Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Wapendwa wanaJF,
Wabunge waliomaliza ngwe ya kwanza ya awamu hii ya nne wanaranda sana majimboni kumwaga vijisenti ambavyo yumkini wamelambishwa toka Bungeni baada ya kutumikia Bunge kwa miaka takriban mitano. Ili kuepusha hali hiyo, je, siku zijazo, nini kifanyike kati ya hivi vifuatavyo?
a) Kuweka ukomo wa ubunge (eg vipindi viwili tu) au,
b) Kuwalipa mafao yao baada ya uchaguzi unaofuata (km mafao yao yangelipwa baada ya uchaguzi wa Oktoba, 2010) au,
c) Kupunguza mafao yao Bungeni (maana imeonekana kuwa Ubunge au siasa kwa ujumla ni dili) au,
d) Kuongeza adhabu dhidi ya wala rushwa (eg wachina wanawapiga shaba wala rushwa) au,
e) Kutenganisha siasa na biashara au,
f) Kufufua Azimio la Arusha na hatimaye kurudisha MIIKO YA UONGOZI au,
g)....
Tujadili!
Wabunge waliomaliza ngwe ya kwanza ya awamu hii ya nne wanaranda sana majimboni kumwaga vijisenti ambavyo yumkini wamelambishwa toka Bungeni baada ya kutumikia Bunge kwa miaka takriban mitano. Ili kuepusha hali hiyo, je, siku zijazo, nini kifanyike kati ya hivi vifuatavyo?
a) Kuweka ukomo wa ubunge (eg vipindi viwili tu) au,
b) Kuwalipa mafao yao baada ya uchaguzi unaofuata (km mafao yao yangelipwa baada ya uchaguzi wa Oktoba, 2010) au,
c) Kupunguza mafao yao Bungeni (maana imeonekana kuwa Ubunge au siasa kwa ujumla ni dili) au,
d) Kuongeza adhabu dhidi ya wala rushwa (eg wachina wanawapiga shaba wala rushwa) au,
e) Kutenganisha siasa na biashara au,
f) Kufufua Azimio la Arusha na hatimaye kurudisha MIIKO YA UONGOZI au,
g)....
Tujadili!