Kipima joto cha itv cha toa mwelekeo

Kipima joto cha itv cha toa mwelekeo

Selous

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2008
Posts
1,325
Reaction score
146
Hivi huyu uDK wake ipo kwa msemakweli? naona anashindwa kujibu swali????
 
Ha ha ha, wengine ni ma dkt wa kupewa 2 bt ki academic hawako strait
 
Kwa kweli ukishakuwa ndani ya si si emu hata elimu inapotea. Huyu Dr nimemsikiliza na utadhani amemaliza tu darasa la saba jinsi anavyochambua masuala. CCM imeua uwezo wa kufikiri wa wasomi wetu. Dr Chegeni umejiabisha sana. Huyu jamaa baada ya kubwagwa kwenye kura za maoni jimbo la Busega aliisusa ccm, akatishia kuingia chadema. JK alipoenda Mwanza jamaa akasusa na hakwenda kumpokea, jk akaagiza atafutwe kwa nguvu, halafu tunaambiwa wakawa na mazungumzo ya faragha. Leo tunasikia kuwa ni mjumbe wa kamati ya kampeni ya ccm. Inavyoonekana jk ameshamwahidi cheo mara aingiapo madarakani. Hivi ndivyo "wasomi" wetu walivyo.
 
Sasa JK anabeba watu wasiobebeka?!Na ataahidi wangapi? naona kaanza kuwapunguza kama wakina Nape then atakuja kwakina shigela na wengine watakao anguka kwenye ubunge watapewa ukuu wa mikoa.Huenda Dr alilazimishwa kuja kwenye kipindi ndo mana kichwa kikawa kimekosa ushirikiano na mdomo!!..Siasa ngumu kweli unapoangukia pua...unaweza hata kumwita Masilingi kwenye hicho kipindi akazungumza vitu vya hewan tu!!.I real hate siasa za bongo
 
Isije akawa ni dr (form iv) wa mifugo/vet
 
Kwa kweli ukishakuwa ndani ya si si emu hata elimu inapotea. Huyu Dr nimemsikiliza na utadhani amemaliza tu darasa la saba jinsi anavyochambua masuala. CCM imeua uwezo wa kufikiri wa wasomi wetu. Dr Chegeni umejiabisha sana. Huyu jamaa baada ya kubwagwa kwenye kura za maoni jimbo la Busega aliisusa ccm, akatishia kuingia chadema. JK alipoenda Mwanza jamaa akasusa na hakwenda kumpokea, jk akaagiza atafutwe kwa nguvu, halafu tunaambiwa wakawa na mazungumzo ya faragha. Leo tunasikia kuwa ni mjumbe wa kamati ya kampeni ya ccm. Inavyoonekana jk ameshamwahidi cheo mara aingiapo madarakani. Hivi ndivyo "wasomi" wetu walivyo.

Kweli akili ya kupewa unatakiwa uchanganye na za kwako. usishangae anaweza akaahidiwa na yeye akakubali wakati huyo mwenyewe anayeahidi hana uhakika kama atashinda na kumtekelezea anayeahidiwa. Hiyo kazi kweli kweli.
 
Kwa kweli nilimsikiliza Dr (CCM) chageni, alipoambiwa tu azungumzie mada, akaanza kutoa majibu bila kujua topic ya kipima joto ni nini. huyu jamaa anaonekana kuna maswala aliyo kuwa ameya tajeti aongelee nje ya mada husika ila akakuta vichwa vyenye busara vilivyopita madarasa yote akashindwa kuchomekea majibu aliyopewa na makamba bila kujali swali linahusu nini?

Slaa gogogogogogogogogogogogogogogo IKULU hamna mtu
 
Wadau kwa wale waliocheki Taarifa ya habari ya ITV ya leo saa mbili usiku waliona kuwa swali la Kipima Joto cha kesho 22/09/2010 ni "AHADI YA ELIMU NA AFYA BURE INATEKELEZEKA?"

Hii ni moja kati ya sera za CHADEMA na viongozi wa CCM wamejitahidi sana kuwaaminisha watanzania kuwa ahadi hii ya uongo. Jana katika mdahalo ule wa EATV ambapo JF founder alihudhuria, Isaack Gamba aliizungumzia na akawa anataka kuwaminisha watanzania kuwa hili haliwezekani. Je hawa ITV watakuwa tayari kutoa habari zitazowapa credit CHADEMA ikiwa wengi watasema ndio??

Sitashangaa kama wakituonyesha wanaohoji watu waliowaandaa, then watu wote wakasema hilo haliwezekani na overall matokeo yakaonyesha kuwa ahadi hiyo haitawezekana lengo likiwa ni kuichafua CHADEMA.

My take: Madamu wameanza kuwahoji wananchi kuhusu ahadi za wagombea, Kipimajoto kijacho nawashauri kiwe "AHADI YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA NGARA,BANDARI MBEYA, NA KIGOMA KUWA DUBAI INATEKELEZEKA"
 
Wadau kwa wale waliocheki Taarifa ya habari ya ITV ya leo saa mbili usiku waliona kuwa swali la Kipima Joto cha kesho 22/09/2010 ni "AHADI YA ELIMU NA AFYA BURE INATEKELEZEKA?"

Hii ni moja kati ya sera za CHADEMA na viongozi wa CCM wamejitahidi sana kuwaaminisha watanzania kuwa ahadi hii ya uongo. Jana katika mdahalo ule wa EATV ambapo JF founder alihudhuria, Isaack Gamba aliizungumzia na akawa anataka kuwaminisha watanzania kuwa hili haliwezekani. Je hawa ITV watakuwa tayari kutoa habari zitazowapa credit CHADEMA ikiwa wengi watasema ndio??

Sitashangaa kama wakituonyesha wanaohoji watu waliowaandaa, then watu wote wakasema hilo haliwezekani na overall matokeo yakaonyesha kuwa ahadi hiyo haitawezekana lengo likiwa ni kuichafua CHADEMA.

My take: Madamu wameanza kuwahoji wananchi kuhusu ahadi za wagombea, Kipimajoto kijacho nawashauri kiwe "AHADI YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA NGARA,BANDARI MBEYA, NA KIGOMA KUWA DUBAI INATEKELEZEKA"


Wasiwasi wangu who is going to Vote!! and who is choosing who has to Vote??
 
Mengi ni fisadi na ITV/Radio one ni mawakala wa ufisadi, ukitaka taarifa ya habari isiyoegemea upande wowote ANgalia STAR TV.

Big up star tv, Dialo na convyoy yote.
 
Wanajikomba kwa CCM hawa na CHADEMA ikichukua nchi watajikomba tena kwa CHADEMA. Ni kama walivyo makahaba tofauti ni bidhaa/huduma wanazouza tu.
 
Hatimaye wananchi wamewaumbuwa wale waliotaka kuwaaminisha kuwa ahadi ya kutoa Elimu na Afya Bure kuwa Haiwezekani..!!
Waliosema inawezekena ni Asilimia 81%. Hila za CCM kwisha kabisa....!
2010 HATUDANGANYIKI...!
 
Hatimaye wananchi wamewaumbuwa wale waliotaka kuwaaminisha kuwa ahadi ya kutoa Elimu na Afya Bure kuwa Haiwezekani..!!
Waliosema inawezekena ni Asilimia 81%. Hila za CCM kwisha kabisa....!
2010 HATUDANGANYIKI...!
Hiyo ni habari njema tunataka kuona mabadiliko mwaka huu! naomba wananchi wasidaganyike kama mimi
 
Back
Top Bottom