Wanajamvi naomba mnijuze kama Mh Basili Mramba bado amechukua fomu kutetea kiti chake cha ubunge Rombo huku kesi yake ya matumizi mabaya ya madaraka ikiwa bado yaendeleaa!!!!
Kisheria imekaaje na hizo fomu zo za maombi suala la kuwa na kesi mahakamani sio kikwazoooo???
Kisheria imekaaje na hizo fomu zo za maombi suala la kuwa na kesi mahakamani sio kikwazoooo???