Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanajamvi naomba mnijuze kama Mh Basili Mramba bado amechukua fomu kutetea kiti chake cha ubunge Rombo huku kesi yake ya matumizi mabaya ya madaraka ikiwa bado yaendeleaa!!!! Kisheria imekaaje...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwandishi wetu “UFISADI umeishika nchi pabaya. Tukiendelea kuwa na wabunge legelege na madiwani legelege, watendaji wetu wa halmashauri wataendelea kufanya vitendo vya ajabu hujapata kuona...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
(This was my contribution in one othe threads in 'Tanzania 2010 election' forum but I think it should be new thread in this forum) Since I was born about four decades ago, now I see the light at...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Na Maggid Mjengwa INATUHUSU sisi Watanzania. Mnyama simba ana uwezo wa kumfukuza, kumkamata na kumla panya pori. Lakini, simba huyu atakuwa si mwenye busara kwa kutumia muda na nguvu zake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
President Jakaya Kikwete has cited unfriendly international environment for Africa as a key factor accelerating poverty in the continent and suggested seven steps to get the continent out of...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Viongozi wa Tanzania na CCM elites wanasumbuliwa na Acquired Phd Deficiency Syndrome! Nimesome kwenye blogu ya Michuzi kuwa Msanii Chrisant Mzindakaya ametunukiwa Phd ya heshima toka California...
0 Reactions
52 Replies
10K Views
Nimekuwa nikufuatilia kwa karibu jinsi vyombo vya habari vya IPP vinavyoripoti matukio ya Raisi mstaafu wa awamu ya tatu, Mh B.W.Mkapa nikagundua kuna kachuki binafsi ya vyombo hivyoo na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
President Jakaya Kikwete has outlined seven reasons why Africa is poor, and suggested how the continent can overcome the grinding poverty it is grappling with. Addressing a high level meeting...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hii nchi kila kona inamtafunaji, ni mimi tu msamaria mshika maadili nimebaki na wengine wachache wanaonifanania. Source: mtanzania
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kama mtu kapoteza kitambulisho chake cha mpiga kura na tayari anayo Police Loss Report, afanye nini ku-replace kitambulisho chake? anaishi jimbo hilo hilo aliliojiandikishia.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, niliibabatiza hii kutoka stesheni flani ya redio flani asubuhi hii ktk mishe zangu za kuhemea..! John Momose Cheyo(UDP): Ubunge ni wa wazee... nawashauri vijana wajenge maisha... waoe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Siasa, Tanzania Labour Party[ TLP] juzi kilifanikiwa kumpitisha Mutamwega Mugahywa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao. Mkutano huo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
WanaJF nimekuwa najiuliza kwanini CHaDEMA mpaka sasa hawajatangaza Rais atakayechuana na JK au Chibuda etc. Kimya hiki kinanipa wasi wasi kinaweza kuwa kizito na cha kutingisha Medali ya siasa za...
0 Reactions
91 Replies
9K Views
na Mwandishi wetu RAIS Jakaya Kikwete ameondoka nchini jana kwenda Hispania kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa kujadili maendeleo ya Afrika na nafasi na wajibu wa siasa za kimaendeleo katika...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Ndugu yetu Yohanna Mashaka kaanzisha mjadala huko kwa mithupu, ila kula vilaza wengi, napenda tu kujua kutoka kwa wachambuzi wa humu kama kweli kuna ukweli wowote humu ndani.. Source: Issa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimesikia jina la huyu mtu kule kwenye uchaguzi wa Yanga...... Imekuwaje tena? au sikio langu halikuwa makini? Nisaidie jamani.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nape katangaza kuwania ubunge kupitia jimbo la ubungo. Kati ya wagombea watano wa ccm waliotangaza nia ni wazi kuwa nape atapenyeza na hatimaye kukutana na kijana mwenzie, mnyika kwenye mchuano wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ati mgombea mmoja wa urais waganga wake wamedhibitiwa na mmoja wa watu wake wa karibu kiasi kwamba ameambiwa hawezi kumtimua huyo jamaa kwa sababu akimtimua tu mambo yake yataenda kombo. Kumbe...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jk alipo ingia madarakani mwaka 2005 mimi ni mmoja wa watu walio kuwa na matumaini makubwa sana na awamu ya tatu. Labda ilikua ni utoto. Labda kama wengine nili bumbuwazwa na ujio wa "raisi"...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wanaJF, Wabunge waliomaliza ngwe ya kwanza ya awamu hii ya nne wanaranda sana majimboni kumwaga vijisenti ambavyo yumkini wamelambishwa toka Bungeni baada ya kutumikia Bunge kwa miaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…