WanaJF mimi naomba kuuliza kama kuna wataalamu wa sheria je, kwa kauli za sheikh yahya kwamba kifo cha Dk. Gama ni ishara ya ushindi wa JK je hii si inaonyesha alijua kifo hicho?
Na kama hakujua kwa nini asiulizwe nini kimemsukuma ahusishe kifo cha mtu na ushindi wa kikwete?
Je, kikwete ili ashinde ni lazima mtu afe??
Je, huu siyo uchawi?
Je, Kikwete ni mchawi kweli?
Na kama hakujua kwa nini asiulizwe nini kimemsukuma ahusishe kifo cha mtu na ushindi wa kikwete?
Je, kikwete ili ashinde ni lazima mtu afe??
Je, huu siyo uchawi?
Je, Kikwete ni mchawi kweli?