameliona hili naye..
Bana ye mnyonge mnyogeni haki yake mpeni...mlitaka awafanyeje? wana JF mbona hamna shukrani hasa wewe mwanakijiji.