Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Ni siri ya wazi kuwa taasisi yenu imekuwa ikifanya kazi za CCM. Hilo lingekuwa sio tatizo laiti kufanya hivyo kungekuwa kwa maslahi ya taifa.
Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya taasisi hiyo, na huenda hamridhishwi na namna chombo hicho kinavyoendeshwa kwa maslahi ya mafisadi. Baadhi yenu mnakumbuka mafundisho mliyopewa kuhusu main roles and responsibilities za idara ya usalama wa taifa popote pale duniani.
Basi tunawasihi mjitoe mhanga kwa kuumbua njama za kuhujumu demokrasia nchini ambapo (kama ilivyozoeleka) Idara yenu hujivua wajibu wa kutumikia taifa na kuwekeza raslimali zake zote kuisaidia CCM kwa njia zisizo halali.
Mnamfahamu vyema Dokta Slaa, na naamini baadhi yenu mlikuwa mnampatia nyaraka alizotumia kuibua ufisadi katika maeneo mbalimbali. Tunafahamu kuwa hamkuwa mnafanya hivyo kwa ajili ya malipo bali uchungu kwa Taifa lenu na kutimiza wajibu wenu halisi wa KULINDA USALAMA WA TAIFA.
Tunawasihi msiruhusu taasisi yenu kugeuzwa chombo cha kisiasa au cha maslahi ya mafisadi. Kwa jinsi taasisi hiyo ilivyo disorganized, mnaweza kabisa kuvujisha taarifa zinazolenga kuhujumu uchaguzi in general na kumhujumu Dkt Slaa in person.
I beg you guys, kuweka maslahi ya taifa mbele.
It can be done, just play your small part.
Thank you in advance
Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya taasisi hiyo, na huenda hamridhishwi na namna chombo hicho kinavyoendeshwa kwa maslahi ya mafisadi. Baadhi yenu mnakumbuka mafundisho mliyopewa kuhusu main roles and responsibilities za idara ya usalama wa taifa popote pale duniani.
Basi tunawasihi mjitoe mhanga kwa kuumbua njama za kuhujumu demokrasia nchini ambapo (kama ilivyozoeleka) Idara yenu hujivua wajibu wa kutumikia taifa na kuwekeza raslimali zake zote kuisaidia CCM kwa njia zisizo halali.
Mnamfahamu vyema Dokta Slaa, na naamini baadhi yenu mlikuwa mnampatia nyaraka alizotumia kuibua ufisadi katika maeneo mbalimbali. Tunafahamu kuwa hamkuwa mnafanya hivyo kwa ajili ya malipo bali uchungu kwa Taifa lenu na kutimiza wajibu wenu halisi wa KULINDA USALAMA WA TAIFA.
Tunawasihi msiruhusu taasisi yenu kugeuzwa chombo cha kisiasa au cha maslahi ya mafisadi. Kwa jinsi taasisi hiyo ilivyo disorganized, mnaweza kabisa kuvujisha taarifa zinazolenga kuhujumu uchaguzi in general na kumhujumu Dkt Slaa in person.
I beg you guys, kuweka maslahi ya taifa mbele.
It can be done, just play your small part.
Thank you in advance