Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Wadau, niliibabatiza hii kutoka stesheni flani ya redio flani asubuhi hii ktk mishe zangu za kuhemea..!
John Momose Cheyo(UDP): Ubunge ni wa wazee... nawashauri vijana wajenge maisha... waoe... wasomeshe watoto.. baada ya hapo ndio wagimbee ubunge kuja kufanya maamuzi kwani watakuwa wameona mengi..! Bunge likijaa vijana watachapana makonde!!
Ruhanyu(Viti maaalum)... Bunge likijaa vijana litakuwa zuri kwani watakuwa na muda mrefu wa kuongoza!
Paul Kimiti(Mbunge anayestaafu)... Ubunge haujalisi umri wa mtu wala Elimu, wala muda mrefu katika uongozi... Ubunge wamfaa yeyote mwenye uwezo wa kuongoza na bbusara ya kufanya..
Binafsi nahisi kila mmoja wao ana mantiki kwa namna flani.. muhimu mbunge atoke palepale katika jumuiya anayotaka kuiongoza(sio wa kuletewa to Uingereza).. na awe ameonesha kuwa ana uwezo wa kuunganisha nguvu na wananchi ilik kuleta maendeleo... na awe ameelimika(hata kama ni elimu ya msingi).. Umri,Elimu kubwa viwe ni nyongeza tu katika wasifu wake.....!!
Mwaionaje hiyo wadau?!
John Momose Cheyo(UDP): Ubunge ni wa wazee... nawashauri vijana wajenge maisha... waoe... wasomeshe watoto.. baada ya hapo ndio wagimbee ubunge kuja kufanya maamuzi kwani watakuwa wameona mengi..! Bunge likijaa vijana watachapana makonde!!
Ruhanyu(Viti maaalum)... Bunge likijaa vijana litakuwa zuri kwani watakuwa na muda mrefu wa kuongoza!
Paul Kimiti(Mbunge anayestaafu)... Ubunge haujalisi umri wa mtu wala Elimu, wala muda mrefu katika uongozi... Ubunge wamfaa yeyote mwenye uwezo wa kuongoza na bbusara ya kufanya..
Binafsi nahisi kila mmoja wao ana mantiki kwa namna flani.. muhimu mbunge atoke palepale katika jumuiya anayotaka kuiongoza(sio wa kuletewa to Uingereza).. na awe ameonesha kuwa ana uwezo wa kuunganisha nguvu na wananchi ilik kuleta maendeleo... na awe ameelimika(hata kama ni elimu ya msingi).. Umri,Elimu kubwa viwe ni nyongeza tu katika wasifu wake.....!!
Mwaionaje hiyo wadau?!