Public plea, Kitila, Zitto, Mnyika na wapiganaji wengine... Dont quit

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,690
11,028
Wakuu, nalazimika kuomba public plea kwa wapiganaji kadhaa ambao walikua chachu ya habari na mijadala hasa yenye kuelimisha members na non members wengine humu jamvini

Bado tunawahitaji, hasas kipindi hiki cha mpito kuelekea uchaguzi, kumbukeni kwamba kuna vijana na watu wengine wenye interest kubwa na nchi hii, and believe me, hakuna avenue nyingine ya kupata as neutral as possible news zaidi ya JF, kwingine kote kuna bias tupu!!

Kama mzalendo na mepnda nchi, na mchukia unyonyaji na ufisadi, nawaomba rudini kundini muungane na waliopo akina MMM, FMES, Rev. nk. kuweka nchi panapostahili

Najua baadhi yenu mmepitia jeshi na baadhi yenu mmesoma sana habari za vita, kugeuka nyuma kunadeserve risasi ya mgongo, please dont do that

Lets strengthen mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, kisiasa na kiutamamduni pamoja

DN
 
Hawa jamaa naona siku hizi wanachungulia kama guest hii ni kutokana na baadhi yetu kuwapiga nyundo mno za usoni.
 
Hawa jamaa naona siku hizi wanachungulia kama guest hii ni kutokana na baadhi yetu kuwapiga nyundo mno za usoni.

I am still convinced that their presence is to our gain kuliko otherwise!! maana bado wa access na jukwaa lakini hatupati feedback zao

I am hopeful they will get back to work with us
 
I am still convinced that their presence is to our gain kuliko otherwise!! maana bado wa access na jukwaa lakini hatupati feedback zao

I am hopeful they will get back to work with us

Unajua mkuu mfano Zitto alikuwa member mzuri sana lakini kuna baadhi ya member walikuwa wanampiga mno nyundo za uso yaani mpaka ikawa too much kila akijaribu kuelezea mada watu hawamwelewi wanakuwa na mitizamo yao binafsi naona akaamua kuwa mchunguliaji tu kama hivi haonekani kabisa naamini huwa anakuja na kuchungulia na kuondoka bila ya kuweka neno.
 
Hawa jamaa naona siku hizi wanachungulia kama guest hii ni kutokana na baadhi yetu kuwapiga nyundo mno za usoni.
Ni kweli maana kuna baadhi ya watu humu si wastaarabu kabisa matusi kwao ni salamu badala ya kuchangia hoja wanaanza kum attack mtu binafsi, lakini bado namuona Kitila anachangia pamoja na madongo wanayomtupia
 
Ni kweli maana kuna baadhi ya watu humu si wastaarabu kabisa matusi kwao ni salamu badala ya kuchangia hoja wanaanza kum attack mtu binafsi, lakini bado namuona Kitila anachangia pamoja na madongo wanayomtupia
kwa siasa za nchi maskini, kuchafuana ni ada!!
 
kwa siasa za nchi maskini, kuchafuana ni ada!!

Yeah si unajua siasa za maji taka Bongo yetu hii ndo maana wameamua kukaa pembeni zilizidi naamini ilifika kipindi hata wale wapinzani wao kisiasa wapambe wao walikuwa wanawapiga nyundo za usoni humuhumu.
 
Kila m2 msanii bongo, kuanzia politishianz mpaka wakesha hoi (sio walalhoi).
 
Kwa matusi ya hapa JF siku hizi, wale wanaojulikana kwa majina yao wanakuwa target ya baadhi ya watu bila sababu za msingi.

Zamani ilikuwa mjadala unaweza kuchukua hata wiki na kusiwe na matusi lakini siku hizi kumekuja wajanja wanaona matusi na personal attacks ndio agenda kubwa.

lazima tutegemee watu wengi watapotea na wale ambao ni wapenzi wa JF basi wanaishia kusoma kama guests na hata wakitaka kuchangia mada wanajiuliza mara mbili mbili.
 
kwa siasa za nchi maskini, kuchafuana ni ada!!
Bahati mbaya kuchafuana via JF hakutavumiliwa; ni kwakuwa tuko in middle of something, tunashindwa ku-deal na wachafuzi wenye dhamira ya kuudhi watu badala ya kujadili hoja; once we're done (April 2, 2010) tutakuwa wachungu sana kwa wachafuzi wote, hatutamwangalia mtu usoni.

Meanwhile, ni vema watanzania hasa wana JF tukawa na staha wakati wa kuwasilisha hoja, hakuna kitu kinakera kama kuja na allegations dhidi ya mwanachama bila kufanya utafiti wenye kuwa na uhakika pasi na waa lolote.

Madai dhidi ya wanachama wenzetu na watanzania wenzetu zikiambatana na uthibitisho wa allegations zinasimama zenyewe na kumwongezea heshima mwenye kuzileta, lugha za kejeli, name calling n.k haviruhusiwi na havitavumiliwa kamwe ndani ya JF.

USHAURI: Ukiona ambapo kuna mwanachama amefanya kitu na hujaridhishwa nacho (matusi, kejeli, uchafu wa aina yoyote n.k) tafadhali usihangaike kujibizana nae au usihangaike kuandika alipoandika; bonyeza sehemu unayoona ina alama hii:

report.gif


Kisha sisi tutachukua hatua haraka sana, aidha unaweza kutufahamisha via support@jamiiforums.com nasi tukarekebisha haraka.

Reporting ya kosa lolote ndani ya JF inakuongezea credits kwenye profile yako!
 
Kwa matusi ya hapa JF siku hizi, wale wanaojulikana kwa majina yao wanakuwa target ya baadhi ya watu bila sababu za msingi.

Zamani ilikuwa mjadala unaweza kuchukua hata wiki na kusiwe na matusi lakini siku hizi kumekuja wajanja wanaona matusi na personal attacks ndio agenda kubwa.

lazima tutegemee watu wengi watapotea na wale ambao ni wapenzi wa JF basi wanaishia kusoma kama guests na hata wakitaka kuchangia mada wanajiuliza mara mbili mbili.
nakubaliana na wewe kabisa... na kibaya zaidi ni matusi yanatoka kwa wale wasiotumia majina halisi... siku ikatokea majina yetu yakajulikana sijui itakuaje... I hope kutakuwa na namna ya moderation kuzuiza personal attaks

hypocricy ni tatizo kubwa kwetu watanzania, lakini pamoja na hayo shujaa wa kweli lazima aendeleze mapambano na nadhani ni muhimu hawa watu warudi kuendeleza libeneke
 
Bahati mbaya kuchafuana via JF hakutavumiliwa; ni kwakuwa tuko in middle of something, tunashindwa ku-deal na wachafuzi wenye dhamira ya kuudhi watu badala ya kujadili hoja; once we're done (April 2, 2010) tutakuwa wachungu sana kwa wachafuzi wote, hatutamwangalia mtu usoni.

Meanwhile, ni vema watanzania hasa wana JF tukawa na staha wakati wa kuwasilisha hoja, hakuna kitu kinakera kama kuja na allegations dhidi ya mwanachama bila kufanya utafiti wenye kuwa na uhakika pasi na waa lolote.

Madai dhidi ya wanachama wenzetu na watanzania wenzetu zikiambatana na uthibitisho wa allegations zinasimama zenyewe na kumwongezea heshima mwenye kuzileta, lugha za kejeli, name calling n.k haviruhusiwi na havitavumiliwa kamwe ndani ya JF.

USHAURI: Ukiona ambapo kuna mwanachama amefanya kitu na hujaridhishwa nacho (matusi, kejeli, uchafu wa aina yoyote n.k) tafadhali usihangaike kujibizana nae au usihangaike kuandika alipoandika; bonyeza sehemu unayoona ina alama hii:

report.gif


Kisha sisi tutachukua hatua haraka sana, aidha unaweza kutufahamisha via support@jamiiforums.com nasi tukarekebisha haraka.

Reporting ya kosa lolote ndani ya JF inakuongezea credits kwenye profile yako!

Nashkuru sana kamanda umetupa ahdi nzuri, tunapoteza baadhi ya wapiganaji ambao ni muhimu sana kwa chachu ya maendeleo ya nchi hii simply because of people with personal vendetta!!

Nina imani tutabadili mwelekeo hasa tukizingatia kwamba huu ni mwaka wa uchaguzi na bila jeshi zuri hapa JF impact inaweza kupungua --- baring in mind kwamba most of media zimeshaingia mifukoni kwa watu
 
Bahati mbaya kuchafuana via JF hakutavumiliwa; ni kwakuwa tuko in middle of something, tunashindwa ku-deal na wachafuzi wenye dhamira ya kuudhi watu badala ya kujadili hoja; once we're done (April 2, 2010) tutakuwa wachungu sana kwa wachafuzi wote, hatutamwangalia mtu usoni.

Meanwhile, ni vema watanzania hasa wana JF tukawa na staha wakati wa kuwasilisha hoja, hakuna kitu kinakera kama kuja na allegations dhidi ya mwanachama bila kufanya utafiti wenye kuwa na uhakika pasi na waa lolote.

Madai dhidi ya wanachama wenzetu na watanzania wenzetu zikiambatana na uthibitisho wa allegations zinasimama zenyewe na kumwongezea heshima mwenye kuzileta, lugha za kejeli, name calling n.k haviruhusiwi na havitavumiliwa kamwe ndani ya JF.

USHAURI: Ukiona ambapo kuna mwanachama amefanya kitu na hujaridhishwa nacho (matusi, kejeli, uchafu wa aina yoyote n.k) tafadhali usihangaike kujibizana nae au usihangaike kuandika alipoandika; bonyeza sehemu unayoona ina alama hii:

report.gif


Kisha sisi tutachukua hatua haraka sana, aidha unaweza kutufahamisha via support@jamiiforums.com nasi tukarekebisha haraka.

Reporting ya kosa lolote ndani ya JF inakuongezea credits kwenye profile yako!
Mkuu Invisible,

Tatizo ni kwamba mnashughulikia dagaa na kuacha kambare wanachafua wengine bila adhabu yoyote. Ni mambo yale yale kama siasa za TZ ambapo mdogo huadhibiwa ipasavyo lakini wakubwa wana get away with murder.

Kuna watu mpaka wanaweka maneno ya kukashifu wana JF wenzao kwenye signatures zao na hakuna kinachochukuliwa sasa hapo kweli mtasema mko serious?

Kuna watu hapa JF wanatoa matusi ya ajabu tena mpaka ya nguoni na sijaona wakifungiwa lakini dagaa kibao wanafungiwa kila siku.

JF lazima iwe mahali pa kuibua kila aina ya scandals za wahusika bila kuogopa mhusika ni nani, lakini pia lazima wanaotoa hizo kashfa wawe na burden ya aina fulani ya kutoa ushahidi. Sio mtu anaimba tu kila siku invisible mwizi huku hujawahi hata kuiba kuku wa mtu. Tukifanya hivyo tutakuwa hatuwatendei haki wale ambao wanajulikana kwa majina yao.
 
JF kuna watoto wengi mno. hata mtu akitoa mada nzuri basi kuna watu wanaleta utoto utoto kiasi cha kuwa udhi wengine na kuamua kujitoa.

Ni lazima watu wakue na kuona umuhimu wa kila mchangiaji na kutuia lugha nzuri za kistaharabu na kushindanisha hoja na sio kejeli na matusi.

JF siku hizi Dorooooooo
 
Bahati mbaya kuchafuana via JF hakutavumiliwa; ni kwakuwa tuko in middle of something, tunashindwa ku-deal na wachafuzi wenye dhamira ya kuudhi watu badala ya kujadili hoja; once we're done (April 2, 2010) tutakuwa wachungu sana kwa wachafuzi wote, hatutamwangalia mtu usoni.

Meanwhile, ni vema watanzania hasa wana JF tukawa na staha wakati wa kuwasilisha hoja, hakuna kitu kinakera kama kuja na allegations dhidi ya mwanachama bila kufanya utafiti wenye kuwa na uhakika pasi na waa lolote.

Madai dhidi ya wanachama wenzetu na watanzania wenzetu zikiambatana na uthibitisho wa allegations zinasimama zenyewe na kumwongezea heshima mwenye kuzileta, lugha za kejeli, name calling n.k haviruhusiwi na havitavumiliwa kamwe ndani ya JF.

USHAURI: Ukiona ambapo kuna mwanachama amefanya kitu na hujaridhishwa nacho (matusi, kejeli, uchafu wa aina yoyote n.k) tafadhali usihangaike kujibizana nae au usihangaike kuandika alipoandika; bonyeza sehemu unayoona ina alama hii:

report.gif


Kisha sisi tutachukua hatua haraka sana, aidha unaweza kutufahamisha via support@jamiiforums.com nasi tukarekebisha haraka.

Reporting ya kosa lolote ndani ya JF inakuongezea credits kwenye profile yako!

Mfano wa allegations ni kama mlizozielekeza kwangu kwamba nabadili majina. Pia mnatakiwa muwe makini nasio kubunibuni tu.

Nasema hivi kama nilishawahi kubadili kujisajiri hapa jf zaidi ya ID moja hii niliyonayo basi Mungu anipe adhabu kali sana.

Nawaombeni ninyi wadau wa jf muwe mnafanya utafiti wa kina kwanza, na si kufanya mambo kwa hisia .teh teh teh
 
Mfano wa allegations ni kama mlizozielekeza kwangu kwamba nabadili majina. Pia mnatakiwa muwe makini nasio kubunibuni tu.

Nasema hivi kama nilishawahi kubadili kujisajiri hapa jf zaidi ya ID moja hii niliyonayo basi Mungu anipe adhabu kali sana.

Nawaombeni ninyi wadau wa jf muwe mnafanya utafiti wa kina kwanza, na si kufanya mambo kwa hisia .teh teh teh

Sioni ubaya wowote kama unabadili majina.

Cha muhimu hapa ni mchango wako tu, uwe mchango wenye kujenga na sio kubomoa, usiwe mchango wa chuki wala kejeli, usiwe mchango wa ubabe na masimango.

Hata ukitumia majina ishirini, kama hauathiri nia na malengo ya JF bali unapigania ujenzi wa Tanzania huru, yenye demokrasia ya kweli, isiyo na ufisadi na yenye wananchi wenye maisha bora, sio tatizo.

Ni mtazamo tu, samahani kama nimekukwaza.
 
Bahati mbaya kuchafuana via JF hakutavumiliwa; ni kwakuwa tuko in middle of something, tunashindwa ku-deal na wachafuzi wenye dhamira ya kuudhi watu badala ya kujadili hoja; once we're done (April 2, 2010) tutakuwa wachungu sana kwa wachafuzi wote, hatutamwangalia mtu usoni.

Meanwhile, ni vema watanzania hasa wana JF tukawa na staha wakati wa kuwasilisha hoja, hakuna kitu kinakera kama kuja na allegations dhidi ya mwanachama bila kufanya utafiti wenye kuwa na uhakika pasi na waa lolote.

Madai dhidi ya wanachama wenzetu na watanzania wenzetu zikiambatana na uthibitisho wa allegations zinasimama zenyewe na kumwongezea heshima mwenye kuzileta, lugha za kejeli, name calling n.k haviruhusiwi na havitavumiliwa kamwe ndani ya JF.

USHAURI: Ukiona ambapo kuna mwanachama amefanya kitu na hujaridhishwa nacho (matusi, kejeli, uchafu wa aina yoyote n.k) tafadhali usihangaike kujibizana nae au usihangaike kuandika alipoandika; bonyeza sehemu unayoona ina alama hii:

report.gif


Kisha sisi tutachukua hatua haraka sana, aidha unaweza kutufahamisha via support@jamiiforums.com nasi tukarekebisha haraka.

Reporting ya kosa lolote ndani ya JF inakuongezea credits kwenye profile yako!
Sawa kabisa Invisible nashukuru kama umeliona hili kuna mtindo mwingine umeanza kutokea wa kuharibu flow ya thread, thread inaweza kuanza vizuri katikati watajitokeza members wawili au watatu wamejipanga makusudi kupoteza maana ya hoja husika wataanza kujibizana wenyewe kwa wenyewe off topic kwa siku nzima wakijadili mambo yao tofauti kabisa na mada husika ukijitahidi kurudisha mada utaishia kushambuliwa kwa matusi
 
Sioni ubaya wowote kama unabadili majina.

Cha muhimu hapa ni mchango wako tu, uwe mchango wenye kujenga na sio kubomoa, usiwe mchango wa chuki wala kejeli, usiwe mchango wa ubabe na masimango.

Hata ukitumia majina ishirini, kama hauathiri nia na malengo ya JF bali unapigania ujenzi wa Tanzania huru, yenye demokrasia ya kweli, isiyo na ufisadi na yenye wananchi wenye maisha bora, sio tatizo.

Ni mtazamo tu, samahani kama nimekukwaza.

Ni kweli
Lakini tatizo langu kwa ma invisible ama ma moderator ni kwamba wameshanitumia pm wakinionya kutumia ID nyingi, wakati mie tangu niingie humu jf sijawahi poteza mda kujisajiri ID zaidi ya moja. Binafsi naona kuna kubabaisha babaisha.

Kama kweli wanataka JF iwe huru na haki kwa watu wanaotukana kwa kutumia ID tofauti na washauri waongeze kitu hii ktk PHP script yao.

Waongeze sript ndogo tu ambayo mtu aki login ionyeshe yupo nchi gani na public IP address yake. Uone watu wanavyoumbuka mambo ya kubashiribashiri tuwaachie akina Yahya.
 
Ni kweli
Lakini tatizo langu kwa ma invisible ama ma moderator ni kwamba wameshanitumia pm wakinionya kutumia ID nyingi, wakati mie tangu niingie humu jf sijawahi poteza mda kujisajiri ID zaidi ya moja. Binafsi naona kuna kubabaisha babaisha.

Kama kweli wanataka JF iwe huru na haki kwa watu wanaotukana kwa kutumia ID tofauti na washauri waongeze kitu hii ktk PHP script yao.

Waongeze sript ndogo tu ambayo mtu aki login ionyeshe yupo nchi gani na public IP address yake. Uone watu wanavyoumbuka mambo ya kubashiribashiri tuwaachie akina Yahya.

Mkamap, una uhakika gani kama ma invisible na mamoderator wamebashiri bashiri kuwa wewe unatumia ID zaidi ya moja? Unajiunga kwenye bandwagon ya kubashiri bashiri.

Mainvisible na mamoderator ni high tech, je hiyo suggestion yako ya PHP script na mambo ya kulocate IP address hawajui?

Zaidi, kama walikuandikia PM mkadiscuss hayo, nadhani na wewe ingekuwa vizuri ungefanya vivyo hivyo.

Samahani kama nimekukwaza.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom