Obi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 374
- 79
Aliperejea nchini baada ya kumaliza ziara yake ya takribani siku 10 na zaidi na kujibu hoja ambazo zimekuwa zikitolewa na wakosoaji wa utawala wake kuwa kuwa hashangazwi na kauli zao kwa kuwa baadhi yao wanasukumwa na chuki binafsi, na kwamba angeshangaa kama wasingefanya hivyo. Rais Kikwete alisema angeshangaa iwapo 'watu hao' wangekutana na kuzungumza mazuri juu yake na utawala wa serikali ya awamu ya nne, huku akisisitiza, nanukuu, "haiwezekani kuwaridhisha watu wote, watu wengine hawawezi kuona jambo la mtu mzuri hata moja".
Nauliza wana JF ni sahihi Rais kusema haya ikiwa kukosolewa kwake ni kwa maslahi ya Taifa la Watanzania?
Nauliza wana JF ni sahihi Rais kusema haya ikiwa kukosolewa kwake ni kwa maslahi ya Taifa la Watanzania?