Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mgombea udiwani kwa tiketi ya CHADEMA kata ya Kati mjini Arusha Bwana Simba aumizwa vibaya kituo cha polisi wilaya ya Arusha.Bwana Simba alikamatwa na polisi kwa sababu ambazo bado...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuna habari kuwa Mtu anaitwa Nyaruba katumwa toka jijini DAR kuja Musoma kwa ajili ya kumdhuru mgombea wa chadema vicent nyerere ili ccm ipate unafuu...., habari zaidi soma hapa MWANA WA AFRIKA
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hawa atakuwa amewaahidi ngoma na filimbi
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Dr. Wilbrod SlaaTusianze kushangilia ushindi kabla hata kipenga cha mwisho kulia. Sote tuendelee kuhamasishana kuchangia ili wagombea wetu wote waweze kushinda. Vijana jitoleeni muda na vipaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Katika pitia pitia zangu kwenye vyombo mbalimbali vya habari pamoja na hapa JF tokea kampeni zimeanza kumekuwa na habari nyingi sana za wagombea wa kambi ya upinzani kujitoa kwenye ugombea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hili tunaliangaliaje ? Jaji ashauri uchaguzi Z’bar,Bara utenganishwe Salim Said na Hawa Mathias MAKAMU mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), Jaji Omar Makungu amesema kuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Leo asubuhi gazeti la Raia Mwema limetoa taarifa ikisema "Wanamtandao wampa ....na kuendelea na takwimu ambazo kutokana na ile picha,chanzo ni hapa JF. Katika poll ya JF kuna watu elfu 6700 ambao...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
[B]Wana_JF: Toleo la leo la Mwanahalisi ni moto wa kuotea mbali. Limekwenda hadi mvunguni na kuanika uongo uliokubuhu alioutoa Mwenyekiti wa Kampeni za CCM, Abdulrahmani Kinana kuhusu...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Nani kama Dr. Slaa??? Na tuweni wakweli? Katika wagombea URAIS bila kuangalia chama..ukiambiwa pigia kura "UADILIFU, HAKI na UZALENDO nani anastahili??? Jibu lako nani apewe uongozi wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nashukuru uhuru wa kuongea umekua na yeyote anaweza kusema lolote ili mradi havunji sheria za nchi hii. nataka niwashirikishe sababu zinazonipelekea kutopigia kura vyama vinavyojulikana kwa jina...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kikwete wetu na Basil Pesambili Mramba! Johnson Mbwambo Septemba 22, 2010 WAPENDWA, leo, nimeshawishika kuandika rejeo (rejoinder) kuhusu makala iliyoandikwa na Msomaji Raia katika...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Taarifa za sasa hivi ni kuwa mgombea ubunge kupitia CHADEMA Bw Focas amejiondoa katika kinyanganyiro hicho hivyo kuwacha wagombea wa CCM na CUFAwali ilidaiwa kuwa focas ambaye anamiliki vifaa vya...
0 Reactions
111 Replies
12K Views
Matokeo ya Kipima joto cha ITV kilichohoji Mtazamo wa Wananchi juu ya utekelezwaji wa Ahadi ya Kutoa Afya na Elimu Bure inayotolewa na Mgombea-Urais wa CHADEMA, Dr. Slaa kama inatekelezeka...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jamani kuacha ushabiki wa vyama pembeni haka kanyimbo ni katamu sana http://www.youtube.com/watch?v=sQevWZqk6Fs
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika kampeni za uchaguzi jimbo la Kawe, wananchi wa Kawe walimuuliza mgombea wa Chadema, Halima Mdee, ni kwa jinsi gani atawatatulia kero ya kufungwa kwa njia ya ‘short cut' kwa kutembea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
PIGA UAAA FISADI WA SIMU!!!! CHOMA MOTOOOOO!!!! LAKINI WATU KAMA HAWA CHINI MBONA WANANCHI WANALALAMIKA TUU KWANINI HAWAWACHUKULII SHIREA MKONONI? AU WAO HAWANA HATIA MPAKA SIKU...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JF on EATV live now watch it
0 Reactions
111 Replies
10K Views
Source ya Picha: Michuzi Need We Say More?
0 Reactions
95 Replies
8K Views
Hivi huyu uDK wake ipo kwa msemakweli? naona anashindwa kujibu swali????
0 Reactions
54 Replies
6K Views
he's never a candidate..:violin: The fact that you know who did this and that is not enough.The best man is never the candidate.Until he becomes the candidate I'll keep on voting for this other guy.
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Back
Top Bottom