Tangu kampeni zianze nimegundua kuwa JK na CCM wako mbali na watanzania, wamejaza picha kila mahali mf kuta za nyumba, nguzo za umeme, mabango makubwa.
Pamoja na jitihada hizo mvuto wao hauko kwa...
Umaskini uliokithiri kwenye maeneo mengi hapa nchini unaelekea kuwa tishio la kuchangia kutokuwapo kwa mabadiliko yanayotarajiwa kwa kuwa hivi sasa asilimia kubwa ya Watanzania walio maskini...
Meya wa manispaa ya Kinondoni aliyemaliza muda wake, Salum Londa, `amemnanga' mgombea ubunge wa jimbo la Kawe kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee, kuwa anatumia...
Kuna kila dalili, ishara, hamasa,viashiria kwamba mgombea wa CCM atashinda kwa asilimia zaidi ya 88, hii inatokana na utekelezaji wake Ilani , mshikamano uliopo ndani ya CCM ,IMANI YA WATANZANIA...
MGOMBEA urais wa Chama cha Wananchi (CUF) visiwani hapa, Maalim Seif Sharif Hamad amesema akichaguliwa kuingia Ikulu, atahakikisha Zanzibar inapewa mgawo wa asilimia 11.02 badala ya 4.5...
Tumeshaona mara nyingi mambo ya serikali yakishughulikiwa na familia ya Kikwete. Pamoja na kusemwa sana hadharani, ndio kwanza familia hii inaendelea na mtindo huo. Mfano mmoja ni huu...
Monday, September 20, 2010
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, akimnadi mgombea ubunge katika jimbo la Hai kupitia chama hicho...
Wasanii wetu kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita walisikika wakilalama kua wametelekezwa na JK kinyume na alivyoahidi wakati wa kusaka kura. leo kwa kuganga njaa ya msimu wanajitutumua...
Can we take a break and at least discuss something worthy discussing?How the Grameen bank project became a reality?How we can have effective plans for solar power in our villages?How we can set up...
Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Muheza atimkia CCM.
This is his confession.Siasa za Bongo safi sana.
YouTube - Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Muheza ajiunga CCM (MIchuziBlog)
Tarishi Hauwawi.
Election Campaigns and Politics of Performance
For some obvious reasons I am not a fan of election campaigns. I dont like attending or analyzing them. To me leaders emerge ...
Leo ni siku ya amani duniani katika kuazimisha siku hii.,napenda wana JF waenzi japo kwa muda wa siku moja( yaani leo hii au 31 november ) kwa kudumisha amani ambayo misingi yake ilishafanywa...
Tanzania imepokea tuzo kwa kuandikisha watoto darasa la kwanza 95% kwa Afrika kama sehemu ya utekelezaji wa MDG 2 (HabariLeo 21/09/2010). Kutokana na reports za MDGs ni asiye mwelewa wa MDG 2 ndio...
MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amedai kuwa ana taarifa za matokeo ya utafiti uliofanywa na taasisi ya Synovate zinazoeleza kuwa mgombea wa chama chake, Dk Willibrod Slaa aliongoza kwa...
Ndugu zangu,
Usiku wa leo nimekosa kabisa usingizi kwa kuufikiri mstakabali wa nchi yangu chini ya chama filisi cha CCM. Msongo huu wa mawazo ulinifikisha mahali pa kujiridhisha kwamba chama...
Tanzania imepewa TUZO kwa kuweza kufanya vema kuhusu kuandikisha watoto kwenda shule ya Msingi. Hii ni moja ya mambo muhimu sana kwa maendeleo ya Tanzania. Serikali imefanikiwa sana kwa hili...
Hivi karibuni kumekuwa na mjadala kwenye jukwaa hili kuhoji uhalali wa Mke wa Rais kutumia rasilimali za walipa kodi kumfanya kampeni za kumrejesha mumewe madarakani. Ninatoa rai kwa wanajukwaa...
Ni siri ya wazi kuwa taasisi yenu imekuwa ikifanya kazi za CCM. Hilo lingekuwa sio tatizo laiti kufanya hivyo kungekuwa kwa maslahi ya taifa.
Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya...
Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Dodoma kimeshindwa kutoa sababu za msingi juu ya nini kimemsibu mgombea Urais wa Chama hicho hadi kuamua kuahirisha ziara yake aliyotakiwa kuifanya katika wilaya tatu...