Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kweli huu ni uchaguzi wa mwaka ama wa historiah
Huko Tanga habari zinasema naibu meya wa ccm ameamua kujiuzuru baada ya kuona rafu za ajabu zikitendeka na wazi wazi uongozi wa juu ukibariki uchafu huo
akiongea kwa huzuni uku akisema nawaombeni mnipe muda mnipe muda si mrefu ntawaambia naelekea chama gani siwezi kuishi kwenye chama cha wahuni
huu ni uhuni wizi nje nje tena viongozi wa juu wanabariki wizi huo kwa manufaa ya watu binafsi
Wakati huo huo meya huyo amesema watu 268 wamerudisha kadi za CCM LEO rasmi ..akiongea huku mwili ukimsisimka aliekuwa naibu meya huyo amesema awezi watu hao ndio waliomfanya aamue na yeye kukiama cha cha mapnduzi,unajua bwana hawa watu niko nao hapa sasa kama wanakusapoti kila sehemu na leo wanakiama chama namii sina budi kuwaachia chama chao na kumba ridhaa ya familia kuhami chama chenye mwwelekeo wa kusaidia wananchi.
..watu hao wlaiokuwa wengine wakizichana wamesema aiwezekani kabisa kukaa na wahuni...hiki chama ni chama majambazi hata hivyo watu wengi wamewapa pole na kusema wamechelewa sana kutoka na kutambua wako kwenye lindi la majambazi
Huko Tanga habari zinasema naibu meya wa ccm ameamua kujiuzuru baada ya kuona rafu za ajabu zikitendeka na wazi wazi uongozi wa juu ukibariki uchafu huo
akiongea kwa huzuni uku akisema nawaombeni mnipe muda mnipe muda si mrefu ntawaambia naelekea chama gani siwezi kuishi kwenye chama cha wahuni
huu ni uhuni wizi nje nje tena viongozi wa juu wanabariki wizi huo kwa manufaa ya watu binafsi
Wakati huo huo meya huyo amesema watu 268 wamerudisha kadi za CCM LEO rasmi ..akiongea huku mwili ukimsisimka aliekuwa naibu meya huyo amesema awezi watu hao ndio waliomfanya aamue na yeye kukiama cha cha mapnduzi,unajua bwana hawa watu niko nao hapa sasa kama wanakusapoti kila sehemu na leo wanakiama chama namii sina budi kuwaachia chama chao na kumba ridhaa ya familia kuhami chama chenye mwwelekeo wa kusaidia wananchi.
..watu hao wlaiokuwa wengine wakizichana wamesema aiwezekani kabisa kukaa na wahuni...hiki chama ni chama majambazi hata hivyo watu wengi wamewapa pole na kusema wamechelewa sana kutoka na kutambua wako kwenye lindi la majambazi