Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mujibu ya wa kamusi yangu ya kiingereza: bigot [ˈbɪgət]n a person who is intolerant of any ideas other than his or her own, esp on religion, politics, or race chauvinist - a...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu kesho Dr W Slaa atakuwa na mikutano miwili jijini Arusha.Mkutano wa kwanza utaanza saa nne asubuhi Mbauda sokoni na mwingine utafanyika saa tisa Kijenge. Dr W Slaa ataambatana na makamanda...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Kwa kweli kuna mwamko na hamasa kubwa baada ya ujio wa Dr Slaa.Kwa sie tulio mbali na huko nyumbani kipimo kidogo ni comments katika tovuti za magazeti na nyinginezo.Binafsi nimekuwa nikifuatilia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku ya jumanne tarehe, 21/9/2010, DR SLAA, anatarajia kuhutubia wakazi wa tarakea, na kutumia uwanja wa shule ya secondary Tarakea, ambao uko zaid ya kilomita 3, kutoka tarakea mjini, tangazo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mwaka wa huu wa uchaguzi tume ya taifa ya uchaguzi inakuwa na bajeti iliyopitishwa kughaimia uchaguzi katika kila jimbo Je wastani wa gahrama ya uchaguzi kwa kila jimbo ni shilingi ngapi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kauli mbiu iliyoandikwa ktk mabango ya mgombea wa chama cha mafisadi CCM.. aaah samahani jamani wana JF, CHAMA CHA MAPINDUZI, hivi hii kazi ,Ari zaidi, ni kitu gani kasi zaidi wanakokimbilia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Akimnadi Lowassa, Rais Kikwete alisema, “huyu ni mtu anayewapenda sana, anawahangaikia sana, haya yote (mafanikio) yanayosemwa sasa yametokana na juhudi zake…hakuna mwakilishi mzuri kushinda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii naona haijaandikwa! ni kwamba jana makamba alikuwa na waandishi wa habari pale msaliti wetu Richard Kiyabo alipotawazwa uCCm. Ikumbukwe huyu bwana alikuwa kama tairi la trekta kwenye kilmo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ujenzi wa Barabara ya Babati - Hanang ukiendelea.
0 Reactions
26 Replies
3K Views
No nation is an island I guess.Very justifiable.
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Jipangeni ndugu.2020 maana sasa mmechelewa.Huwezi kutumia tobo dogo moja kuingia ikulu.Unahitaji mlango mkubwa.Jifunzeni toka kwa Wycliff Jean.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Natafuta king'amuzi cha kuweza kutambua: 1.Tofauti ya ukabila na uraia. 2.Vyama vya siasa na vyama vya upinzani. 3.Mtuhumiwa na mkosaji. 4.Hali halisi na uzushi. 5.Rafiki na adui. 6.Kuropoka na...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Several years ago I wrote an article in the local press that put forward a simple hypothesis: If it is true that whatever is taken to the marketplace is for sale and that what is for sale, for the...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Lisu akoroga msafara wa Slaa Monday, 06 September 2010 20:13 Salim Said, Singida MGOMBEA wa kiti cha ubunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya Chadema, Tundu Lissu, amevuruga msafara wa...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
JK amnadi Profesa Maji Marefu Korogwe vijijini leo JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM kiti cha Korogwe Vijijini Bw. Stephen Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu mchana huu katika kijiji...
0 Reactions
137 Replies
21K Views
KAMPUNI ya Reli Tanzania (TRL), imesema kuna uwezekano wa kusitisha huduma za kusafirisha wa abiria kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, katika siku za usoni na kwamba hatua hiyo inatokana na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Eti inakuwaje kamanda wa ulinzi na usalama wilayani analaumu wanausalama wenzie kusababisha watoto wetu kufa pale Luxury Pub badala ya kuanza kujilaumu yeye kwa kutowapanga vizuri. Jamani tuanze...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
MBIO za Mwenge wa Uhuru zinazoendelea katika mkoa wa Shinyanga, zimeingia dosari baada ya baadhi ya wakimbiza mwenge huo kitaifa kuonyesha wazi wazi kukipigia kampeni Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salim Said KAMBI ya wabunge walioangushwa katika kura za maoni katika vyama vyao na kuamua kutimkia vyama vingine vya siasa na kuwania ubunge imezidi kuwa kubwa. Hivi karibuni aliyekuwa mbunge...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…