Siasa chafu Musoma

Siasa chafu Musoma

Chacha wa Mwita

Senior Member
Joined
May 17, 2008
Posts
169
Reaction score
56
Kuna habari kuwa Mtu anaitwa Nyaruba katumwa toka jijini DAR kuja Musoma kwa ajili ya kumdhuru mgombea wa chadema vicent nyerere ili ccm ipate unafuu...., habari zaidi soma hapa MWANA WA AFRIKA
 
Uzuri keshashtukiwa!! Kwa kabali waliyokabwa mwaka huu, umafia wa kila namna utatumika kuwapatia ahueni!!
 
kuna habari kuwa mtu anaitwa nyaruba katumwa toka jijini dar kuja musoma kwa ajili ya kumdhuru mgombea wa chadema vicent nyerere ili ccm ipate unafuu...., habari zaidi soma hapa mwana wa afrika

kuna habari kuwa,,,,kuna tetesi kuwa,,,, inasemekana kuwa,,,,,,labda,,,,huenda ikawa,,,,,,(hizi ndizo kauli zenu za kila siku)

huo ni aina fulani ya udaku na maneno ya mitaani!!!!
 
Back
Top Bottom