MKE wa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, Dkt. Willibrod Slaa, Bi. Rose Kamili aliyekuwa akigombea ubunge Jimbo la Hanang kwa tiketi ya CCM, ametangaza kujitoa kwenye chama hicho tayari kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Anataka kugombea ubunge kupitia chadema huko karatu nini? au tayari wameshampata mtu.
This woman seems to be a fighter and an independent minded.
Comedy
Inawezekana ikawa Karatu au Hanang alikokuwa anagombea. Namsahuri agombee Karatu jimbo lililokuwa chini ya mme wake na akatangazie nia kwenye kampeni ya Slaa inayoendelea ya kutafuta wadhamini aungane nao huko litakuwa boost la nguvu.Anataka kugombea ubunge kupitia chadema huko karatu nini? au tayari wameshampata mtu.
This woman seems to be a fighter and an independent minded.
hapana alikuwa na nia ya Hanang na pia Karatu kuna mtu anayekubalika zaidi, ni bora aende HanangInawezekana ikawa Karatu au Hanang alikokuwa anagombea. Namsahuri agombee Karatu jimbo lililokuwa chini ya mme wake na akatangazie nia kwenye kampeni ya Slaa inayoendelea ya kutafuta wadhamini aungane nao huko litakuwa boost la nguvu.
amechanganyikiwa huyo naye si alikuwa diwani ccm? Kwanza kamponza mwenzio akatoka upadri