Kuteuliwa kwa wabunge hawa:
1) Jussa -- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CUF.
2) Janet Mbene -- Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Masaki kwa tiketi ya CCM,
Kuna maswali ya kujiuliza.
i) JK katoa zawadi kwao au vyama vyao?
ii) JK amewateua kwasababu ya ufanisi wao?
Semani hapa peupe msifiche.
1) Jussa -- Mkurugenzi wa Mambo ya Nje wa CUF.
2) Janet Mbene -- Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa Masaki kwa tiketi ya CCM,
Kuna maswali ya kujiuliza.
i) JK katoa zawadi kwao au vyama vyao?
ii) JK amewateua kwasababu ya ufanisi wao?
Semani hapa peupe msifiche.