Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Habari nilizosikia asubuhi hii toka ndani ya udondozi wa magazeti katika gazeti la Nipashe ni kuwa John Malecela-Mbunge wa Mtera ameshauriwa kutogombea Ubunge tena katika uchaguzi wa mwaka huu.
Habari zinadai kuwa Wazee hao wa CCM wamesema kuwa Malecela amekuwa Mbunge kwa muda mrefu hviyo inatosha ni vyema akaacha kugombea mwaka huu na kubaki kuwa mshauri muhimu.
Wazee hao wameenda mbele na kudai kuwa pamoja na kuongoza kwa muda mrefu lakini bado jimbo hilo halina maendeleo ya kuridhisha.
Haya wazee ndio wamechachamaa.
Habari zaidi baadaye baada ya Nipashe kuwa mtandaoni.
Habari zinadai kuwa Wazee hao wa CCM wamesema kuwa Malecela amekuwa Mbunge kwa muda mrefu hviyo inatosha ni vyema akaacha kugombea mwaka huu na kubaki kuwa mshauri muhimu.
Wazee hao wameenda mbele na kudai kuwa pamoja na kuongoza kwa muda mrefu lakini bado jimbo hilo halina maendeleo ya kuridhisha.
Haya wazee ndio wamechachamaa.
Habari zaidi baadaye baada ya Nipashe kuwa mtandaoni.