TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,690
- 11,028
Wakuu, nalazimika kuomba public plea kwa wapiganaji kadhaa ambao walikua chachu ya habari na mijadala hasa yenye kuelimisha members na non members wengine humu jamvini
Bado tunawahitaji, hasas kipindi hiki cha mpito kuelekea uchaguzi, kumbukeni kwamba kuna vijana na watu wengine wenye interest kubwa na nchi hii, and believe me, hakuna avenue nyingine ya kupata as neutral as possible news zaidi ya JF, kwingine kote kuna bias tupu!!
Kama mzalendo na mepnda nchi, na mchukia unyonyaji na ufisadi, nawaomba rudini kundini muungane na waliopo akina MMM, FMES, Rev. nk. kuweka nchi panapostahili
Najua baadhi yenu mmepitia jeshi na baadhi yenu mmesoma sana habari za vita, kugeuka nyuma kunadeserve risasi ya mgongo, please dont do that
Lets strengthen mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, kisiasa na kiutamamduni pamoja
DN
Bado tunawahitaji, hasas kipindi hiki cha mpito kuelekea uchaguzi, kumbukeni kwamba kuna vijana na watu wengine wenye interest kubwa na nchi hii, and believe me, hakuna avenue nyingine ya kupata as neutral as possible news zaidi ya JF, kwingine kote kuna bias tupu!!
Kama mzalendo na mepnda nchi, na mchukia unyonyaji na ufisadi, nawaomba rudini kundini muungane na waliopo akina MMM, FMES, Rev. nk. kuweka nchi panapostahili
Najua baadhi yenu mmepitia jeshi na baadhi yenu mmesoma sana habari za vita, kugeuka nyuma kunadeserve risasi ya mgongo, please dont do that
Lets strengthen mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, kisiasa na kiutamamduni pamoja
DN