MovingForward
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 489
- 49
Tunapozungumzia wabunge waliokaa bungeni kwa muda mrefu, hatuwezi kumsahau Mzindakaya ambaye alitimiza miaka arobaini bungeni mara baada ya uchaguzi wa 2005.
Tunapopima maendeleo ya jimbo la kwela, tukilinganisha na muda aliotumika bungeni, ingawa kwa vipindi vichache, tangu wakati ule likiwa ni sehemu ya jimbo la Sumbawanga vijijini, hatuoni jambo lolote la mfano ambalo tunaweza kuzipongeza jitihada zake.
Kwa wale waliopata kufika au kupata habari za jimbo hilo kwa kina ninawaombeni tuingine ndani ya mada hii tuichambue mada hii: Je! Ni nani atakaye mtikisa na kumng'oa Mzindakaya?
Tunapopima maendeleo ya jimbo la kwela, tukilinganisha na muda aliotumika bungeni, ingawa kwa vipindi vichache, tangu wakati ule likiwa ni sehemu ya jimbo la Sumbawanga vijijini, hatuoni jambo lolote la mfano ambalo tunaweza kuzipongeza jitihada zake.
Kwa wale waliopata kufika au kupata habari za jimbo hilo kwa kina ninawaombeni tuingine ndani ya mada hii tuichambue mada hii: Je! Ni nani atakaye mtikisa na kumng'oa Mzindakaya?