Huna PESA, Huna Nguvu ya Kisiasa

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
Katika nchi ambayo watu huthamini pesa kuliko ukweli,
Kama mtu huna Nguvu ya pesa ,
huwezi kuwa na NGUVu ya kisiasa.
Kwa hiyo, kama kuna yeyote anahitaji sera za siasa zake kuwa na nguvu,
sharti awe na nguvu ya kifedha.
Wenye pesa husikilizwa zaidi kisiasa.
Hivyo basi, hata vyama vya Siasa ambavyo haviko vizuri kifedha,
havitafua dafu katika siasa.
Kujiingiza katika siasa bila fedha ni kujipotezea muda kama wanachi hawajui thamani ya demokrasia na utu wao.
 
Katika nchi ambayo watu huthamini pesa kuliko ukweli,
Kama mtu huna Nguvu ya pesa ,
huwezi kuwa na NGUVu ya kisiasa.
Kwa hiyo, kama kuna yeyote anahitaji sera za siasa zake kuwa na nguvu,
sharti awe na nguvu ya kifedha.
Wenye pesa husikilizwa zaidi kisiasa.
Hivyo basi, hata vyama vya Siasa ambavyo haviko vizuri kifedha,
havitafua dafu katika siasa.
Kujiingiza katika siasa bila fedha ni kujipotezea muda kama wanachi hawajui thamani ya demokrasia na utu wao.

Ndio maana siasa ni mchezo wa matajiri nchi za kitajiri, motive inakua sio mali ya Umma bali mapenzi ya ardhi yao, watu wao, mila zao na maendeleo ya jamii yao.

Sisi tuna kimbilia siasa kutajirika, na waliopata nguvu ya fedha kupitia siasa wameishia kuwa watemi. Kazi ipo kwenye kuwang'oa hawa watu.
 
....
Kama mtu huna Nguvu ya pesa ,
huwezi kuwa na NGUVu ya kisiasa.
....

hii statement ndo ina qualify argument yako yote! I take that by nguvu ya pesa, you mean finance backing. Sio lazima yeye awe tajiri...right?
Maana Obama sio tajiri!! Na ameshika nchi tajiri kuliko zote. Lakini of cource katika elections ametumia pesa nyingi zaidi - an average of about $7 per voter! Ku-spread your message ndo cost ya elections kwa chama. Hivyo ni muhimu kwa chama kuwa na watu kama kina Mengi...hehehehe!Si umeona jinsi CCM walivyomkubali upesi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom