JK Huyoo Hispania!

Buchanan

JF-Expert Member
May 19, 2009
13,199
1,969
na Mwandishi wetu

RAIS Jakaya Kikwete ameondoka nchini jana kwenda Hispania kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa kujadili maendeleo ya Afrika na nafasi na wajibu wa siasa za kimaendeleo katika nchi za Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara.

Mkutano huo wa siku moja, unaojulikana kama The African Progress Conference, unafanyika leo kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Palacio de Congresos de Madrid, mjini Madrid.

Akiwa huko, Rais Kikwete ataungana na viongozi wengine wa Afrika kujadili maendeleo ya Afrika katika mkutano huo wa aina yake kuandaliwa duniani.

Miongoni mwa viongozi ambao wataungana na Rais Kikwete katika mkutano huo ni pamoja na mwenyeji wake, Rais Jose Luis Rodriguez Zapatero wa Hispania, Rais wa Cape Verde, Pedro Pires, Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, Naibu Rais wa Afrika Kusini, Motlanthe Kgalema na Rais wa zamani wa Jamhuri ya Liberia, Amos Sawyer.

Mbali na kuhutubia mkutano huo utakaowashirikisha wanasiasa, watunga sera, wanazuoni na wasomi, wawakilishi kutoka taasisi zisizokuwa za serikali zinazojihusisha na kufikria jinsi gani ya kuharakisha maendeleo ya Afrika, Rais Kikwete pia atashiriki katika majadiliano ya mwisho ya mkutano huo.

Washiriki wengine wa mkutano huo wanatoka nchi za Tanzania, Ghana, Ivory Coast, Cape Verde, Kenya, Uingereza, Afrika Kusini, Mali, Ethiopia, Ureno, Msumbiji, Senegal, Ubelgiji, Equatorial Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Akiwa huko, Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo na Mfalme wa Hispania, D. Juan Carlos wa Kwanza na Rais Zapatero.


Source: Tanzania Daima
 
Si ajabu baada ya siku chache tukaletewa picha alizopiga na timu ya Taifa ya Spain. akiwa anapeana mikona na wachezaji wa Spain.
 
Vumbi la Dk Bilal kule Dodoma halikuwa la kawaida. Anahitaji kupumua kidogo.
 
Spain don't have a President - Uandishi wa siku hizi,mmmmh!Inakuwa kama hakuna Cheif Editor.Mbona nchi nyingine zimetuma wawakilishi tu?S.A wenyewe wamemtuma VP....!Kweli Bongo tambarare!No one is asking hizi safari zina faida gani.Akitudanganya kuwa ameongea na Mfalme,anajua deficit ya Spain at the moment?Kutusaidia haitowezekana kwa sababu wao wana matatizo makubwa sana kwa sasa - unemployment,economy n.k.Kwa hiyo akituambia anatafuta misaada na uwekezaji,huo ni UONGO!!Inaleta hasira sana.
 
Spain don't have a President - Uandishi wa siku hizi,mmmmh!Inakuwa kama hakuna Cheif Editor.Mbona nchi nyingine zimetuma wawakilishi tu?S.A wenyewe wamemtuma VP....!Kweli Bongo tambarare!No one is asking hizi safari zina faida gani.Akitudanganya kuwa ameongea na Mfalme,anajua deficit ya Spain at the moment?Kutusaidia haitowezekana kwa sababu wao wana matatizo makubwa sana kwa sasa - unemployment,economy n.k.Kwa hiyo akituambia anatafuta misaada na uwekezaji,huo ni UONGO!!Inaleta hasira sana.
Linaweza kuwa ni bandiko limetoka Ikulu na huyu "Mwandishi wetu" akalikopi na kulibandika kama lilivyo! Spain wana Waziri Mkuu ambaye juzi alionyesha jeuri ya kutokaa meza moja na Kagame wa Rwanda.
 
na Mwandishi wetu

.....na Rais Kikwete katika mkutano huo ni pamoja na mwenyeji wake, Rais Jose Luis Rodriguez Zapatero wa Hispania, .................
Source: Tanzania Daima.

Ghosh, My education International Relation/Politics is very poor. nilijua Hispania in Mfalme na waziri Mkuu ambaye ni Jose Luis Rodriguez Zapatero. Kumbe Zapatero ni Presidaa? I didnt know this.

Hakuna editor hapo Tz Daima ?
 
Hivi huyu mkulu wetu hawezi akamtuma hata Pinda, Shein etc ni lazima aende yeye tu kila siku?
 
hahahaha km ulikwepo kwenye mind yangu yan!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
ata km atutaiona bt ni lazima ataenda kupata nao brkfast au dina ao wachezaji labda wamkatalie like we r sor mr presdnt we r lil tyt we dnt ave tym 4t!!!!!!!!!
dah rais anapenda shangwe usipime bt its natural for any human being!!!!!!!
 
Ikulu hawafanyi Fumigation nadhani kuna kunguni wanamtesa sana Mzee...?
Bona cuento..!!
 
nafikiri huyu ana daftari lake anatia muhuri wa kila nchi anayokwenda akiwa rais....

nafasi ya spain ilikuwa tupu ikabidi afanye haraka aijaze kabla ya uchaguzi
 
Miongoni mwa viongozi ambao wataungana na Rais Kikwete katika mkutano huo ni pamoja na mwenyeji wake, Rais Jose Luis Rodriguez Zapatero wa Hispania, Rais wa Cape Verde, Pedro Pires, Waziri Mkuu wa Ethiopia, Meles Zenawi, Naibu Rais wa Afrika Kusini, Motlanthe Kgalema na Rais wa zamani wa Jamhuri ya Liberia, Amos Sawyer.

Mbali na kuhutubia mkutano huo utakaowashirikisha wanasiasa, watunga sera, wanazuoni na wasomi, wawakilishi kutoka taasisi zisizokuwa za serikali zinazojihusisha na kufikria jinsi gani ya kuharakisha maendeleo ya Afrika, Rais Kikwete pia atashiriki katika majadiliano ya mwisho ya mkutano huo.

Washiriki wengine wa mkutano huo wanatoka nchi za Tanzania, Ghana, Ivory Coast, Cape Verde, Kenya, Uingereza, Afrika Kusini, Mali, Ethiopia, Ureno, Msumbiji, Senegal, Ubelgiji, Equatorial Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).

Miaka ya themanini kulikuwa na Waziri mmoja wa kike...; sikumbuki alikuwa Waziri wa nini. Mama huyu naye alikuwa anapenda sana trip za nje, alichotaka ni kijisababu chochote, yeye atatinga. Siku moja alikutana na waziri mmoja wa Nigeria akamwamabia nia yake ya kwenda kutembelea Nigeria, yule jamaa akamjibu yule mama casually tu kuwa "anakaribishwa." Mama kusikia vile, akafunga safari hadi Nigeria bila kuwa na mwaliko wowote wa kiserikali, mradi tu kuna waziri wa Nigeria alisema anamkariobisha. Jambo hilo lilileta tafrani sana ya kidiplomasia kwa sababu serikali ya Nigeria haikuwa na taarifa za ugeni huo, na wala balozi wa Tanzania huko Nigeria wakati huo (Mwasakafyuka???? -sikumbuki jina sawasawa) naye hakuwa na taarifa za kibalozi kuhusu ujio wa huyo mama. Unfortunately, mama yule baada ya kuadhjirika huko Abuja, akapaeleka malalamiko yake kwa Rais Mwinyi kuwa balozi wetu hakumtendea heshima, na kusabisha balozi yule kafukuzwa kazi.

Rais wetu pia anapenda sana vitrip, anachohitaji ni kisababu tu cha kwenda huko hata kama kiwe kisababu kidogo namna ipi, yeye atakwenda tu. Kuna nchi nyingi zitakazoshiriki mkutano huo: Tanzania, Ghana, Ivory Coast, Cape Verde, Kenya, Uingereza, Afrika Kusini, Mali, Ethiopia, Ureno, Msumbiji, Senegal, Ubelgiji, Equatorial Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Ni Tanzania, Ethiopia na Cape Verde tu ndizo ambazo zimewakilishwa na viongozi wa nchi. Cape Verde inaeleweka kuwa ni koloni la zamani la hispania na kisiwa kinachoitegemea sana Spain kutokana na ujirani wake, kwa hiyo kiongozi wa Cape Verde kwenda Spain ni jambo la kawaida sana. Meresi Zenawi wa Ethiopia naye ni kama Kikwete tu. Zaidi ya hao wawili hakuna Rais mwingine wa Afrika aliyehudhuria mkutrano huo japo unahusu Afrika kwa sababu ni mkutano mdogo sana. Hebu angalia ratiba yao:


Registration

09h00 – 09h30
Welcome address
Jesús Caldera, Vice-president, IDEAS Foundation, Spain
Elena Valenciano, Secretary for International Policy and Cooperation, PSOE, Spain
Ebrahim Ebrahim, Deputy Minister, Department of International Relations and Cooperation/Head of African National Congress International Relations Department, South Africa

09h30 – 10h30
Opening panel :
Elena Valenciano, Secretary for International Policy and Cooperation, PSOE, Spain
Leire Pajín, Secretary for Organization, PSOE, Spain
Manuel Chaves, Vice-President, Spain/ President of PSOE
Kgalema Motlanthe, Deputy President, South Africa

10h30 – 11h30
The progressive agenda of Africa

Speakers:
Ebrahim Ebrahim, Deputy Minister, Department of International Relations and Cooperation/ Head of the African National Congress International Relations Department, South Africa
Ousmane Tanor Dieng, General Secretary, Socialist Party/Chair of the Socialist International Africa Committee, Senegal
Dr. Siphamandla Zondi, Director of IGD, South Africa

Discussants:
Paul Nugent, President of AEGIS, Europe
Carlos Mulas, Director, IDEAS Foundation, Spain

11h30 – 12h00
Coffee Break


12h00 – 14h00


Towards sustainable economic growth and further equality in Africa
Speakers:

Ernst Stetter, Secretary General, FEPS, Belgium
Basilio Ramos, Minister of Health/ Vice-president of African Party of Independence of Cape Verde, Cape Verde
Modibo Diarra, Pathfinder Foundation/President Microsoft Africa, Mali
Margaret Kamar, Member of Parliament, Orange Democratic Movement, Kenya

Discussants:
Patricia Mamonare Chueu, African National Congress Women League National Executive, South Africa
Fernando Jorge Cardoso, Research Director and Head of the Africa Program at the Institute for Strategic and International Studies (IEEI)/ head of EARN, Portugal

14h00 – 15h00

Lunch

15h00 – 17h00

Migration, opportunities and inclusion
Speakers:
Juan Moscoso, Member of Parliament, PSOE, Spain
Aminata Traoré, Scientific Committee of IDEAS Foundation/Director of Centre Amadou Hampaté Bâ, Mali
Matlotleng Matlou, CEO, Africa Institute of South Africa (AISA)
Joel Netshitenzhe, African National Congress National Executive Committee Member, South Africa

Discussants:
Colette Tshomba, Fr Vice Minister for Foreign Affairs, RDC
Winnie Kathurima-Imanyara, Change & Strategy Director, Housing Finance, Rehani House, Kenya

17h00 – 17h30
Coffee break

17h30 – 19h30

Progressive Leaders´ Panel: Towards a new progressive political era in Africa
Introduced by: Jesús Caldera, Vice-president, IDEAS Foundation, Spain
José Luis Rodríguez Zapatero, President, Spain
Jakaya Mrisho Kikwete, President, United Republic of Tanzania
Pedro Pires, President, Republic of Cape Verde
Meles Zenawi, Prime Minister, Federal Democratic Republic of Ethiopia
Amos Sawyer, Former Interim President, Republic of Liberia
Pascal Affi N'Guessan, President Ivorian Popular Front (FPI), Republic of Ivory Coast
Kwabena Adjei, President National Democratic Congress (NDC), Republic of Ghana
Ousmane Tanor Dieng, General Secretary, Socialist Party/Chair of the Socialist International Africa Committee, Republic of Senegal

20h30 – 23h00
Dinner for participants




Jose Luis Rodriguez Zapatero ni Waziri Mkuu siyo Rais,
 
Miaka ya themanini kulikuwa na Waziri mmoja wa kike...; sikumbuki alikuwa Waziri wa nini. Mama huyu naye alikuwa anapenda sana trip za nje, alichotaka ni kijisababu chochote, yeye atatinga. Siku moja alikutana na waziri mmoja wa Nigeria akamwamabia nia yake ya kwenda kutembelea Nigeria, yule jamaa akamjibu yule mama casually tu kuwa "anakaribishwa." Mama kusikia vile, akafunga safari hadi Nigeria bila kuwa na mwaliko wowote wa kiserikali, mradi tu kuna waziri wa Nigeria alisema anamkariobisha. Jambo hilo lilileta tafrani sana ya kidiplomasia kwa sababu serikali ya Nigeria haikuwa na taarifa za ugeni huo, na wala balozi wa Tanzania huko Nigeria wakati huo (Mwasakafyuka???? -sikumbuki jina sawasawa) naye hakuwa na taarifa za kibalozi kuhusu ujio wa huyo mama. Unfortunately, mama yule baada ya kuadhjirika huko Abuja, akapaeleka malalamiko yake kwa Rais Mwinyi kuwa balozi wetu hakumtendea heshima, na kusabisha balozi yule kafukuzwa kazi.

Rais wetu pia anapenda sana vitrip, anachohitaji ni kisababu tu cha kwenda huko hata kama kiwe kisababu kidogo namna ipi, yeye atakwenda tu. Kuna nchi nyingi zitakazoshiriki mkutano huo: Tanzania, Ghana, Ivory Coast, Cape Verde, Kenya, Uingereza, Afrika Kusini, Mali, Ethiopia, Ureno, Msumbiji, Senegal, Ubelgiji, Equatorial Guinea na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Ni Tanzania, Ethiopia na Cape Verde tu ndizo ambazo zimewakilishwa na viongozi wa nchi. Cape Verde inaeleweka kuwa ni koloni la zamani la hispania na kisiwa kinachoitegemea sana Spain kutokana na ujirani wake, kwa hiyo kiongozi wa Cape Verde kwenda Spain ni jambo la kawaida sana. Meresi Zenawi wa Ethiopia naye ni kama Kikwete tu. Zaidi ya hao wawili hakuna Rais mwingine wa Afrika aliyehudhuria mkutrano huo japo unahusu Afrika kwa sababu ni mkutano mdogo sana. Hebu angalia ratiba yao:


Registration

09h00 – 09h30
Welcome address
Jesús Caldera, Vice-president, IDEAS Foundation, Spain
Elena Valenciano, Secretary for International Policy and Cooperation, PSOE, Spain
Ebrahim Ebrahim, Deputy Minister, Department of International Relations and Cooperation/Head of African National Congress International Relations Department, South Africa

09h30 – 10h30
Opening panel :
Elena Valenciano, Secretary for International Policy and Cooperation, PSOE, Spain
Leire Pajín, Secretary for Organization, PSOE, Spain
Manuel Chaves, Vice-President, Spain/ President of PSOE
Kgalema Motlanthe, Deputy President, South Africa

10h30 – 11h30
The progressive agenda of Africa

Speakers:
Ebrahim Ebrahim, Deputy Minister, Department of International Relations and Cooperation/ Head of the African National Congress International Relations Department, South Africa
Ousmane Tanor Dieng, General Secretary, Socialist Party/Chair of the Socialist International Africa Committee, Senegal
Dr. Siphamandla Zondi, Director of IGD, South Africa

Discussants:
Paul Nugent, President of AEGIS, Europe
Carlos Mulas, Director, IDEAS Foundation, Spain

11h30 – 12h00
Coffee Break


12h00 – 14h00


Towards sustainable economic growth and further equality in Africa
Speakers:

Ernst Stetter, Secretary General, FEPS, Belgium
Basilio Ramos, Minister of Health/ Vice-president of African Party of Independence of Cape Verde, Cape Verde
Modibo Diarra, Pathfinder Foundation/President Microsoft Africa, Mali
Margaret Kamar, Member of Parliament, Orange Democratic Movement, Kenya

Discussants:
Patricia Mamonare Chueu, African National Congress Women League National Executive, South Africa
Fernando Jorge Cardoso, Research Director and Head of the Africa Program at the Institute for Strategic and International Studies (IEEI)/ head of EARN, Portugal

14h00 – 15h00

Lunch

15h00 – 17h00

Migration, opportunities and inclusion
Speakers:
Juan Moscoso, Member of Parliament, PSOE, Spain
Aminata Traoré, Scientific Committee of IDEAS Foundation/Director of Centre Amadou Hampaté Bâ, Mali
Matlotleng Matlou, CEO, Africa Institute of South Africa (AISA)
Joel Netshitenzhe, African National Congress National Executive Committee Member, South Africa

Discussants:
Colette Tshomba, Fr Vice Minister for Foreign Affairs, RDC
Winnie Kathurima-Imanyara, Change & Strategy Director, Housing Finance, Rehani House, Kenya

17h00 – 17h30
Coffee break

17h30 – 19h30

Progressive Leaders´ Panel: Towards a new progressive political era in Africa
Introduced by: Jesús Caldera, Vice-president, IDEAS Foundation, Spain
José Luis Rodríguez Zapatero, President, Spain
Jakaya Mrisho Kikwete, President, United Republic of Tanzania
Pedro Pires, President, Republic of Cape Verde
Meles Zenawi, Prime Minister, Federal Democratic Republic of Ethiopia
Amos Sawyer, Former Interim President, Republic of Liberia
Pascal Affi N'Guessan, President Ivorian Popular Front (FPI), Republic of Ivory Coast
Kwabena Adjei, President National Democratic Congress (NDC), Republic of Ghana
Ousmane Tanor Dieng, General Secretary, Socialist Party/Chair of the Socialist International Africa Committee, Republic of Senegal

20h30 – 23h00
Dinner for participants




Jose Luis Rodriguez Zapatero ni Waziri Mkuu siyo Rais,

....lol..............Prof.............kuna special invitation kwa president wetu aisee...........hapo hujamtendea haki JK kumlinganisha na yule Mama Waziri wetu..........kutokwenda kwa presidents wengine wa Afrika haina maana mkutano ule hauna uzito wa JK kuhudhuria.............
 
....!Kweli Bongo tambarare!No one is asking hizi safari zina faida gani.....

Membe alishaahidi kueleza umma faida ya safari za JK, na sasa ni kama miaka miwili tangu atoe ahadi hiyo na bado hajatimiza.
 
Back
Top Bottom