Bank ya stanbic imeamua kushikilia cheque za mishahara ya wafanyakazi
wa ATCL ya mwezi october
Akiongea na mwandishi wetu meneja uhusiano wa stanbic amesema
kampuni ya ATCL ilikuwa na...
CCM is dying but CCM, like a cat, has more lives than one. Suddenly, somehow things begin to happen and men go at work ! Chadema has to tread very very carefully and take appropriate actions...
hi waungwana.
leo nimejiunga rasmi uwanjani hapa JF. ni matarajio yangu kuwa tutaendelea kuwasiliana na ndugu wote na kubadilishana mawazo na michango mbalimbali kwa maendeleo yetu kama binadamu...
Selemani Rehani
Chanzo ni CCM kukaa madarakani muda mrefu
YAPO mambo mengi yanapita katika jamii yetu. Mambo haya yanaibua maswali mengi sana vichwani mwa Watanzania. Ufisadi na rushwa. Ni mambo...
Joseph Mihangwa
IMANI za kishirikina kutawala nyakati za chaguzi za kuwania nafasi za kisiasa na uongozi, sasa limekuwa jambo la kawaida lisilotisha wala kuonea aibu miongoni mwa wagombea...
JERRY OKUNGU
An East African perspective
Let us not put the cart before the horse. If we do that, the horse will tumble over and our journey will end prematurely. Right now we are busy sorting...
Tunapozungumzia wabunge waliokaa bungeni kwa muda mrefu, hatuwezi kumsahau Mzindakaya ambaye alitimiza miaka arobaini bungeni mara baada ya uchaguzi wa 2005.
Tunapopima maendeleo ya jimbo la...
Lets face it matajiri ndio walipa kodi wakubwa na kwa hali jinsi inavyoelekea inasemekana kuwa kule TRA japo kila kukicha tunapewa stats kuonyesha kuwa kodi zimeongezeka alakini ukweli ni kuwa...
Katika kuleta mabadiliko ya kidola kuna njia tatu, kwanza ya kikatiba, pili kuingia msituni, tatu kupindua uongozi uliopo. Hakuna njia ambayo si halali hapo. Uhalali na si uhalali inategemea na...
NI NANI HUYU ?
1. Anashirikiana na wasio wazawa ili kuikamua nchi na hata msipokuwa na maziwa yuko
tayari kuwakamua damu.
2. Wakati ng'ombe katika jimbo lake wanakufa kwa...
A PROMINENT business tycoon linked to Kagoda Agriculture Company made frequent night visits to the Bank of Tanzania (BoT) to finalize plans for the looting of more than 40bn/- from the central...
Kwa miezi mitatu nimefanya uchunguzi wa kina kugundua CCM iliwatumia vijana gani "kudunda" watu kwenye chaguzi ndogo za Busanda na Biharamulo hatimaye nimefanikiwa.
CCM iliwatumia vijana wake wa...
MALUMBANO makali yameendelea kuitikisa Kamati ya rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi baada ya makombora ya juzi kuelekezwa kwa Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango na mumewe, mzee John Malecela...
Chris Rock stated that "Shaquile O'Neal is Rich, but the person who writed his check is Wealthy"
Je sisi kama Taifa, tuna msukumo gani wa kuwa yule anayelipa mtu na kuwafanya matajiri na si kuwa...
PAMOJA NA KUMTUMIA MENGI, MIKAKATI 14 YA WAPIGANAJI ITAWAANGUSHA
(Makala hii inaweza kuchapwa na chombo chochote cha habari kwa kuzingatia jina la mtunzi linabakia lilivyo pamoja na barua pepe...
Jamani hii taasisi inatimiza wajibu wake kama ilivyo kusidiwa; au imegeuka kuwa ni sehemu ya polisi wa upelelezi. Ninaitafakari na kujiuliza maswali mengi ya kiuchokonozi mara zote ninajikuta nipo...
Kwa muda mwingi viongozi wanawake wa TZ, hawapewi respect kama viongozi wanaume.
Maneno anayojibiwa Mheshimiwa Sophia Simba ni ushahidi wa kutosha kwamba, viongozi wanawake ndani ya TZ wanakazi...
Licha ya Maalim Seif Kumtambua Karume kama rais halali wa Serikali ya Mapinduzi, Zanzibar, mambo niliyoyashuhudia hapa Pemba kwenye muendelezo wa zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga...
What Richmond got from the big rip-off
THE controversial Richmond Development Company LLC tried to rake in more than $115m
(approx. 150bn/-) from the government under dubious circumstances...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.