Kafululila kuhamia CUF?

Kafululila kuhamia CUF?

Geza Ulole

Platinum Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
75,508
Reaction score
106,933
Habari zisizodhibitika zinasema Kafulila yuko mbioni kuhamia CUF! Je huu ni mwanzo wa ku-poach members kuelekea 2010?
 
Siyo mbaya ila CUF watafakari sana juu ya mtu huyu. Kama alikuwa CCM ndani ya chadema sidhani kama ataacha kuwa CCM ndani ya CUF.
Pia tukumbuke CHADEMA walimchukua Lwakatare!
 
Aende kwa amani, akumbuke kuwashauri CUF kwamba wao CUF ni kitu kimoja na CCM hawana jipya lolote.
 
Back
Top Bottom