Kumekuwa na taarifa za utata juu ya hali ya mzee wetu Kawawa... Kuna mwenye ufahamu juu ya kinachoendelea? Walinzi wake, wanae hawapokei simu, au zikiita sana baadae hazipatikani kabisa!
Kuna...
JF,
Tunaweza kufunga mwaka 2009 kwa kukumbushana tu kila awamu priority ilikuwa ni nini, Moja hadi tatu kwa ufupi ni hizi hapa, utata unakuja kwa hii yetu ya nne hadi sasa ni kipi katika hii...
Never Eat Fish
Published on: Tue, 12/29/2009 - 8:21pm
The Express Reporter
Three weeks after we revealed how crooks use formalin to store fish, health experts have revealed the horrible...
Haja ya kutaka tamko rasmi toka UN inatokana na taarifa zinazoendelea kusambaa kwa njia ya mtandao zinazoonyesha kwamba tayari vikao rasmi vya UN vimeshaijadili taarifa hiyo. Baadhi ya taarifa...
WanaJF mimi naomba kuuliza kama kuna wataalamu wa sheria je, kwa kauli za sheikh yahya kwamba kifo cha Dk. Gama ni ishara ya ushindi wa JK je hii si inaonyesha alijua kifo hicho?
Na kama...
Wakuu numejaribu kuitafuta hotuba husika bila mafanikio. Nadhani ni muda muafaka kuitundika hapa jamvini ile hotuba ili tupime tulichoahidiwa na Muungwana. Nayakumbuka machache:
1. Alisema...
CZAR inamaanisha cheo cha KIFALME kwa lugha ya Russia. Kama mjuavyo mfalme hurithisha nasaba yake waendelee kutawala na mtoto wa mfalme ni possible future ruler wa nchi kwania atamrithi baba au...
Niliwahi kusema juu ya Buriani na tabia zake za wasichana wa ndani na watumishi wake kwa ujumla .Nilipiga kelele na hata kuhohi utawala bora na ajira haramu na kunyanysa watumishi .
Mary Nagu...
*NI UJENZI WA MAKAZI YA GAVANA , YASITISHA MIKOPO YA WAFANYAKAZI
Leon Bahati na James Magai
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo amesema serikali imeshtushwa na taarifa kuwa Benki Kuu...
Wana JF mimi ni mgeni humu jamvini, katika nchi za wenzetu vyama vya upinzani huitwa a waiting Government au a Coming Government au The Next Government. Hivi vyama tiari huwa vina wasemaji vivuli...
Mheshimiwa naona naye pressure imeanza kupanda na kushuka. Ukiona mbunge anakuja na madai mazito kama hayo bila kutaja majina jua ni yale yale ya kukalia kuti kavu, anataka kutumia neno ufisadi...
Seif, Karume waitibua CCM
Mwandishi Wetu
Disemba 30, 2009
Yadaiwa wamekwenda kinyume cha maagizo ya NEC Butiama
CUF: Ni uoga wa vigogo CCM
MARIDHIANO ya Rais Amani Karume na Katibu Mkuu wa...
Wavamia makampuni makubwa kuomba fedha za kampeni
na Mwandishi Wetu
IKIWA imebaki siku mbili kabla ya kuanza mwaka mpya, homa ya uchaguzi mkuu mwakani inazidi kupanda huku baadhi ya wagombea...
Na Mwinyi Sadallah,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, kimeitisha maandamano makubwa kushinikiza viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar(SMZ) warejeshe huduma ya umeme...
Jamani jana nimeangalia taarifa ya habari zilizogubikwa na maafa yanayotokana na mvua zinazoendelea kunyesha hapa nchini. Cha kunishangaza ni kwamba Mkuu wa nchi eti alikatiza ziara ila sijajua ni...
Aliperejea nchini baada ya kumaliza ziara yake ya takribani siku 10 na zaidi na kujibu hoja ambazo zimekuwa zikitolewa na wakosoaji wa utawala wake kuwa kuwa hashangazwi na kauli zao kwa kuwa...
Waungwana nimepata kisa hiki kwenye gazati la habari leo na nimeguswa na maoni ya mmoja wa wasomaji wa gazeti hilo. Hebu jisomee na wewe:
Habari yenyewe
WALIMU wawili mkoani Singida wanatuhumiwa...
2009-12-29
By Mkinga Mkinga
Officials of the Ministry of Natural Resources and Tourism not directly linked to promotional activities will no longer travel abroad.
Announcing the ban yesterday...
Nimerudi tena mwanakijiji, mbuga zangu kuzinyatia
Siwahukumu wa magharibi, hata wale wa ghuba,
kukicha mitutu wanaikoki, wanyama wangu kuwaua,
Sheria ni kwa sisimizi, kwa tembo eti huzikwa,
Nasema...