Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
Maskan kaka ya ccm ya kisonge iliopo unguja eneo la michenzani round about, ambayo kwa miongo mingi ikitamba kuendesha siasa zanzibar na kuamini kuwa wao ndio wenye nchi wako ktk hali mbaya.
Jaribio lao la kwanza la kutaka kumsimika dr bilal awe rais wa zanzibar ili waendelee kuitawala ikulu na kuziburuza siasa za zanzibar lilishindwa dodoma kwa kuchaguliwa dr shein kuwa rais wa visiwa hivyo vya karafuu.
Baada ya hapo wakaanza kazi ya choko choko za chini kwa chini kushawishi wazanzibari hasa waunguja kukataa kura ya maoni kwa kupiga kura ya hapana na kusambaza vikaratasi kila kona.
Jana mheshimiwa rais wa zanzibar kawaondolea uvivu wakati alipokuwa akifungua majenereta yatakayozalisha umeme wakati wa dharura. Kawanyamba hadharani. Kawaambia ikiwa ccm imekaa na kuwataka wanachama wake wapige kura ya ndio wao ni nani kujifanya ai miccm wakubwa kuliko chama. Kwa hakika kawaumbua sana na nategemea kisonge siku zake za kutamba zimefika ukingoni
Jaribio lao la kwanza la kutaka kumsimika dr bilal awe rais wa zanzibar ili waendelee kuitawala ikulu na kuziburuza siasa za zanzibar lilishindwa dodoma kwa kuchaguliwa dr shein kuwa rais wa visiwa hivyo vya karafuu.
Baada ya hapo wakaanza kazi ya choko choko za chini kwa chini kushawishi wazanzibari hasa waunguja kukataa kura ya maoni kwa kupiga kura ya hapana na kusambaza vikaratasi kila kona.
Jana mheshimiwa rais wa zanzibar kawaondolea uvivu wakati alipokuwa akifungua majenereta yatakayozalisha umeme wakati wa dharura. Kawanyamba hadharani. Kawaambia ikiwa ccm imekaa na kuwataka wanachama wake wapige kura ya ndio wao ni nani kujifanya ai miccm wakubwa kuliko chama. Kwa hakika kawaumbua sana na nategemea kisonge siku zake za kutamba zimefika ukingoni