Kwa mujibu ya wa kamusi yangu ya kiingereza:
bigot [ˈbɪgət]n a person who is intolerant of any ideas other than his or her own, esp on religion, politics, or race
chauvinist - a...
Wakuu kesho Dr W Slaa atakuwa na mikutano miwili jijini Arusha.Mkutano wa kwanza utaanza saa nne asubuhi Mbauda sokoni na mwingine utafanyika saa tisa Kijenge.
Dr W Slaa ataambatana na makamanda...
Kwa kweli kuna mwamko na hamasa kubwa baada ya ujio wa Dr Slaa.Kwa sie tulio mbali na huko nyumbani kipimo kidogo ni comments katika tovuti za magazeti na nyinginezo.Binafsi nimekuwa nikifuatilia...
Siku ya jumanne tarehe, 21/9/2010, DR SLAA, anatarajia kuhutubia wakazi wa tarakea, na kutumia uwanja wa shule ya secondary Tarakea, ambao uko zaid ya kilomita 3, kutoka tarakea mjini, tangazo...
Mwaka wa huu wa uchaguzi tume ya taifa ya uchaguzi inakuwa na bajeti iliyopitishwa kughaimia uchaguzi katika kila jimbo
Je wastani wa gahrama ya uchaguzi kwa kila jimbo ni shilingi ngapi...
kauli mbiu iliyoandikwa ktk mabango ya mgombea wa chama cha mafisadi CCM.. aaah samahani jamani wana JF, CHAMA CHA MAPINDUZI, hivi hii kazi ,Ari zaidi, ni kitu gani kasi zaidi wanakokimbilia...
Akimnadi Lowassa, Rais Kikwete alisema, huyu ni mtu anayewapenda sana, anawahangaikia sana, haya yote (mafanikio) yanayosemwa sasa yametokana na juhudi zake hakuna mwakilishi mzuri kushinda...
Hii naona haijaandikwa! ni kwamba jana makamba alikuwa na waandishi wa habari pale msaliti wetu Richard Kiyabo alipotawazwa uCCm.
Ikumbukwe huyu bwana alikuwa kama tairi la trekta kwenye kilmo...
Natafuta king'amuzi cha kuweza kutambua:
1.Tofauti ya ukabila na uraia.
2.Vyama vya siasa na vyama vya upinzani.
3.Mtuhumiwa na mkosaji.
4.Hali halisi na uzushi.
5.Rafiki na adui.
6.Kuropoka na...
Several years ago I wrote an article in the local press that put forward a simple hypothesis: If it is true that whatever is taken to the marketplace is for sale and that what is for sale, for the...
Lisu akoroga msafara wa Slaa
Monday, 06 September 2010 20:13
Salim Said, Singida
MGOMBEA wa kiti cha ubunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya Chadema, Tundu Lissu, amevuruga msafara wa...
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo
JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji...
KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL), imesema kuna uwezekano wa kusitisha huduma za kusafirisha wa abiria kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, katika siku za usoni na kwamba hatua hiyo inatokana na...
Eti inakuwaje kamanda wa ulinzi na usalama wilayani analaumu wanausalama wenzie kusababisha watoto wetu kufa pale Luxury Pub badala ya kuanza kujilaumu yeye kwa kutowapanga vizuri. Jamani tuanze...
MBIO za Mwenge wa Uhuru zinazoendelea katika mkoa wa Shinyanga, zimeingia dosari baada ya baadhi ya wakimbiza mwenge huo kitaifa kuonyesha wazi wazi kukipigia kampeni Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Salim Said
KAMBI ya wabunge walioangushwa katika kura za maoni katika vyama vyao na kuamua kutimkia vyama vingine vya siasa na kuwania ubunge imezidi kuwa kubwa.
Hivi karibuni aliyekuwa mbunge...