Viongozi wa Tanzania na CCM elites wanasumbuliwa na Acquired Phd Deficiency Syndrome!
Nimesome kwenye blogu ya Michuzi kuwa Msanii Chrisant Mzindakaya ametunukiwa
Phd ya heshima toka California State Christian University katika fani ya Business
Administration.Hicho chuo ni diploma mill.
Kitu ambacho kichekesho,ametunikiwa katika ukumbi wa Pius Msekwa Dodoma,(sio Marekani )kwenye chuo,na kuhuzuriwa na wabunge vilaza wetu kwa kumpongeza na kutoa hotuba.
The same kuhusu 'Dr' Getrude Rwakatare naye vilevile amepata Phd yake kanisani kwake
toka Chuo cha UNITED GRADUATE COLLEGE AND SEMINARY,unknown mediocre college cha USA.I feel sorry kwa waumini wake maana wengi ni very uneducated hawajui huyu mama anafanya nini .Kuona Mzungu anavalisha joho basi wanaona kama mbingu imefungika.
A big joke kwa hawa watu!
Nimesome kwenye blogu ya Michuzi kuwa Msanii Chrisant Mzindakaya ametunukiwa
Phd ya heshima toka California State Christian University katika fani ya Business
Administration.Hicho chuo ni diploma mill.
Kitu ambacho kichekesho,ametunikiwa katika ukumbi wa Pius Msekwa Dodoma,(sio Marekani )kwenye chuo,na kuhuzuriwa na wabunge vilaza wetu kwa kumpongeza na kutoa hotuba.
The same kuhusu 'Dr' Getrude Rwakatare naye vilevile amepata Phd yake kanisani kwake
toka Chuo cha UNITED GRADUATE COLLEGE AND SEMINARY,unknown mediocre college cha USA.I feel sorry kwa waumini wake maana wengi ni very uneducated hawajui huyu mama anafanya nini .Kuona Mzungu anavalisha joho basi wanaona kama mbingu imefungika.
A big joke kwa hawa watu!