Wito kwa Wazalendo Wachache Mliopo Usalama wa Taifa

Mlalahoi

JF-Expert Member
Aug 31, 2006
2,182
883
Ni siri ya wazi kuwa taasisi yenu imekuwa ikifanya kazi za CCM. Hilo lingekuwa sio tatizo laiti kufanya hivyo kungekuwa kwa maslahi ya taifa.

Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya taasisi hiyo, na huenda hamridhishwi na namna chombo hicho kinavyoendeshwa kwa maslahi ya mafisadi. Baadhi yenu mnakumbuka mafundisho mliyopewa kuhusu main roles and responsibilities za idara ya usalama wa taifa popote pale duniani.

Basi tunawasihi mjitoe mhanga kwa kuumbua njama za kuhujumu demokrasia nchini ambapo (kama ilivyozoeleka) Idara yenu hujivua wajibu wa kutumikia taifa na kuwekeza raslimali zake zote kuisaidia CCM kwa njia zisizo halali.

Mnamfahamu vyema Dokta Slaa, na naamini baadhi yenu mlikuwa mnampatia nyaraka alizotumia kuibua ufisadi katika maeneo mbalimbali. Tunafahamu kuwa hamkuwa mnafanya hivyo kwa ajili ya malipo bali uchungu kwa Taifa lenu na kutimiza wajibu wenu halisi wa KULINDA USALAMA WA TAIFA.

Tunawasihi msiruhusu taasisi yenu kugeuzwa chombo cha kisiasa au cha maslahi ya mafisadi. Kwa jinsi taasisi hiyo ilivyo disorganized, mnaweza kabisa kuvujisha taarifa zinazolenga kuhujumu uchaguzi in general na kumhujumu Dkt Slaa in person.

I beg you guys, kuweka maslahi ya taifa mbele.

It can be done, just play your small part.

Thank you in advance
 
Wakati huu all agencies like this call the season as "wakati wa kujenga nyumba zao"

These guys never cares about fate of the country. After all siwalaumu, kama katika serikari ya CCM kila mtu anajichukulia tu apendavyo, nao wana-apply "mbuzi kula kwa urefu wa kamba"

It is really a good plead!
 
Ushirikina uliofanyika bagamoyo makaburini usiku kucha ulikuwa wa kutisha, wakitoa ulinzi kwa mgombea wao.
 
Ushirikina uliofanyika bagamoyo makaburini usiku kucha ulikuwa wa kutisha, wakitoa ulinzi kwa mgombea wao.

Unajua mengi kuhusu hili, mwaga upupu UWAWAKIE, tupe uhondo...

.... ushirikina gani?

.... nani alihusika?

.... nani alikuwa anatoa ulinzi?

Asante...

-> Mwana wa Haki
 
it smells more CHADEMATIC than UZALENDO NA UTAIFA kwa ujumla wake...!
 
and after all you call them "FEW" how far do you know that...? kama kwa wingi wao wamefanya utakayo wewe? au kama hawausiki hata kidogo...? TUONGEE KWA FACT ZAIDI....HEADING KALI NDANI PAMEJAA KUMFAGILIA SLAA NA CHADEMA.........KWANI WAZALENDO WAPO CHADEMA NA JF PEKE YAKE....? WAZALENDO WACHACHE HAWAWEZI KUWA MICHUZI BLOG NA CCM KWA MAPANA YAKE?
 
Friendly warning-:
Usalama wa Taifa is complecated enterprise,do not bank on it unless your good enough to outsmart the syndicate.
 
and after all you call them "FEW" how far do you know that...? kama kwa wingi wao wamefanya utakayo wewe? au kama hawausiki hata kidogo...? TUONGEE KWA FACT ZAIDI....HEADING KALI NDANI PAMEJAA KUMFAGILIA SLAA NA CHADEMA.........KWANI WAZALENDO WAPO CHADEMA NA JF PEKE YAKE....? WAZALENDO WACHACHE HAWAWEZI KUWA MICHUZI BLOG NA CCM KWA MAPANA YAKE?

Usijitege kirahisi hivyo mkuu. Vingine acha vipite
 
Ni siri ya wazi kuwa taasisi yenu imekuwa ikifanya kazi za CCM. Hilo lingekuwa sio tatizo laiti kufanya hivyo kungekuwa kwa maslahi ya taifa.

Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya taasisi hiyo, na huenda hamridhishwi na namna chombo hicho kinavyoendeshwa kwa maslahi ya mafisadi. Baadhi yenu mnakumbuka mafundisho mliyopewa kuhusu main roles and responsibilities za idara ya usalama wa taifa popote pale duniani.

Basi tunawasihi mjitoe mhanga kwa kuumbua njama za kuhujumu demokrasia nchini ambapo (kama ilivyozoeleka) Idara yenu hujivua wajibu wa kutumikia taifa na kuwekeza raslimali zake zote kuisaidia CCM kwa njia zisizo halali.

Mnamfahamu vyema Dokta Slaa, na naamini baadhi yenu mlikuwa mnampatia nyaraka alizotumia kuibua ufisadi katika maeneo mbalimbali. Tunafahamu kuwa hamkuwa mnafanya hivyo kwa ajili ya malipo bali uchungu kwa Taifa lenu na kutimiza wajibu wenu halisi wa KULINDA USALAMA WA TAIFA.

Tunawasihi msiruhusu taasisi yenu kugeuzwa chombo cha kisiasa au cha maslahi ya mafisadi. Kwa jinsi taasisi hiyo ilivyo disorganized, mnaweza kabisa kuvujisha taarifa zinazolenga kuhujumu uchaguzi in general na kumhujumu Dkt Slaa in person.

I beg you guys, kuweka maslahi ya taifa mbele.

It can be done, just play your small part.

Thank you in advance
Amen
 
Ni siri ya wazi kuwa taasisi yenu imekuwa ikifanya kazi za CCM. Hilo lingekuwa sio tatizo laiti kufanya hivyo kungekuwa kwa maslahi ya taifa.

Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya taasisi hiyo, na huenda hamridhishwi na namna chombo hicho kinavyoendeshwa kwa maslahi ya mafisadi. Baadhi yenu mnakumbuka mafundisho mliyopewa kuhusu main roles and responsibilities za idara ya usalama wa taifa popote pale duniani.

Basi tunawasihi mjitoe mhanga kwa kuumbua njama za kuhujumu demokrasia nchini ambapo (kama ilivyozoeleka) Idara yenu hujivua wajibu wa kutumikia taifa na kuwekeza raslimali zake zote kuisaidia CCM kwa njia zisizo halali.

Mnamfahamu vyema Dokta Slaa, na naamini baadhi yenu mlikuwa mnampatia nyaraka alizotumia kuibua ufisadi katika maeneo mbalimbali. Tunafahamu kuwa hamkuwa mnafanya hivyo kwa ajili ya malipo bali uchungu kwa Taifa lenu na kutimiza wajibu wenu halisi wa KULINDA USALAMA WA TAIFA.

Tunawasihi msiruhusu taasisi yenu kugeuzwa chombo cha kisiasa au cha maslahi ya mafisadi. Kwa jinsi taasisi hiyo ilivyo disorganized, mnaweza kabisa kuvujisha taarifa zinazolenga kuhujumu uchaguzi in general na kumhujumu Dkt Slaa in person.

I beg you guys, kuweka maslahi ya taifa mbele.

It can be done, just play your small part.

Thank you in advance
Duh!
Ombi la hatari kweli kweli lakini limejaa vina na mizania.
I wuz thinking the same kuwa lazima kuna mahala kwenye chombo chetu hiki kumetoboka kiasi kwamba usalama umekuwa kwa kuisaidia CCM idumu daima.
Mie si mwanachama wa CHADEMA wala CUF bali wa CCM lakini sidhani kama chama changu kina credibility ya kushika hatamu nyingine za uongozi maana wao they think KUTAWALA only and not leading the way KUONGOZA.

Naamini WANAUSALAMA wengi watauma MENO wasomapo thread hii ila sisi WANANCHI tumeleta kilio chetu ambacho hatujui how to reach you guys than this way.
CHONDE-CHONDE
 
Friendly warning-:
Usalama wa Taifa is complecated enterprise,do not bank on it unless your good enough to outsmart the syndicate.

Onyo zuri sana, lakini usisahau UWT ni binadamu. Ni wakwe, watoto na na hata wajukuu zetu. Hawaishi angani. Wanaona hali ilivyo na kuifahamu. Kinachotatiza ni kuwa wamekosa mwelekeo si wao kama watu binafsi bali wao kama taasis. Wanahitaji mwongozo, na wito wa kuweka maslahi ya taifa mbele ndio mwongozo unaoweza kutumika. Hii nchi ikichafuka nao watakuwepo na jamaa na ndugu zao, ni wachache sana wenye diplomatic passport
 
and after all you call them "FEW" how far do you know that...? kama kwa wingi wao wamefanya utakayo wewe? au kama hawausiki hata kidogo...? TUONGEE KWA FACT ZAIDI....HEADING KALI NDANI PAMEJAA KUMFAGILIA SLAA NA CHADEMA.........KWANI WAZALENDO WAPO CHADEMA NA JF PEKE YAKE....? WAZALENDO WACHACHE HAWAWEZI KUWA MICHUZI BLOG NA CCM KWA MAPANA YAKE?
Aisee Huu uchaguzi na upite tu, maana mtu hata akiongea points kwa maslahi ya Taifa anaonekana anafanya kampeni tu.
Mweh!!
 
Does not make difference na kicho wanachokiclaim. Hapa kinachoelezwa si utaifa bali uchadema. This is shame thread. Kama unamaanisha uzanlendo basi andika na usiwe bias. Wewe unachotaka ni usalama wataifa ukusaidie kupata ulaji tu nawala huna lolote. Shame upon you again.
 
Ni siri ya wazi kuwa taasisi yenu imekuwa ikifanya kazi za CCM. Hilo lingekuwa sio tatizo laiti kufanya hivyo kungekuwa kwa maslahi ya taifa.

Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya taasisi hiyo, na huenda hamridhishwi na namna chombo hicho kinavyoendeshwa kwa maslahi ya mafisadi. Baadhi yenu mnakumbuka mafundisho mliyopewa kuhusu main roles and responsibilities za idara ya usalama wa taifa popote pale duniani.

Basi tunawasihi mjitoe mhanga kwa kuumbua njama za kuhujumu demokrasia nchini ambapo (kama ilivyozoeleka) Idara yenu hujivua wajibu wa kutumikia taifa na kuwekeza raslimali zake zote kuisaidia CCM kwa njia zisizo halali.

Mnamfahamu vyema Dokta Slaa, na naamini baadhi yenu mlikuwa mnampatia nyaraka alizotumia kuibua ufisadi katika maeneo mbalimbali. Tunafahamu kuwa hamkuwa mnafanya hivyo kwa ajili ya malipo bali uchungu kwa Taifa lenu na kutimiza wajibu wenu halisi wa KULINDA USALAMA WA TAIFA.

Tunawasihi msiruhusu taasisi yenu kugeuzwa chombo cha kisiasa au cha maslahi ya mafisadi. Kwa jinsi taasisi hiyo ilivyo disorganized, mnaweza kabisa kuvujisha taarifa zinazolenga kuhujumu uchaguzi in general na kumhujumu Dkt Slaa in person.

I beg you guys, kuweka maslahi ya taifa mbele.

It can be done, just play your small part.

Thank you in advance

Young man, you are wrong !!, 'Intelligence is not about politics', as far as I know Politics ni sehemu ndogo sana ya kazi za Idara ya Usalama wa Taifa. Tatizo ulilonalo pamoja na wengi wetu ni kuwa everything is about politics. Siku zote tunaishia kulaumu sana na wakati mwingine bila kuwa na ufahamu wa kutosha. Let's bring up constructive ideas tuvisaidie vyombo vyetu vifanye kazi zake vizuri.
 
Back
Top Bottom